Dkt. Modestus Francis Kipilimba: Wasifu wake

Mkuu umeonaa!watu wanataka mtu aliyeshapitia mafunzo ya kijeda,ashapigana,vita,ser n'a blak belt,ashaenda sana kwenye course cuba,Israël,marekani,north korea....awe ngangali......Kama putinnn

Ova
Ila hta uyo putin kwao hajawahi kua secret service agent
 
Mbona sioni course ya U-TISS?Au iko kwenye mabano,duh,TISS bwana.Mimi walinitaka nilipokuwa JKT nikagoma.Najuta kweli bwana,ningekuwa mbali kweli sasa kama ningekuwa sijafa.
 
Hahaha, yaani hili jukwaa burudani kwelikweli! By thevway inakuwaje bosi usalama wa taifa hana mafunzo ya kijeshi, na kiusalsma kwa ubobezi kabisa? Au kuwa na utaalamu wa usalama wa computer dystems inatosha?
AMEMALIZA SEKONDARI 1976, Alikuwa wapi?
 
Mkuu umeonaa!watu wanataka mtu aliyeshapitia mafunzo ya kijeda,ashapigana,vita,ser n'a blak belt,ashaenda sana kwenye course cuba,Israël,marekani,north korea....awe ngangali......Kama putinnn

Ova
Umbea haufai, ukishajua itakusaidia nini? Tosheka na hiyo iloyopo
 
Mbona mleta Thread hujesema alikuwa katika kitengo cha TEHAMA NEC mwaka jana au siyo huyu??(.................)
 
Nijuavyo directory wa intelijesia anakuwa amebukua maswala ya intelijesia, na ushushushu.
Nchi za wenzetu huwa wanaweka kwenye cm zao.
 
Mbona sijaona uzoefu wake WA KI TISS TISS? au nitaitwa mchochezi? ACHA niishie Hapo nisije nikazolewa hapa nyuma ya kibodi, upepo umesha chafuka

Wanaanzaga mbali hao iyo kazi,sometimes mtu yupo chuo wakati uho huo anakuwa tayari ni mtu wa Idara nasikia
 
Mkuu, uliwahi kuona mtu anaelezwa wasifu wake wa ki TISS TISS? Binafsi sijawahi kuona hata siku moja. Hata huyu aliyemaliza muda wake naye sikuona wakati anateuliwa kushika wadhifa huo

Kwan uliwah kuona wanatangaza nafasi za kazi za TISS? na kama jibu ni hapana inamana huwa hakuna waajiriwa wapya? mind u kiusalama hilo la CV huwez kuliskia

Bosi wa usalama anapsswa kuwa mwanajeshi aliyebobes kwenye mbinu mbalimbali za medani na usalama wa nchi!

Ni kweli usemayo lakini kwa upeo wangu mdogo alifaa ateuliwe miongoni mwa waliokaa kwenye idara hiyo na waliokubuhu ktk masuala ya upelelezi hasa ktk nyanja za kimataifa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…