Dodoma: Naibu Waziri wa TAMISEMI Festo Dugange apata ajali akiendesha gari
Wanaume wengi viatu haviwatoshi
Mwanaume lazima awe imara katika hali zote
Sasa mwanaume anafanya majanga halafu anakimbia si aibu hiyo
Hebu fikiria ndio Aina ya waume tulionao hawa!yaani kaleta aibu sana
 
Mimi siongelei gari,
Mimi naongelea udhaifu wake kwenye ku handle matatizo Kama mwanaume...Sasa kumdeal na wife tu kafail je kudeal na wizara anaweza kweli.
Udhaifu wake huwezi kuujudge kwenye hilo tukio maana hujaona alichokuwa anakimbia, umeasume tu kuwa alikuwa anamkimbia mkewe ila huenda aliwaza mengi kama ajira yake, aibu, hatujui huenda huyo aliyekuwa nae ni mke wa mtu. Scenario ipo too open kusema hakuwa sahihi kuamua kukimbia. Ukumbuke asingepata ajali halafu akakuhadithia ungemwambia ungebaki hapo ingekula kwako.
 
Bora useme wewe. Yaani mwanaume nina hela alafu niogope mke wangu kujua kuwa nina mcheps...ufaller huo.
Ukiwa na hela mkeo anatakiwa kujua without a shadow of a doubt kuwa una mcheps pisi kali. Always remember a woman has more options than u.
Aaaaah aaah sijasema mkeo anatakiwa kujua,mkeo hatakiwi kujua,Ila ikitokea anajifanya FBI na katokea kwenye eneo la tukio yaani inatakiwa kukaza kiume,unaweza hata kumwambia kwa Nini anakuafuata kwenye vikao vya kibiashar😂😂😂mnakwama sana wanaume wa sasa
 
Yule ni waziri ana cheo ilibidi ajisimamie amwambie nina kikao kuna watu nawasubiri kukutana hapa hotelini.

Anamwambia wifeningia kwenye gari chapu anamtext rafikia yake amoigie simu akimuihitaji haraka. Hapo ndo atampeleka wife home na kurudisha gari la serikari ofisin........simpo laiki zati.

Itoshe kusema baadhi ya wanaume wanapitia maisha magumu. Hapo ikite wife wake hampi mwezi wa pili sasa, waziri kaamia isiwe shida ndo yanamkuta haya.
nakwambia hivyo maana nilisha ponea kwenye tundu la sindano,ni kama nilipigwa ganzi mwili mzima yani nilikumbuka vikao vya familia, watoto, marafiki na jamii kwa ujumla nafikiri tubaki njia kuu tuh
 
Udhaifu wake huwezi kuujudge kwenye hilo tukio maana hujaona alichokuwa anakimbia, umeasume tu kuwa alikuwa anamkimbia mkewe ila huenda aliwaza mengi kama ajira yake, aibu, hatujui huenda huyo aliyekuwa nae ni mke wa mtu. Scenario ipo too open kusema hakuwa sahihi kuamua kukimbia. Ukumbuke asingepata ajali halafu akakuhadithia ungemwambia ungebaki hapo ingekula kwako.
Atajua mwenyewe!to me ninamuona coward na sipendi mwanaume wa type yake
 
Hebu fikiria ndio Aina ya waume tulionao hawa!yaani kaleta aibu sana

Ndio haohao wamefikia level ya kukataa kuoa sasa....maana kukimbia hawawezi
Haki mimi napenda mwanaume mwenye upendo ila mkali mkali, mwanaume ambaye akiongea kila kiumbe kinatulia kumsikiliza, mwanaume mwenye akili nyingi, mwanaume imara sio mwanaume poyoyo wa kukimbia majanga na majukumu au wa kulialia vitu vidogo
Na mwanaume wa hivi lazima awe mtafutaji, asiyeshindwa kumanage mambo ya nyumba yake
 
tuna tatizo kwa aina ya watu tunaowapa nyadhifa tena nyeti, wengi wapo kwenye position sio kwa kupimwa uwezo, uelewa, exposure na elimu bali kwa ajili ya kujuana.

Matokeo yake jiji la dodoma liko busy kwa watu kufanya uzinzi, ulevi na ujinga mwingine na si vinginevyo. Tulitegemea jiji la dodom liwe busy kwa mikutano, semina, business forums, trainings, investments nk.
 
Wanaume wengi viatu haviwatoshi
Mwanaume lazima awe imara katika hali zote
Sasa mwanaume anafanya majanga halafu anakimbia si aibu hiyo
Uzinzi ni tabia chafu ila Wanawake mnashangaza sana. TOO SELFISH.. Mbona hujamjudge mwanamke mwezio kutaka kuharibu reputation ya baba watoto wake kwa kuandaa fumanizi?

Wewe unajua mumeo ni naibu waziri, unakuja kumfumania hadharani ukitegemea akae hapo ili umfumanie apoteze kazi yake, aaibike mbele ya watoto wake.
 
Sitetei umalaya coz effects ni nyingi ila wanandoa mjitambuwe..mmeo ni public figure unamuanzishia aibu ili asubuhi iweje? Au ndio ndoa imefika ukomo.?

Dear married women/men mambo yenu muyamalizie home usipende kumjazia mtu nziiii, ukiona imeshindikana omba talaka.

Mpaka mtu anachepuka jua kuna shida somewhere, imalize kimya kimya.

Mahakama mbona ipo? Omba talaka mambo ya kutiana aibu sio fair.

Embu nambie uko hospital kuna hali gani? Unajua kabisa mmeo ni waziri eti unaenda kumfumania? Si ange mpigia simu akamwambi asiende huko amesha muona?

Waziri Mungu akikuponya achana na huyo mkeo hafai. Kama amekushindwa ilibidi aombe talaka mgawane mali na sio kuleta aibu ya namna hii.

Hapa nakazia kulinda status ya mwaume mwenye impact kwenye jamii na sio kwamba natetea umalaya.
 
Duh! Sii mchezo.....kweli wanawake mnaroho mbaya sana. Sasa kidume kula mbususu nyingine ni kitu ya kukuumiza kichwa kweli? Muwache hizi fairytales bwana
Kula tu mbususu ila uwe makini sana [emoji28][emoji28] siunaona huyo waziri ka trend Kwa mambo machafu ya zinaa badala ya ku trend Kwa kufanya kazi
 
Back
Top Bottom