Yuko sahihi kwa 100%. Wabunge wengi hawajielewi. Inashangaza kwenye kikao cha bajeti kuzungumzia yasiyohusiana. Bunge la bajeti lakini kila akisimama mbunge atazungumzia ripoti ya CAG na Ushoga. Tanzania tumepata bahati ya kupata spika kijana na msomi.
Sasa wanajadili matumizi gani bila reflection ya usafi wa matumizi hayo?Spika wa Bunge, Dkt. Tulia Ackson amesema Bunge halitachukua hoja zitakazochangiwa na mbunge sasa kuhusu ripoti ya CAG kwa sababu mkutano wa sasa wa bunge ni wa bajeti na si kujadili ripoti hiyo.
Source:
Safi, amefuata sheria, watanzania wana mihemko sana, kukurupuka ndio jadi yao.
Kiuhalisia Bunge letu haliwakilishi wananchi bali linalinda maslahi ya chama na majambazi ya kisiasaBunge dhaifu sana.
Safi, amefuata sheria, watanzania wana mihemko sana, kukurupuka ndio jadi yao.
Ndo kamaliza uspika wake.Sheria gani kafuata?. Ya kumlinda mme wake?
Nani mwizi? Hakuna mahali CAG amemtuhumu mtu kwa wizi! Zile ni kasoro za kiukaguzi, lazima sheria ifuate mkondo kujua kama kulikuwa na ubadhirifu au la, kukurupuka na kuanza kuita watu wezi ni dalili za kutoikewa maana nzima ya ukaguzi.
Kwa mujibu wa sheria, kamati za bunge ndio zinafanya kazi hiyo ua uchunguzi na kuchambua zipi pumba upi mchele. Ripoti za CAG hazishuki toka mbinguni, zimejaa pumba kibao.
Kama lengo la kikao bajeti ijadiliwe bajeti, kama ni muda muafaka kufanya mapitio ya report ya sieijii na iwe hivyoLengo gani ?. La kuwalinda mafisadi?. Huyo anamlinda mme wake, ambaye ana tuhuma za ufisadi.
Econimist umekuja kuwaje?Hiyo bajeti inatekelezwa na nani kama wizi na ufisadi umetamalaki?. Unajadili bajeti itakayoenda kuliwa na wajanja.
Kama lengo la kikao bajeti ijadiliwe bajeti, kama ni muda muafaka kufanya mapitio ya report ya sieijii na iwe hivyo
Econimist umekuja kuwaje?
Dhidi ya uchafu wenu, nchi ya kipumbavu mno!Ndiyo maana ya spika kuilinda serikali
Uko na very clear pointPoint yangu ni kwamba , unajadilije bajeti wakati robo ya bajeti iliyopita imepigwa?. Unajadili bajeti kwa ajili ya kuliwa au kufanya kazi?. Wangeanza kwa kujadili ripoti hata kwa wiki moja halafu , halafu watoe maazimio kama ya richmond.
Lile sio bunge, ni kikundi cha kifisadi cha CCMHuyu yuko compromised sana sema nilauku Watanganyika kwa kuwa Mazezta, inapaswa siku moja hilo Bunge lipigwe kiberiti ndio ufahamu utawalejea
Kamati ya hesabu za serikali ambayo inapaswa kuongozwa na mbunge wa upinzani ilinajisiwa na Ndugai baada ya kumtoa Zito na kumpa mbunge ex-ccm na sasa ex- Chadema KaboyokaSpika Tulia amesema Ripoti ya CAG itajadiliwa kwenye Mkutano wa mwezi November 2023
Huyo ni baada ya Kamati za Bunge kuwa zimeshakamilisha wajibu wake wa kisheria.
==========
Spika wa Bunge, Dkt. Tulia Ackson amesema ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) ya mwaka 2021/22 itajadiliwa kwenye mkutano ujao wa bunge, Novemba 2023, baada ya kamati za hesabu za Serikali kumaliza kazi zake.
Spika wa Bunge, Dkt. Tulia Ackson amesema Bunge halitachukua hoja zitakazochangiwa na mbunge sasa kuhusu ripoti ya CAG kwa sababu mkutano wa sasa wa bunge ni wa bajeti na si kujadili ripoti hiyo.
View attachment 2586406
Source: Swahili Times
Unakatwa na mzabzabSafi dada Tulia
Bunge lisiondoke kwenye lengo la sasa
Yani ufisadi unapewa muda?. Mnajadili bajeti ya watu kwenda kupiga tena pesa?. Tangu Tulia aseme rais halazimishwi kufuata ushauri wa bunge nilimuona kilaza first class. Spika wa hovyo kutokea. Jinga kabisa.