The only
JF-Expert Member
- May 19, 2011
- 10,805
- 14,181
Kwan ye mwanakamati,kwann hutaki kuacha pombe we kijanaWewe unaaminika?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwan ye mwanakamati,kwann hutaki kuacha pombe we kijanaWewe unaaminika?
Mungu ibariki JFMwakyembe haaminiki , hata matokeo ya uchunguzi wa kamati yake hayataaminika na jamii .
Kwa mfano , alipokuwa Mbunge wa Kyela aliwahi kuwaaminisha wananchi wa Jimbo hilo kwamba ATAWATAFUTIA SOKO LA MCHELE WAO NCHINI MAREKANI , lakini hadi anapigwa chini hakuwahi kutimiza ahadi hiyo
[emoji38][emoji38][emoji38]Safari hii wamefaulu 23 tu
😆😆😆😆😆Mwakyembe haaminiki , hata matokeo ya uchunguzi wa kamati yake hayataaminika na jamii .
Kwa mfano , alipokuwa Mbunge wa Kyela aliwahi kuwaaminisha wananchi wa Jimbo hilo kwamba ATAWATAFUTIA SOKO LA MCHELE WAO NCHINI MAREKANI , lakini hadi anapigwa chini hakuwahi kutimiza ahadi hiyo
Nafikiri ifike mahali wananchi wajue kutofautisha wanasiasa na professional. Labda professional yaoe ni mwanasheria but akaingia kwneye siasaMwakyembe haaminiki , hata matokeo ya uchunguzi wa kamati yake hayataaminika na jamii .
Kwa mfano , alipokuwa Mbunge wa Kyela aliwahi kuwaaminisha wananchi wa Jimbo hilo kwamba ATAWATAFUTIA SOKO LA MCHELE WAO NCHINI MAREKANI , lakini hadi anapigwa chini hakuwahi kutimiza ahadi hiyo