Dkt. Mwigulu: Kabla ya Samia kuingia madarakani mabenki yetu yaliishiwa pumzi

Utawala wa jiwe ulikuwa na shida nyingi sana
 
Hili ni suala la Katiba Mpya pia
 
Walioumizwa na matendo ya utawala wa jiwe wanapaswa kutambuliwa na kulipwa fidia, waliohusika kuumiza watu wanapaswa kuwajibishwa pia. Lazima tuwe na utaratibu wa kuwajibishana
 
Nchi ya watu waliokumbatia ujima kwa muda mrefu.
Poor us.
 
Wakati yupo haya yalikuwa hayasemwi, wakisema akina Lissu wanachapwa risasi akina Mbowe wanapewa kesi za ugaidi na hakuna aliyethubutu kuwatetea katika hawa wote ambao leo wamegeuka wema wenye huruma na wananchi wakati ni mashetani wanaovuma kwa kufuata mwelekeo wa upepo unavyovuma.
 
Ila katika maboko aliyowahi kupiga Mwigulu ni lile la kutokwenda kumuona ndugu yake Lissu, and hata kutompa pole hadharani! Ile itamtoa kwenye mbio zake za 2030
 
Oooooooh masikini Mungu amsaidie saba
 
Kama huyu ndio mshauri wa Raisi atampoteza. Huyu ni mwanasiasa .

Huo mjengo umejengwa awamu ya Tano.
Angesema tu hongera kwa ujenzi
 
Kipindi kile alikuwa wapi kuyasema alivoona hali ile?
 
Huyu na Nape wanaongoza kwa unafki Tanzania

Sent from my SM-J530F using JamiiForums mobile app
Hauna akili wewe, ulitaka wa act kitoto wakati ule ili waondolewe roho zao. Walichokifanya wakati wa Jiwe ni kuheshimu mamlaka. Yule jamaa ilikuwa lazima kuenda naye atakavyo mpaka mauti yalipomfika. Sasa ni taifa huru lazima maovu yake yote tuyaseme. Tena imesaidia hata waliokuwa naye karibu wanasema. Huenda wengine walitusaidia kumuondoa kwa kukubari kuwa naye. We unadhani ingewezekana vipi kumuondoa kama wote wasiomkubali wangekaa naye mbali?
 
Very true maana watu waliacha kuweka hela benk maana mwendazake akiziona tu anazichukua
 


Asset za CRDB ambayo ni mikopo historical data zake hizo hapo mpaka 2015.


Hizo mpaka kwenye financial statement yao ya mwisho kiwango cha mikopo kimekuwa mwaka hadi mwaka.

Huyo waziri yeye katumia data gani. Mtu anaeongea chochote mdomo uende kinywani unaweza muamini kweli siku mambo yakienda mrama.

Mtu asie na kifua kama huyu ipo siku atasema zama za mama kulipa mishahara ilibidi tuwe tunatumia hela za mikopo ya maendeleo.
 


Net profit ya CRDB 2015




Hiyo ni statement ya mwisho 2020 sidhani kama washawahi kuvuka kiwango icho cha faida katika historia yao. Hiyo faida ilitokana na nini kama siyo shughuli za kiuchumi.

Sometimes bora kukaa kimya kuliko kuendekeza njaa. Bila ya hawa watu kuacha kutuchukulia poa tuna safari ndefu, the other day nilisema vijana wa miaka 30 leo na wenyewe wakirubuniwa na huu mfumo wazee wa CCM leo ambao awataki kwenda na wakati atuchomoki; kwa sababu hii age group ya kina Mwigulu ishakuwa fouled tayari kuendeleza siasa zilezile za kishamba.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…