Nipunguze Ngebe aje[emoji1]
Sasa kukuuliza hivyo ndiyo u'jam namna hii Surely!!!!!

Maana unataka maelezo ya maisha yangu,wewe Nani kwani?punguza shobo bibie sijakuquote Mimi ni wewe na kiherehere chako
Nilikuwa naelezea story yangu na mjeda ndio topic hapa kama hujaelewa pita kushoto
Sija jam ila sipendi mtu kujifanya mjuaji wa maisha ya wengine,huna mandate ya kunifanya ujam
Uups!Pole kama umeona nimekushushua
 
Eeeeeh 🙆🙆🙆🙆🙆🙆sio ukali huo Sasa😂😂😂
 
Kufumaniwa ni uzembe wa Karne.
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] mwamba alitisha Sana Sana ata Mimi siwezi kukubali ata siku unidhalishe mbele ya watu. Hakuna kitu sipendi kama mtu kunivunjia heshima hapo ntachukia utajua lakini tukiwa wawili fresh ata msamaha wa machozi natoa hila nje uko [emoji1787][emoji1787][emoji1787] thubutu
 
Wewe ndio Aina ya wanaume mnatakiwa!Kuna mahali nimesema kwani si angetulia halafu amwambie mkewe kilikuwa kikao Cha kiofisi haoni Kama angesolve tatizo Kwa njia rahisi,Sasa kukimbia ni kuongeza taharuki matokeo ndio hayo...Kuna wanaume mawenge sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…