bongo dili
JF-Expert Member
- Feb 13, 2015
- 12,350
- 25,180
mama Mungu wake ni naniNinashauri kwa wale ambao wakisali hutamka Mungu wa Ibrahim, Shadrak, Meshak na Abednego, wanaweza kuondoa hayo majina na kutamka MUNGU WA MAMA SAMIA kwa sababu hao wengine hatujawaona ila Mama Samia tumemuona jinsi Mungu alivyombariki.
Nguruwe si halali kwa muislam au Mkristo,maana si salama kwa afya.Ni Aya gani au hadithi gani katika Uislamu imeruhusu kula nguruwe ikidai ni sunna? Na unajua sunna maana yake nini? Usiongee kitu ambacho huna uhakika nacho ndugu.
Mungu ni roho na Roho inayo uwezo wa kuvaa mwili au umbo lolote mfano Yesu ni Mungu katika mwili.Ukitumia biblia na korani kuitaja taswira ya Mungu basi utaona Mungu ni mwanaume sababu vitabu hivyo vimesema binadamu aliyeumbwa kwanza ni mwanaume kwa mfano wa Mungu.
Note:
Sijui taswira ya Mungu.
Nahisi Mungu ni nguvu fulani kubwa ya asili. Inawezakana Mungu hayupo katika muonekano wa mwili wa nyama. Labda ni nishati (energy) fulani.
Moja ya watu wenye ufahamu mdogo mno wa dini yake ni Sule.Harmonize sio authority yoyote katika uislamu.
Harmonize alisha ukana uislamu kwa vitendo tangu alipo ingia kwenye kazi ya muziki kwa sababu kwa mujibu wa mafundisho ya dini ya kiislamu muziki ni haramu kama ilivyo nyama ya nguruwe .
Kwa hiyo kwa hermonize kuingia kwenye muziki tayari ameshajitoa kwenye uislamu.
Harmonize kasema kwamba kwa miaka 30 aliyo ishi duniani anadhani kwamba huenda Mungu ni mwanamke.
Harmonize was talking about a personal experience that he had with God.
Kwa mambo mema na mazuri ambayo Mungu amemtendea yeye kama yeye katika maisha yake Binafsi basi ameshawishika kuamini kwamba huenda Mungu akawa ni mwanamke...
Harmonize ameutathmini upendo ambao Mungu amemuonyesha kwenye maisha yake kisha akaufananisha na upendo wa mama yake mzazi.
Sasa ana kosa gani akisema kwamba ana amini kwamba huenda Mungu ni mwanamke?
Harmonize sio wa kwanza kutoa kauli hii hata Shaggy aliwahi kuimba kwenye wimbo wake " strength of a woman" kwamba anafikiri huenda Mungu akawa ni mwanamke.
Kitu kimoja ambacho nimegundua kuhusu viongozi na walimu wa dini zenu kuu mbili ukristu na uislamu ni kwamba these guys have got a very little and limited understanding about God. They think they know everything about God. Halafu wamemuwekea Mungu mipaka kwa maana ya kwamba wanaamini Mungu hawezi kuwa hivi wala vile. To them Mungu anaweza kuwa vile tu alivyo elezewa kwenye vitabu vyao na sio tofauti na hapo.
Yani wamemfunga Mungu kwenye vitabu vyao.
Kwa upande wa wakristu Mungu kwao alipewa majina tofauti tofauti kwa nyakati tofauti based on the personal experiences that he had with those people.
Mfano aliitwa Mungu wa Ibrahim kwa sababu ya his experience with Abraham.
Aliitwa Mungu wa Isaka kwa sababu ya his experience with Isack.
Aliitwa Mungu wa Yakobo kwa sababu ya his experience with Jacob.
Tundu Lissu alivyo shambuliwa kwa risasi mwaka 2017 na kisha aka survive watu wengi walisema ni Mungu ndio alimuokoa. Kama Lissu angeishi in Biblical times huenda leo tungekuwa na Mungu wa Tundu Lissu. Mungu mwenye kuokoa na hatari mbaya.
Je kwako wewe Binafsi based on your personal experience with God Mungu ni nani kwako? Mungu wako angeitwa nani? Mungu wa Likud angeitwa nani?
Kwa Harmonize yeye based on his personal experience with God kwake yeye Mungu ni Mama kwake ( mwanamke)
Kwa upendo ambao Mungu amemuonyesha Hermonize yeye anamfananisha Mungu wake na mama yake.
Jamani hivi duniani kuna kiumbe mwenye upendo wa kweli kama Mama?
Hata wewe Dr. Sule anae kupenda kuliko chochote ni Mama yako.
Hata wewe Dr. Sule ukiambiwa uchague kitu kimoja kati ya Mungu wa kwenye kitabu chako na mama yako mzazi alie kuzaa utamchagua mama.yako.
Chid Benz aliwahi kuongea point moja kubwa sana akasema.mama zetu ndio Mungu zetu. Hawa ndio walio tuumba kwenye mafumbo yao. Tunatakiwa kuwatazama kama.miungu.
Hata Mtume Muhammad (pbuh) aliwahi kuulizwa na swahiba wake " nifanye nini ili niende mbinguni"
Majibu ya mtume yalikuwa :
1. Mpende mama ako.
2. Mpende mama ako.
3. Mpende mama ako.
Mtume hakusema " mpende Mungu wako" la hasha. Alisema " mpende mama ako"
Uislamu unatuelekeza mama.ndio pepo yako.
Harmonize yupo sahihi sana kuliko Dr. SULE.
UPENDO WA MUNGU NI SAWA NA UPENDO WA MAMA.
Kama Hermonize angekuwa ni shekhe na akasema maneno hayo kama.shekhe ungeweza kumchallenge kidogo kwa sababu mashekhe na wachungaji/ mapadri huwaga hawana tumiagi fikra zao huru ktk kutoa maoni kuhusu Mungu . Wao huwa wana quote kilicho andikwa kwenye vitabu vyao.
Harmonize sio shekhe ndio maana ametumia mawazo yake Binafsi.
So Dr. Sule na wote mnao mtukana hermonize stop being selfish. Acheni kutaka kila mtu akiamini kile mnacho kiamini nyinyi.
Kwa hiyo Hermonize yupo sahihi kabisa..
Imani haiongozwi na logicJapo mkuu kuna mambo ukiyafikiria na kuyatafakari lazima useme mtu hayuko sahihi.
Mathalan wahindu Mungu wao ng'ombe aisee mnyama unayemfuga na kumtandika bakora anaweza kukupa maajabu gani!?
Hao hao wahindu wana Mungu wa kike anaitwa Goddess Malapini ila cha ajabu wanawanyanyapaa wanawake na kuwaita viumbe dhaifu.
Embu tafakari kwa fikra yakinifu utasema huyu mtu yuko sawa!?
Dini ni matendo kama unafanya matendo kinyume na dini means wewe si mwanadini,dini ukataza maasiMoja ya watu wenye ufahamu mdogo mno wa dini yake ni Sule.
Nadhan angebakia kwenye kumuelezea nyuki na Miti shamba
Uislam halielezwi jambo lolote kwa maoni ya Mtu aonavyo bali tunachukua kilichoelezwa kutoka katika
QUR'AN & HADEETH na pia KUTOKA KWA WANA WA CHUONI WA UMMA HUU.
Sule anatakiwa atulie ,si kila pahala lazma atokeze.
Kosa lingine aliloeleza hapo ni HARMONIZE si Muslim na sababu anayoitaja ni Muziki ni Haram
Si kila dhambi inamtoa Mtu katika dini, ana references za jambo hili?
Kunywa Pombe, zinaa, muziki, kamali,, kula pork baadhi ni ktk madhambi makubwa ila hayamtoi mtu katika dini
Wazee waliabudu wasichokijua shetan akatake advantage hioPrinciple ileile mliozani wazee waliabudu miti, milima, mizimu la hasha
Labda huyo Mungu wake ndio “mume wa hivyo ulivyotaja?!Tatizo lenu mmefunga fikra zenu. Muembe unazaa matunda. Una mume?
Ardhi inazaa mazao ina mume?
Pesa ya mtaji inazaa faida. Ina mume?
Wazee wetu walikuwa gizani wakiabudu wasichokijuaSasa mbona sisi dini zetu tumeletewa hizi mimi Babu yangu ananiambia kabisa mpaka mazingira yaliyomfanya awe dini hii ukimuuliza ina maana Baba yako alikua hana dini hizi za kigeni anakubali ndio wao walikua wanaabudu kwenye miti na Mti wakiuchagua hautakatwa kabisaa...kwa hiyo ukiwauliza Wazee watakupa majibu ndio maana mimi sipo kuwapinga watu..
Ingekua hivyo kungekua na Mtume mmoja tu wa kipindi kimoja tu au?Umeeleza vizuri mwanzoni kwamba ni maoni binafsi.
Ila Imani haiongozwi na maono maana kuna maandiko.
Unapokosea ni kutaka viongozi wa dini wawe open minded, wakati kuna maandiko.
Malaika hawana jinsia bali utokea kwa jinsia ya me au keMalaika wote ni madume, sembuse huyo Mungu mwenyewe aliyewaumba Malaika? Ebu kuwa makini hata kidogo basi.
Ubinadamu ni kazi/Humanity is a work.
Mungu mwanaMungu baba
Kama Mungu hajawahi maindi kuitwa Baba na tunajua hana jinsia iweje akiitwa Mama mnamaindi nyie washamba wa nanyumbu?Mungu hajawekewa mipaka kwa maelezo ya vitabuni.
Bali Mungu hana mfanano na binadamu.
Harmonize kakosea sana tena sana.
Mungu ama sifa ya Uungu ni sifa ya UKAMILIFU isiyokua na mapungufu wala kasoro.
Mwanamke ni binadamu na ni kiumbe chenye makosa ama madhaifu kivitendo na akili.
MUNGU HANA MADHAIFU UTAMFANANISHAJE NA KIUMBE CHENYE MADHAIFU!?
AMEKOSEA SANA HARMONIZE.
Mkuu,mkuu nakuita mara mbili. Wasipokuelewa hapa (hawa watu wa dini),ndio basi tena. Itabidi wabakie tu kuviishi vitabu vyao vilivyo jaa hadithi za kufundishia. Over.Hizi dini zilijengwa tokana na mfumo dume ndo maana wengi wakifikiria kuhusu Mungu wanawaza tu ni mwanaume fulani mzee kakaa mahali fulani mbinguni,,,,,,Mungu ni nguvu(roho) hana jinsia na ukija kwenye personification ya hio nguvu inaweza kua mtu yeyote tu mwanamke au mwanaume,,sema dini nyingi hasa hizi zenye asili ya Abraham zimechagua kui personify nguvu ya Mungu kama mwanaume na hii ni kutokana na mfumo dume wa jamii zilipoanzia hizi dini (Patrilinear)
🤝👏🙏Harmonize sio authority yoyote katika uislamu.
Harmonize alisha ukana uislamu kwa vitendo tangu alipo ingia kwenye kazi ya muziki kwa sababu kwa mujibu wa mafundisho ya dini ya kiislamu muziki ni haramu kama ilivyo nyama ya nguruwe .
Kwa hiyo kwa hermonize kuingia kwenye muziki tayari ameshajitoa kwenye uislamu.
Harmonize kasema kwamba kwa miaka 30 aliyo ishi duniani anadhani kwamba huenda Mungu ni mwanamke.
Harmonize was talking about a personal experience that he had with God.
Kwa mambo mema na mazuri ambayo Mungu amemtendea yeye kama yeye katika maisha yake Binafsi basi ameshawishika kuamini kwamba huenda Mungu akawa ni mwanamke...
Harmonize ameutathmini upendo ambao Mungu amemuonyesha kwenye maisha yake kisha akaufananisha na upendo wa mama yake mzazi.
Sasa ana kosa gani akisema kwamba ana amini kwamba huenda Mungu ni mwanamke?
Harmonize sio wa kwanza kutoa kauli hii hata Shaggy aliwahi kuimba kwenye wimbo wake " strength of a woman" kwamba anafikiri huenda Mungu akawa ni mwanamke.
Kitu kimoja ambacho nimegundua kuhusu viongozi na walimu wa dini zenu kuu mbili ukristu na uislamu ni kwamba these guys have got a very little and limited understanding about God. They think they know everything about God. Halafu wamemuwekea Mungu mipaka kwa maana ya kwamba wanaamini Mungu hawezi kuwa hivi wala vile. To them Mungu anaweza kuwa vile tu alivyo elezewa kwenye vitabu vyao na sio tofauti na hapo.
Yani wamemfunga Mungu kwenye vitabu vyao.
Kwa upande wa wakristu Mungu kwao alipewa majina tofauti tofauti kwa nyakati tofauti based on the personal experiences that he had with those people.
Mfano aliitwa Mungu wa Ibrahim kwa sababu ya his experience with Abraham.
Aliitwa Mungu wa Isaka kwa sababu ya his experience with Isack.
Aliitwa Mungu wa Yakobo kwa sababu ya his experience with Jacob.
Tundu Lissu alivyo shambuliwa kwa risasi mwaka 2017 na kisha aka survive watu wengi walisema ni Mungu ndio alimuokoa. Kama Lissu angeishi in Biblical times huenda leo tungekuwa na Mungu wa Tundu Lissu. Mungu mwenye kuokoa na hatari mbaya.
Je kwako wewe Binafsi based on your personal experience with God Mungu ni nani kwako? Mungu wako angeitwa nani? Mungu wa Likud angeitwa nani?
Kwa Harmonize yeye based on his personal experience with God kwake yeye Mungu ni Mama kwake ( mwanamke)
Kwa upendo ambao Mungu amemuonyesha Hermonize yeye anamfananisha Mungu wake na mama yake.
Jamani hivi duniani kuna kiumbe mwenye upendo wa kweli kama Mama?
Hata wewe Dr. Sule anae kupenda kuliko chochote ni Mama yako.
Hata wewe Dr. Sule ukiambiwa uchague kitu kimoja kati ya Mungu wa kwenye kitabu chako na mama yako mzazi alie kuzaa utamchagua mama.yako.
Chid Benz aliwahi kuongea point moja kubwa sana akasema.mama zetu ndio Mungu zetu. Hawa ndio walio tuumba kwenye mafumbo yao. Tunatakiwa kuwatazama kama.miungu.
Hata Mtume Muhammad (pbuh) aliwahi kuulizwa na swahiba wake " nifanye nini ili niende mbinguni"
Majibu ya mtume yalikuwa :
1. Mpende mama ako.
2. Mpende mama ako.
3. Mpende mama ako.
Mtume hakusema " mpende Mungu wako" la hasha. Alisema " mpende mama ako"
Uislamu unatuelekeza mama.ndio pepo yako.
Harmonize yupo sahihi sana kuliko Dr. SULE.
UPENDO WA MUNGU NI SAWA NA UPENDO WA MAMA.
Kama Hermonize angekuwa ni shekhe na akasema maneno hayo kama.shekhe ungeweza kumchallenge kidogo kwa sababu mashekhe na wachungaji/ mapadri huwaga hawana tumiagi fikra zao huru ktk kutoa maoni kuhusu Mungu . Wao huwa wana quote kilicho andikwa kwenye vitabu vyao.
Harmonize sio shekhe ndio maana ametumia mawazo yake Binafsi.
So Dr. Sule na wote mnao mtukana hermonize stop being selfish. Acheni kutaka kila mtu akiamini kile mnacho kiamini nyinyi.
Kwa hiyo Hermonize yupo sahihi kabisa..
Mungu si kitu chenye kushikika...hana mwili...Huu ugomvi wote huu wa nini, kwani kuna aliyekutana na Mungu akaiona jinsia yake?