The Sunk Cost Fallacy
JF-Expert Member
- Dec 1, 2021
- 19,582
- 14,167
ππ Ukiona hivi ujue kuna mtu wa mwaloni kule Mwanza kapewa dozi ,tulia dozi ikuingie Mzee..Hili jukwaa limeshaingiliwa na wavuta bangi hadi limekosa maana. Heshima ya JF imeshuka sana. Huku sasa hivi ni umbeya na upuuzi tu.
Dar ina mandhari yapi ya kuizidi Arusha? Hiyo Mandhari labda ya barabara nothing else.Arusha nilikaa 2011 na huwa napita mara kadhaa na ninakubaliana na wewe kwamba mandhari ya arusha inazidiwa na dar peke yake katika nchi hii.
Unauliza mipango Miji Tanzania? Kwa muktadha wako hakuna Mji hapa Tanzania ambao haujapimwa katikati ya Mji,haupo..Ni kweli kabisa vigezo vilivyotumika ni vya kisiasa zaidi. Mahali panaitwa jiji lakini ardhi katikati ya hilo jiji haijapimwa na makazi ni holela.
Miundombinu ya barabara, maji safi na taka na usafi wa mazingira ni hatarishi kabisa. Yaani hizi ni halmashauri tupu, hakuna jiji hapa.
Mwanza ina kipi cha zaida kushinda Mbeya au Tanga?Mwanza ni jiji ila mbeya na tanga hapana
Baada ya Dar inafuata Dom ndio Arusha.Pamoja na vigezo hivyo, mimi bado siafiki Dodoma kuwa jiji
Naona na huku mnapigwa za kisogoni ππππArusha uthenge mtupu Hamna kitu kila mtu mjini kavaa mchafu mchafu hamna kitu pia ,watu wamefika mpaka dubai ,south wakija dar wanaona takataka kifupi dar na mwanza labda na dodoma kuliko bakia ni ovyo tu.
Tumejua unakotokea π€£π€£.Nimeshasema na kuandika sana humu ndani majiji TZ ni mawili tu Dar na Mwanza... Hayo mengineyo ni AFFILIATED MUNICIPALS.
Sasa kama unapafahamu vyema unatoaje comment ya hivyo?!Vigezo vinaibeba arusha kuliko huko kwingine. Mimi sio mwenyeji wala mkaazi wa huko.
Kwa hiyo mnavyobanana kwenye tuvyumba twa kule kwenye slums zenu ndio nyumba za hadhi? ππNdio.. hadhi ya nyumba nyingi mkoani bado ni hafifu sana.
Mkuu Mimi natokea Songea Ruvuma wala huna haja ya kuguessTumejua unakotokea π€£π€£.
Mwanza pale hakuna kitu ni hovyo tuu
Mwanza inazidi kukataliwa ππππIwe na watu laki 5
Iwe na uwezo wa kujitegemea kimapato asilimia 95
iwe na makao makuu ya mkoa
Iwe na miundombinu ya kutosha
Na wakazi wake wasiwe wanaotegemea kilimo kama shughuli ya kiuchumi
Hakukanyaga chini? Na huyu aliyeenda kuonana na Mzee Ruksa ni nani?Siku narudi bongo ndio nilijua why M Jackson miguu yote hakukanyaga chini bongo mmoja ulikatalia kwa ndege akarudi USA akaakataa huku sio kabisa
Sasa Mwanza yako hiyo hakuna barabara Wala apartments inakuaje Jiji kwa Hali hiyo?Mkuu Mimi natokea Songea Ruvuma wala huna haja ya kuguess
Mwanza imeizidi nini Mbeya,Tanga au Dodoma?Mwanza iendelee kubaki kuwa jiji, ila kwa Dodoma, Tanga na Mbeya naunga hoja mkono
Kinachoibeba Dar ni tubarabara,majengo marefu,na vimitaa vichache vya wenye nazo..Na dar unasrmaje mkuu, mNA DSR NDO JIJI CHAFU na halijapangws kuliko majiji yote ukitaka kuona dsr ni kama kichska shuka kwa ndege
Nakubaliana na wewe mkuu, mbumbumbu wengi wanaokuja Mbeya eti huwa wanatka wakute majengo yoote yamerundikana CBD ndio waseme Jiji π€£π€£..Wewe nae unatafutiza tu, sasa ukitoka Isanga vijiji vya milimani huko kuelekea chunya unavihesabia? Mbeya ni pazuri sana, mzunguko wa hela upo, system ya usafiri wa uma ni nzuri,
population kubwa kuna toto kali za kinyakusya black beauty halafu zina mizigo, mazao bei chee mahindi mengi na mchele wenye ubora na viazi vya kutosha, ndizi na maparachichi ni kama ya bure tu, hali ya hewa nzuri ya baridi safi kabisa.
Ukitaka kufaidi maisha kaishi Mbeya, huku Dsm mnateseka tu!
Au nasema uwongo Beesmom ?
Na ushamba wako utaiwezea wap dar ..ndo maana unaogopa [emoji12][emoji28][emoji28]Pamoja na maisha yenu ya huko Dar kamwe siwezi ishi sehemu kama hiyo maana robo tatu ya watu wanaishi kwenye slums,Mji unanuka,watu ni wengi hatari na ufirauni wa kuzidi..
Mikoani hayo mambo ya hovyo hayapo.
Washamba na mburula Ndio wanaweza sema Mwanza ni Jiji..Umefeli ..umepost bila kuzingatia facts..umetoa maoni ya kichokozi .hasa umetarget kuwachokoza watu wa mwanza....
Tanzania Kuna majiji mawili tu Kwa kuzingatia Sheria ya maendeleo ya miji
Sheria namba Moja
Jiji linatakiwa kuwa na watu laki 5+
Mwaka 2012 sensa .ni dar na mwanza tu zilikuw na hii sifa .. hiyo miji mingine ilikuwa down
We jamaa unaisemea mwanza ya Malawi nniSasa Mwanza yako hiyo hakuna barabara Wala apartments inakuaje Jiji kwa Hali hiyo?