Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hela waliomnunua Molel bora wangekupa wewe na Mzee Mgaya.Huyu atakaa bench mapema.
ni kazi kuimba nyimbo usizozizoea!Huyu atakaa bench mapema.
Yap alikuwa anajifosi kufit in kashindwa maskini🤔ni kazi kuimba nyimbo usizozizoea!
Huyu mkoma si ndiye aliwaomba wananchi wa Siha wampe jiwe corona(na ikawa hivyo) badala ya kumuombea kura, ni moja ya watu wapuuzi kabisa kuwahi kutokea.Duh
=====
"Nchi hii imejaa watu wajinga sana, Rais anapata shida kwani wanaomshauri wengi hawana uelewa wa kutosha wa mambo" Dkt. Godwin Mollel, mbunge wa jimbo la Siha na Naibu Waziri wa Afya
View attachment 2520264
Huyu mjinga dk uchwara ndo alijenga Banda la kujifukiza muhimbili Ambalo mara ya mwisho walimuingiza umo Magufuli na hakupona corona
Kuna Mtu hapo basi?Huyu atakaa bench mapema.
Kwa mujibu wa Katiba Mawaziri ni washauri wa Rais. Tafsiri rahisi ni kwamba Rais anashuriwa na wajinga àmbao ni Mawaziri. Kwa hiyo awaondoe amuweke Molel mwenye akili.Duh
=====
"Nchi hii imejaa watu wajinga sana, Rais anapata shida kwani wanaomshauri wengi hawana uelewa wa kutosha wa mambo" Dkt. Godwin Mollel, mbunge wa jimbo la Siha na Naibu Waziri wa Afya
View attachment 2520264
Hao washauri wanashuka toka mbinguni sio?? Au ni miongoni mwa 'wananchi'. Kiazi kweli wewe.Wananchi ndo Washauri wa Rais? We KENGE lini utakuwa na akili?
Anamaanisha maafisa wa Ikulu ama?Hao washauri wanashuka toka mbinguni sio?? Au ni miongoni mwa 'wananchi'. Kiazi kweli wewe.
Hii ni takataka tuHivi huyu kipua bado tu yuko kwenye cabinet?