Cha kushangaza serikali yako ya CCM ndio inasimamia jiji la DarNimesoma chuo Dar miaka 3,nimefanya Kazi miaka 2 na kila mwezi wa 7 nakuja Kwa event ya wiki zima ,naanzaje kugongwa na gari huko kwenu Kwa kina midebwedo?
Siwezi ishi Jiji la hovyo hilo,linanuka kuanzia hapo bandari I hadi kawe beach..
Inyeshe mvua tabu,liwe jua tabu ..Horrible life hiyo huwezi ikuta mikoani na in fact haipo Mbeya Wala Njombe.
Kwa Tanga inavyo vyote ila majengo hamna kabisa!!
Tanga lini imefikisha watu laki 5 labda mwaka huuKwa Tanga inavyo vyote ila majengo hamna kabisa!!
Unazingua..Mbeya kuna totoz kali ?,hivi kwanini mbeya kwanini watu wengi wako rafu rafu halafu kwanini wanawake wengi wa mbeya wana ndevu
Huko ulikotaja wanaishi chini ya 20% ya watu wa Dar..Ukija Dar jitahidi ufikie Masaki, Osterbay, Mbezi Beach , Mbweni, Upanga, mikocheni.
Acha kufikia Tandale, Mburahati, keko, Buguruni,
Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
Hakuna mji usio na Baiskeli,hata ukifika London,baiskeli zipo.Pale mjini niliona baiskeli tupu.
Kwa nini mnaumia mji,ukiitwa jiji,kwani utaambia uubebe mgongoni.Kama hutaki kuishi hapo kwenye jiji,hamia kijijini.Arusha haijakizi Haina airport nzuri, stendi ya mabasi Haina, bado vidaladala kama vipanya hamna cha maana wezi kibao
Kama waona Arusha sio jiji,ksishi kijiini,hujalazimishwa uishi kwenye jiji.Maana yake ni kwamba kama miundombinu haijakamilika na hakuna zile huduma bora basi hayo maeneo hayana hadhi ya kuwa majiji.
Arusha haitajengwa airport kubwa kwa sasa kwasababu tayari ipo pale karibu na KIA. Stendi inaweza kujengwa wakati wowote.
Hata hivyo arusha nayo ina maeneo mengi sio mazuri na hayajapangika lakini kwenye kuangalia mandhari arusha iko mbali sana kufananisha na hiyo mikoa mingine.
Lindi inatakiwa kuwa halmashauri ya mji mdogo.Hivi lindi pakoje kwani ni kama miji tu ya wilayani au
Sidhani kama umemuelewa. Huyo anasifia Arusha.Kama waona Arusha sio jiji,ksishi kijiini,hujalazimishwa uishi kwenye jiji.
NAUNGA MKONO HOJA.Nimesafiri kwenye maeneo tajwa hapo juu katika siku za hivi karibuni na ninathibitisha kwamba hayo sio majiji.
Hizo ni halmashauri tu na labda juu sana ni manispaa lakini sio zaidi ya hapo. Vigezo viboreshwe ili nchi itoe hadhi ya mahali kulingana na uhalisia.
Nyumba zimesambaa kama takataka na miundombinu ni hatarishi katika maeneo haya. Hali ya maisha sio nzuri.
Mbeya ni kijijini ambako umeme na maji vimefikishwa. Raia na miundombinu bado iko zama za ujima.hivi kwanini mbeya kwanini watu wengi wako rafu rafu halafu kwanini wanawake wengi wa mbeya wana ndevu
SawaSidhani kama umemuelewa. Huyo anasifia Arusha.
Ni kweli.Siku narudi bongo ndio nilijua why M Jackson miguu yote hakukanyaga chini Bongo mmoja ulikatalia kwa ndege akarudi USA akaakataa huku sio kabisa.
Hapa umempatia.🤣Cha kushangaza serikali yako ya CCM ndio inasimamia jiji la Dar
Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
Ni kweli.HV Ni kweli alikataa kata kushuka au uzushi kumbe Tanzania hatujaanza kuwashobokea wasanii wa nje leo
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
France na Scandinavian countries baiskeli zinaendeshwa kuliko TaboraHakuna mji usio na Baiskeli,hata ukifika London,baiskeli zipo.
Tanga wanaendesha kwasababu ya umaskini.France na Scandinavian countries baiskeli zinaendeshwa kuliko Tabora
Pale tanga watu ni choka mbaya hawana namna nyingine.. ulaya watu wanaendesha baiskeli kama sehemu ya mazoezi.. pia kuna miundombinu inayofanya uendeshaji uwe salama.Hakuna mji usio na Baiskeli,hata ukifika London,baiskeli zipo.