Hakuna Personal issue kwa Kiongozi wa Serikali anayetumia resources za Umma kwa Umalaya.
 
Saz Sasa hapo kosa ni la mwanamke tena? 🤣🤣🤣 Mnajuaje Kama mume alikuwa anampiga na kumdharau kisa michepuko? Ukute ndoa ilimshinda alichokuwa anahitaji ni ushahidi tu Ili adai talaka.
Halafu afike eneo la tukio mume amfokee, 🤣🤣🤣 Labda angekuwa hajitaki.
 
Umalaya Jamani Utatumaliza
Mahangaiko Yote Haya Ni Kuloweka Tu
Kwahiyo Mheshimiwa Anafikiria Kuendesha Gari Kama Hilo Ni Kazi Rahisi Tu,
Anapokuwa Anamuona Dereva Anampeleka Popote Aheshimu Kazi
Yeye Amelitupa B8 Tu, Sehemu Nzuri
 
Daaah Kwa hiyo nyie waume zetu ni maharage ya mbeya?mkiwindwa mnagawa tu tamu zetu huko kama pipi?
 
Hii Ajali Imetokea Wapi Na Mke Wa Mheshimiwa Aite Waandishi Azungumzie Hili Sakata

Umalaya Jamani Japo Hatuachi Siyo Kwamba Tumekoma Laa Hasha!! Hapa Tunasema Ajali Kazini, Kufumaniwa Kawaida
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…