Kumbe umekubali niwajibu wao wakupitishie bajeti ya ruzuku ya chama chako ili upate fedha za kununulia bando la kuwatukana hapa mitandaoni.

Kwa taarifa yako wanapitisha kama wajibu wa bunge kisheria na kufuata formalities tu, lakini hawastahili kufanya kazi hiyo. Hayo ni majizi ya kura yaliyo bungeni bila ridhaa ya umma. Hata hilo bunge kibogoyo lisipokuwepo kila kitu kitaenda sawa.
 
Bajeti ya serikali inapitishwa na nanii?? Sio Hilo binge unalolisimangaa?? Huku ukisahau ndiko linalopitusha bajeti ili na wewe chama chako kipate ruzuku
Hilo Bunge hata lisipokuwepo, unadhani ni nini kitakachobadilika zaidi ya kuokoa pesa tunayowalipa bila faida yoyote toka kwao?
 
Kwa taarifa yako wanapitisha kama wajibu wa bunge kisheria na kufuata formalities tu, lakini hawastahili kufanya kazi hiyo. Hayo ni majizi ya kura yaliyo bungeni bila ridhaa ya umma. Hata hilo bunge kibogoyo lisipokuwepo kila kitu kitaenda sawa.
Wakipitisha kama wajibu na chama chako kinapata mkwanja.
 
Hilo Bunge hata lisipokuwepo, unadhani ni nini kitakachobadilika zaidi ya kuokoa pesa tunayowalipa bila faida yoyote toka kwao?
Mbona huwakatazi wasipitishe bajeti ya serikali inayolipa ruzuku ya chama chako?
 
[emoji23] [emoji23] Unaweza kuugua magonjwa yasiyotibika ukiamua serious kufuatilia haya mambo.
Yaani [emoji23]
Watu wamevimbiana pesa za wavuja jasho
Mtu anasema watajadili November![emoji119]
 
Mbona mlijibaraguza eti hamchukui baada ya njaa kuwa Kali mlinyakua karuzuku kama mwewe.

Mimi sio msemaji wa hicho chama, ni vyema ukamfuata msemaji wa hicho chama akuambie sababu ya wao kuchukua, maana mimi sio muumini wa kuchukua hizo pesa za uchaguzi wa kishenzi vile. Hata hivyo hiyo sio hoja yangu, hoja yangu ni kuwa hilo ni bunge kibogoyo, na halina chochote linaweza kufanya nje ya maagizo ya serikali.
 
Kama sio msemaji, wao mbona povu jingi saana. Kubalini ka asali nikatamu bwashee, usijibaraguze
 

Tulia anawabeba mafisadi anajua kikao cha mwezi wa kumi hawa watanzania wenye vichwa vya Panzi watakuwa washawekewa sanyturi mpya za bongo flava na kusahau mambo muhimu
 
Nilidhani Tulia ana akili kumbe naye mjinga tu kama wengine.

Shule kaenda ili kutetea wezi??

Mpumbavu.
 
Kwani tunazungumzia hasara? Hapa tunazungumzia ukanjanja wenu wa kujibaraguza. Kumbe njaa inawasumbua

Kuna mtanzania asiye na njaa, hebu nitajie hata wawili kwa kuanzia na hayo majizi ya kura ya CCM.
 
Ni muda sasa kuwe na chombo cha kumwakilisha mwananchi ambacho si bunge 😂😂.
 
Tanzania dawa ni moja tu kuiondoa CCM madarakani, shida hakuna wapinzani wa kweli Tanzania hii.
Wengi wa wapinzani wetu ni kujikomba, kutaka sifa waonekane wao ni wao, lakini kiu ya ndani kujitoa kwa mioyo yao kwa ajili ya watanzania sijaona.

Nchi watu wanaishi kwa kutegemea uchawa. Hata mtu anaharibu lakini machawa anao watamtetea sana.

CCM, ipo kwa watu maalum, na kamwe wananchi msijidanganye kwamba CCM ipo kwa maslahi yenu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…