Dkt. Mwigulu asema Nchi haiwezi kupigwa Tsh. 30 Trilioni wakati Bajeti yetu haivuki Tsh. Trilioni 50, Mpina asema Waziri hajui lolote


Upigaji wa CCM unaathari kwetu sote Watanzania.
 
Kumbukumbu zangu zinaonesha mbarawa alikua Waziri wa jakaya na magufuli
 
huyu nae sjui anaumwa anaijua trilioni 280 huyu jamani..?
Namba ni tatizo kwa wengi.
Ni watu wachache sana wanaojua hesabu.
Hata hivyo, muhimu ni kuwa ukisikia kelele za mbwa, elewa kwamba kuna tatizo, chunguza na chukua hatua.
 
Mpina nimwizi katuibia wavuvi na kutuweka katika maisha magumu sana
 
Kwanini usishambulie hoja yake?
 
Hoja yake vipi?

Huu upumbavu wa watz badala ya mtu ashambulie hoja anaanza kushambulia mtu alietoa hoja!
 
Mpina kasema akiwa bungeni au nje!?..aje nje ya bunge aseme hivyo,wakisema bungeni hawashitakiwi,wanaropoka tu
Ulitaka asemee wapi ? Mpuuzi ww!! Au unanufaika na wezi?[emoji706][emoji706]
 
Kwani fedha na Mali za serikali zinazaanza kuhesabiwa kwenye bajeti ??
Je Kama zinaibiwa kabla ya kufika Hazina kupitia ?
Je rasilimali zingine zinazoibiwa ambazo haziko kwenye bajeto
 
Hoja yake vipi?

Huu upumbavu wa watz badala ya mtu ashambulie hoja anaanza kushambulia mtu alietoa hoja!
Hatutaki unafiki wenu kama alishasemaga ripoti za CAG ni za kumchafua JPM basi aendelee kuamini hivyo sio kisa kakosa uwaziri ndio anajifanya kumtambua CAG
 
Lile jiwe la kito cha thamani lililoibukia Dubai na zile nyara za serikali zilizokamtwa Australia !!! Huo sio upigwaji?
 
Wewe una chuki kwa Mpina, ujinga wake ni upi? Ungetuletea ushahidi kuwa hakuna pesa inayoibiwa watu tungekuelewa, lakini hii ya kumshambulia bila sababu ni chuki binafsi, je CAG aliyetoa report juu ya upotevu wa fedha ya serikali nae hana akili?. Unamtetea Mwigulu, una uhakika gani kuwa haibi? Hiyo ya Mpina kutokuwa na akili umesema ulisoma nae, je Mwigulu unaedai ana akili, je, nae ulisoma nae? Mpina angewezaje kusoma na kumaliza Mzumbe kama hakuwa na akili?
 
Two wrong don't make a right
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…