Dodoma: Basi lililobeba Wabunge wa Tanzania lagonga Lori na kuwajeruhi Wabunge 23

Dodoma: Basi lililobeba Wabunge wa Tanzania lagonga Lori na kuwajeruhi Wabunge 23

dua la kuku kwa mwewe bana, hua ni vichekesho sana dah 🐒
Juu ya hizo comments maana yake ni kwamba hawana uhalali wa wananchi na ndio maana wananchi huwaombea mabaya wafikwe na mabalaa. Kama ni dua la kuku subiria likishatokea lolote juu yao njo useme tena ni dua la kuku.

Ni kiongozi gani anaefikwa na balaa asiombewe dua ni wananchi wake? Jitathimini nchi hiyo sio mali ya ccm kwamba wafanye wanavyotaka kwasababu tu hutumia policcm kubakia hapo.
 
Juu ya hizo comments maana yake ni kwamba hawana uhalali wa wananchi na ndio maana wananchi huwaombea mabaya wafikwe na mabalaa. Kama ni dua la kuku subiria likishatokea lolote juu yao njo useme tena ni dua la kuku.

Ni kiongozi gani anaefikwa na balaa asiombewe dua ni wananchi wake? Jitathimini nchi hiyo sio mali ya ccm kwamba wafanye wanavyotaka kwasababu tu hutumia policcm kubakia hapo.
hata kuku ndivyo anavyomuombeaga mwewe hivyo,

lakini mwisho wa siku anakua victim wa dua zake mwenyewe .

Licha ya utofauti wa mirengo, ni muhimu zaid kuombeana mema 🐒
 
Comment zinaonesha the true filling of citizen kwa wabunge wao, pekee asiye na akili ataona wananchi wanajifurahisha lkn kuna ujumbe mzito kwenye hizo Comments!
kuku wote humuombea mwewe mabaya but at the end kuku ndie anakua the first victim wa maombi yake mabaya kwa mwewe.

ni muhimu kumshukuru Mungu kwa kila Jambo 🐒
 
Kwakweli hata mimi wabunge hawana faida kwangu! Watumishi wa umma tuna madai lukuki kwa serikali! Serikali haitaki kulipa! Lakini uwezi kusikia au kuona nguvu za wabunge kutetea wananchi! Wako tu kwa maslahi yao binafsi! Kwa mfano! Madai ya mapunjo ya mafao ya wananchi kutoka Azina ambayo watu tumedai zaidi ya miaka 10/20/30, nk, serikali hailipi na wabunge wako tu wanatunisha matumbo! Hawana faida!
 
Mi namuonea huruma mwenye gari tu hao wengine hata sitaki kujua kilichowakuta.
hakuna haja ya huruma gentleman,
ni muhimu kuzidisha juhudi katika kufanya kazi kwani mtaji ulionao ni nguvu zako mwenyewe,

Chuki, roho mbaya na gubu kwa wengine, vitakuchelewesha na kukuumiza moyo tu 🐒
 
Ulitamka haya hata awamu ya tano lkn March 17 iliamua!
yako mambo ambayo hakuna haja kumbwelambwela na ushirikiana wako gentleman,

kila nafsi itaonja umauti sawa sawa na kadiri ya mapenzi ya Mungu, na sio ushirikiana, mihemko na makasiriko yako, right 🐒
 
Back
Top Bottom