Don Clericuzio
JF-Expert Member
- Dec 8, 2017
- 16,930
- 40,556
Moderator wamebadilisha
Thread ya kuumwa ingebaki kama ilivyo, wakaweka updates.
Kichwa cha habari kingine comments zingine
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Moderator wamebadilisha
Si umeambiwa stroke hapo juu, wapumbavu wengine bhana, mnataka kuanzisha debate nyingine hapa.Alikua Anaumwa Nini?
Wabongo Kama Kawaida Yetu Kutaka Kujua Ugonjwa
Mkuu unaonekana ukimwona Mtu ana PhD yake na anaitwa Dkt Fulani huwa unatetemeka kabisa na unaweza hata ' ukamlamba ' unyayo wake au? Acha Umbwigira / Ushamba na usitishike na Viwango vya Elimu vya Watu bali tishika na yale ' madini ' yao yaliyopo na yanayowatoka katika ' brains ' zao. Uwezo wa Msomi haupimwi na Certificate au Diploma au Bachelor au Masters au PhD bali ni zaidi ya hapo.
R.I.P sana Kamarada ( Comrade ) Misanya Bingi.
🙄🙄Nadhani huyu MTU Alioneshwa na Mungu kuwa Dr Hatapona Lakini ninyi mkaanza kukosoa Alichoandika, Aliandika Anachokijua.. Humu kuna manabii.
Partners wake wa utangazaji naona wote walo USA, baada ya Chitala akaja Neema Diwani. Jamaa alikuwa anawachokonoa kweli kwenye maiki.Rose Chitala now ni BILIONEA ,ana Mpunga wa Kutosha USA Baby.
Mungu alikwisha 'mkadiria' ila ukimuombea mema si vibaya !Mungu aiweke roho yake anapostahili
.....kama Msuya au Bill !?Rose Chitala now ni BILIONEA ,ana Mpunga wa Kutosha USA Baby.
....kama haijapita ya 'Tuntemeke Sanga' bado huna elimu !Una ijua elimu yangu ?
....kama haijapita ya 'Tuntemeke Sanga' bado huna elimu !
Yeah.RIP pole mama Collins kwa msiba mkubwa.
siku si nyingi walipata msiba kwa misanya kufiwa na ndugu yake kama kumbukumbu zangu ziko vizuri.
pole kwa familia hii kwa kweliYeah.
Dada yao