Consultant
JF-Expert Member
- Jun 15, 2008
- 11,503
- 20,892
Itakuwa ni agizo kutoka kwa Malaika Mkuu wanna be ili “kuwasuta” waliomzushia kifoHawa ndio PhD holder tulio nao Tanzania.
Sishangai Msukuma anavyo watukana bungeni na wao kushangilia wakati wana tukanwa..
Not your level, please!..Yap.
Not your level, please!
Uso umemshukaaa.....
😂😂😂 I thought I was reading from Mmawia!..that is what I gathered from his press conference. unless I misunderstood him.
😂😂😂 I thought I was reading from Mmawia!
Anapataje tena wakati tiari ana immunity?Anajuaje kwamba amevuka? ningemshauri akae kimya.
Hajui kwamba Corona bado ipo na anaweza kupata tena?
Yeah hizo zipoHela tunakuwa nazo pindipo mtu ameunga juhudi
Ametupa tumaini sana kupona yeye imeonesha pia kumbe wapo wanaopona ametupa ujasir
Maalim sefu alikuwa na mtungi kaondoka, hata katibu kijazi nae alikuwa na mtungi kaondokaDuu! Kwa hiyo kila mtu anatakiwa anunue mtungi wake wa oxygen kwa kujihami?
Anaumwa covid 21 a.k.a changamoto ya upumuajiKwani alikuwa anaumwa nini?
Kuna wengine pia wakiangalia jinsi alivyodhoofu wanaweza kupatwa na hofu kuu.
Anaushukuru mtungi wa oksijeniKwa hiyo anaishukuru awamu ya tano?
Wewe unabeza kwa sababu halijakufika likiifika familia yako au wewe mwenyewe utajua tu nyungu inaandaliwajeBado anaongea kwa taabu, sijui kwanini wamemruhusu kuongea na waandishi....