Dodoma: Naibu Waziri wa TAMISEMI Festo Dugange apata ajali akiendesha gari
Nipunguze Ngebe aje[emoji1]
Sasa kukuuliza hivyo ndiyo u'jam namna hii Surely!!!!!

Maana unataka maelezo ya maisha yangu,wewe Nani kwani?punguza shobo bibie sijakuquote Mimi ni wewe na kiherehere chako
Nilikuwa naelezea story yangu na mjeda ndio topic hapa kama hujaelewa pita kushoto
Sija jam ila sipendi mtu kujifanya mjuaji wa maisha ya wengine,huna mandate ya kunifanya ujam
Uups!Pole kama umeona nimekushushua
 
Hivi hata ukiangalia uchangiaji wangu nina gubu?
Hapana, niko peace na mcheshi mnoo..
But mtu akigusa sharubu atasimulia kuzimu.
Asee mimi mkali hadi najiogopa...kwanza sijawahi kukasirika raia akabaki mbele yangu...sharti ukimbie😂😂😂😂
Usijekusema sikukwambia
🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️
Eeeeeh 🙆🙆🙆🙆🙆🙆sio ukali huo Sasa😂😂😂
 
Sijawahi fumaniwa na Mungu anisaidie, but huwa nachezesha akili haraka kwenye hatari.
Ukijijua wewe mcheoukaji unapaswa kuwa na akili ya ziada, hakupaswa kutoka pamoja na mchepujo.
Pili yeye ni kiongozi angepaswa kukausha asikimbie labda kama alikutwa chumbani akiwa kifuani, vinginevyo alipaswa kuwa mtulivu na atengeneze mazingira kuwa yalikuwa mazungumzo ya kikazi tu
Kufumaniwa ni uzembe wa Karne.
 
Hio siku aliniumiza sana maana alinibadilikia ikawa Mimi ndio Nina kosa[emoji3][emoji3][emoji3]alafu wenzake wanasema shemeji mwanaume hachungwi aisee walikuwa wananishambulia left and right nikawa peke yangu anajitutumia mimi mwanamke hawezi kuniendesha [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ila kufika ndani alikuwa opposite na aliyoyafanya mbele ya washikaji zake
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] mwamba alitisha Sana Sana ata Mimi siwezi kukubali ata siku unidhalishe mbele ya watu. Hakuna kitu sipendi kama mtu kunivunjia heshima hapo ntachukia utajua lakini tukiwa wawili fresh ata msamaha wa machozi natoa hila nje uko [emoji1787][emoji1787][emoji1787] thubutu
 
Sijawahi fumaniwa na Mungu anisaidie, but huwa nachezesha akili haraka kwenye hatari.
Ukijijua wewe mcheoukaji unapaswa kuwa na akili ya ziada, hakupaswa kutoka pamoja na mchepujo.
Pili yeye ni kiongozi angepaswa kukausha asikimbie labda kama alikutwa chumbani akiwa kifuani, vinginevyo alipaswa kuwa mtulivu na atengeneze mazingira kuwa yalikuwa mazungumzo ya kikazi tu
Wewe ndio Aina ya wanaume mnatakiwa!Kuna mahali nimesema kwani si angetulia halafu amwambie mkewe kilikuwa kikao Cha kiofisi haoni Kama angesolve tatizo Kwa njia rahisi,Sasa kukimbia ni kuongeza taharuki matokeo ndio hayo...Kuna wanaume mawenge sana
 
Back
Top Bottom