DR HAYA LAND
JF-Expert Member
- Dec 26, 2017
- 23,928
- 63,499
Hii nchi imekuwa ya kujadili matukio na sio sera za nchi na maendeleo ?Fukuza wazinzi weka waadilifu just as simple as that !!
Usitegemee maendeleo kuletwa na watu wenye tabia mbaya mbaya waliokabidhiwa ofisi kubwa za Umma !! Ndio maana Nchi zilizoendelea wapo strict sana na tabia za watendaji wao ! Boris Johnson alilazimishwa kujiuzulu Uwaziri mkuu wa 🇬🇧 UK kwa sababu ya kuvunja tu kanuni ya lockdown ya Corona !!Hii nchi imekuwa ya kujadili matukio na sio sera za nchi na maendeleo ?
Inashangaza nchi nzima vijana kwa wazee kumjadili mzinzi na sio maendeleo tuache Upumbavu wa kujadili watu na hii ni kampeni inayoratibiwa na Ccm chini ya wazee wa propaganda doesn't make sense sisi 24/7 tukawa tunajadili Uzinzi na wazinzi mara Simba na Yanga this is shit.
Usikute huyo ni mtuhumiwa mwenyeweYaani wewe kifo cha mwananchi mwenzako katika mazingira tatanishi hakikugusi! Au mpaka ndugu yako wa damu yamkute?
Swali lako unadhani linatusaidia nini sisi wananchi wa kawaida.Haustahili kuwepo kwenye ulimwengu wa watu wastaaarabu.Yawezekana ukifiwa unaweza kuhamua marehemu umzike peke yako na ukawauliza waliokuja kuzika je mgezika ingewasaidia nini nyie ambao sio ndugu? Nakushauri uwahi milembe.Endapo tukipata ukweli je sisi wananchi wa kawaida itatusaidia Nini?
Hakuna tena investigative journalism nchi hiiInvestigative journalism inapaswa kufanywa kuutambua ukweli
Tatizo kubwa ni kuwa Tanzania hatuna media bali waganga njaa waliofeli maisha wakaigiza ni waandishi wa habari. Hili jambo ni rahisi mno mno kupata ukweli wake tena na ushahidi usio na shaka kama mwandishi wa habari akiamua kufuatilia. Kina Pascal Mayalla kazi kuganga njaa tu.Serikali msijaribu kulificha suala la ajali ya Waziri Dugange, maana kama ilivyo KARMA itaondoka na vichwa vya watu.
Mwanzo kabisa zilitokea tetesi:
1. Naibu waziri apata ajali akiwa na gari la serikali akikimbizwa kufumaniwa na mke. Mpenziwe afariki kutokana na ajali hiyo.
2. Tetesi hizo zilikanushwa na Polisi, na kukanusha kuwa hakuna aliyefariki ajali hiyo
3.Makamu wa Rais alimtembelea Naibu Waziri hospitali.
4.Mpenzi wa Naibu Waziri bado hakujulikana, bodoboda waliofika eneo la ajali waliona maiti ya mwanamke.
5.Tunapata habari mwanafunzi Nusra Hassan ati kafia Moshi kilimanjaro kwa kipigo cha mpenzi wake.
Jina la mpenzi wake halijulikani.
6. Hospitali huko Himo Moshi, inakanusha kumpokea Nusra hospitalini hapo.
7. Taarifa mkanganyiko za kifo cha Nusrat Hassan toka chuoni kwake UDOM, zinakubali kutokea kifo lakini hazielezi mazingira wala sababu za kifo, wala kama wameripoti polisi.
8. Polisi kama kawaida inafuatilia tu taarifa za mitandao, haikiri kama kuna RB imefunguliwa na mtu yeyote.
9. Ndugu wa Marehemu Nusra isivyo kawaida hawajajitokeza hadharani kudai taarifa sahihi za kifo cha ndugu yao.
KUTOKANA na mlolongo huo ni dhahiri sasa mtu mwenye akili atagundua kuwa mwanamke aliyekuwa na Dugange si ajabu ni huyo Nusra, hatuna uhakika huo, lakini mazingira ya tukio yana shabihiana.
Hivyo basi, POLISI na Dugange , mumwogope Mungu.
Kubalini na muwe wakweli kwa yaliyotokea ili ukweli ukidhihirika wananchi watakuwa wepesi kusamehe.
Lakini mkipandikiza uongo juu ya uongo mbingu na nchi hazitawasamehe.
Mbaya zaidi mnamharibia Mama Samia, hatutaki kurudi kule tulikotoka, kuficha ukweli.
Muachieni Paskali jamani🤣Tatizo kubwa ni kuwa Tanzania hatuna media bali waganga njaa waliofeli maisha wakaigiza ni waandishi wa habari. Hili jambo ni rahisi mno mno kupata ukweli wake tena na ushahidi usio na shaka kama mwandishi wa habari akiamua kufuatilia. Kina Pascal Mayalla kazi kuganga njaa tu.
Roho wa ukweli aliye ndani yako na akulinde.
Kigogo
@kigogo2014
Tamisemi na Naibu waziri wenu mna damu mikononi ya huyu binti!.
Huyu binti alikuwa na naibu waziri Dugange siku ya tukio na alichukuliwa chuo usiku kwenda kufanya umalaya na waziri wakaenda Chako ni Chako baada ya kumaliza kufanya uzinifu wao. Sasa wakati wapo wanalewa na kula mikuku ya kuchoma mke wa naibu waziri Dugange akapata taarifa kwamba munewe yupo na mwanamke Chako ni Chako Bar akakusanya watu wakiwemo waandishi wa habari wawili wakioko Dodoma ku cover mambo ya bunge kwenda kumfumania. Dugange akiwa kwenye harakati za kuka vidali vya kuku akamuona mkewe anazurura kumtafuta ndipo alipokimbia kwenye gari na huyo binti nakuondoa gari huku mkewe naye akimfuata nyuma wanafukuzana na magari! wakati wanafukuza ndipo Dugange aliyekuwa anaendesha gari akashindwa ku control gari na ikapinduka na binti kafa hapo hapo maana alikuwa hajafunga mkanda. Naibu waziri akapelekwa hospitali lakini kwa kificho sana bila kutaka ijulikane na serikali ikaficha jambo hili mpaka lilipoanza ku surface kwenye mitandao Gari la naibu waziri likapelekwa nyumbani kwake badala ya polisi kwa uchunguzi na mwili wa Nusura ukasafirishwa kimya kimya mpaka Hai tena kwenye kizahanati tu na kusema kafia hapo akioatiwa matibabu
Ukweli ni tunu ya kimaisha.Endapo tukipata ukweli je sisi wananchi wa kawaida itatusaidia Nini?
Ajali ni ajali...Anaendeleaje Dugange
Nyie ndo mnataka watu wapigwe ban kwa kuwatukana....Duh! Ila kwenye hili ishu ni nini haswa! Mtu kufa kwenye ajali!!? Fumanizi!!? Kumjua aliekufa kwenye ajali!!? Kupotea/kifo cha mwanafunzi wa chuo!!? Au ni nini
Na tukisha yajua hayo yanatusaidia nini kimsingi tukiwa kama wananchiView attachment 2612299
Ndugu Ndugange ,alikuwa daktari au MD pale Simiyu mpaka Mwaka 2020 alipojaribu kugombea ubunge Jimbo la Wagong'ombe na kushika nafasi ya tatu kupitia CCM.Walioongoza wawili kwa kuwa walikuwa na upinzani mkubwa sana ,ikabidi CCM impitishe yeye.Yaan akaokota dodo na kuwa mgombea ubunge katika hilo Jimbo la Wagong'ombe .Kumbe aliendelea kuokota dodo na kuwa naibu wazir.Oh !!Ndugu yetu amepatwa na mkosi upi tena?Tumuombee.Serikali msijaribu kulificha suala la ajali ya Waziri Dugange, maana kama ilivyo KARMA itaondoka na vichwa vya watu.
Mwanzo kabisa zilitokea tetesi:
1. Naibu waziri apata ajali akiwa na gari la serikali akikimbizwa kufumaniwa na mke. Mpenziwe afariki kutokana na ajali hiyo.
2. Tetesi hizo zilikanushwa na Polisi, na kukanusha kuwa hakuna aliyefariki ajali hiyo
3.Makamu wa Rais alimtembelea Naibu Waziri hospitali.
4.Mpenzi wa Naibu Waziri bado hakujulikana, bodoboda waliofika eneo la ajali waliona maiti ya mwanamke.
5.Tunapata habari mwanafunzi Nusra Hassan ati kafia Moshi kilimanjaro kwa kipigo cha mpenzi wake.
Jina la mpenzi wake halijulikani.
6. Hospitali huko Himo Moshi, inakanusha kumpokea Nusra hospitalini hapo.
7. Taarifa mkanganyiko za kifo cha Nusrat Hassan toka chuoni kwake UDOM, zinakubali kutokea kifo lakini hazielezi mazingira wala sababu za kifo, wala kama wameripoti polisi.
8. Polisi kama kawaida inafuatilia tu taarifa za mitandao, haikiri kama kuna RB imefunguliwa na mtu yeyote.
9. Ndugu wa Marehemu Nusra isivyo kawaida hawajajitokeza hadharani kudai taarifa sahihi za kifo cha ndugu yao.
KUTOKANA na mlolongo huo ni dhahiri sasa mtu mwenye akili atagundua kuwa mwanamke aliyekuwa na Dugange si ajabu ni huyo Nusra, hatuna uhakika huo, lakini mazingira ya tukio yana shabihiana.
Hivyo basi, POLISI na Dugange , mumwogope Mungu.
Kubalini na muwe wakweli kwa yaliyotokea ili ukweli ukidhihirika wananchi watakuwa wepesi kusamehe.
Lakini mkipandikiza uongo juu ya uongo mbingu na nchi hazitawasamehe.
Mbaya zaidi mnamharibia Mama Samia, hatutaki kurudi kule tulikotoka, kuficha ukweli.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] hili swala limejaa akili na sura ya fumanizi zaidi kuliko tukio la ajali yenyewe hivyo pole kama utakua umenielewa vibayaNyie ndo mnataka watu wapigwe ban kwa kuwatukana....
Akili yako imejaa m@vi na ubongo ulishaukunya siku nyingi
If true kama Taifa we are LOST !!
Swali lako la kwanza, ni kweli si sahihi kutumia gari ya serikali kwenye harakati binafsi haswa kama anazotuhumiwa nazoNi sahihi waziri kutumia gari la unma kwenda kufanya zinaa?
Ni sahihi mtu kufa kifo cha utata na kusiwe na uwajibikaji wowote ?
Vipi angekuwa dada yako ndiyo kakutana na kadhia hiyo ungekuwa na mtazamo huu ulionao ?
Katiba mpya ni muhimu !!Ninapokutana na tamko la kijinga kama hili, nabaki tu nimeduwaa! Yaani pamoja na yote yanayotokea kila leo, tukio hili moja (ambalo hata hivyo bado una mashaka kama ni kweli) hujui kuwa as a nation we are lost!
Ni miaka mingapi toka marehemu Kolimba aliyekuwa Katibu Mkuu wa CCM atamke kuwa kama taifa tumepoteza dira? Je unakumbuka jibu alilopata baada ya kukiri ukweli huo?
WE LOST OUR WAY A LONG TIME BACK na ukweli ni kuwa kama taifa tumepotea, CCM imetupofusha macho na kutudumiza akili, hatuoni wala kuhisi hatari iliyo mbele yetu!