Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 59,045
- 94,974
Tuiachie serikali.Seeikali itampa nyingine
Hapo hasara labda roho tu
Ova
Litanunuliwa ila kashatutia hasara mhuni huyuLitanunuliwa lingine kairuki alishapitisha bajeti ya magari ya mabos tamisemi[emoji120]
Hakuna Personal issue kwa Kiongozi wa Serikali anayetumia resources za Umma kwa Umalaya.
Sasa hapo kosa ni la mwanamke tena? 🤣🤣🤣 Mnajuaje Kama mume alikuwa anampiga na kumdharau kisa michepuko? Ukute ndoa ilimshinda alichokuwa anahitaji ni ushahidi tu Ili adai talaka.Sasa na hizo bange zake Wacha mume afe halafu watoto wawe panyaroad. Na wakija kujua kisa kilichomuondoa baba yao na kuwaachia taabu watamchinja huyo mama
Baba alikosea harekebishwi kwa kumfanyia matendo ya aibu. Mimi naamini ukishafanya fumanizi la aibu kama hilo upendo umekufa na hamuwezi ishi tena ndani ya chumba kimoja.
Wanawake tuwe tunawaza mbali kidogo
Tusifanye mambo kwa mihemko tukaishia kuzalisha majanga makubwa zaidi
WANAUME zinaa mnazofanya mnajiangamiza wenyewe
Mit 6:32
Mtu aziniye na mwanamke hana akili kabisa; Afanya jambo litakalomwangamiza nafsi yake.
Habari itakuwa kweli hii,vinginevyo Uzi ungeshanyofolewa huuKama ni kweli yatakuwa mambo ya hovyo sana.
Huko usije....Bado kidogo ningekuja pm kupata darasa zaidi haha
Daaah Kwa hiyo nyie waume zetu ni maharage ya mbeya?mkiwindwa mnagawa tu tamu zetu huko kama pipi?Joannah kama umeokewa nakushauri kila mmeo akitoka wewe piga magoti muombee, wanaume wanaisafiri kama mimi watakubaliana na mimi, tunawindwa kuliko kawaida.
Mimi nikiwa na pesa ya kutosha napenda kuchukua lodge tulivu isiyo na mwingiliano kivile au yenye hadhi.
Kuna lodge ukifikia usumbufu mkubwa mnoo.
Wanaume siku hizi tunawindwa kuliko mnavyofikiri, hali ni tete.
Mnasema waume zenu hawana nguvu za kiune???...hapana, kei zimekuwa cheap wanapewa sana, akirudi kwako analala au anagusa kidogo analala.
Hali tete kwetu mtuombee😁😁😆
Ndiyo Umalaya Sasa"Mapenzi yanarun dunia"
Sijasema hivyo, lkn hali ndio hiyoDaaah Kwa hiyo nyie waume zetu ni maharage ya mbeya?mkiwindwa mnagawa tu tamu zetu huko kama pipi?
NakaziaMwisho wa ubaya ni aibu. Pole yao
SanaHatari
Tutawaombea..Sijasema hivyo, lkn hali ndio hiyo
alipiga vyomboHaya ndio matunizi ya kodi zetu... Dah ila mpaka vieitee ina kaa upside down sijui nini kilitokea.