johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Utajua hujui😀😀😀Nchi Ina watu wapumbavu 😅😅
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Utajua hujui😀😀😀Nchi Ina watu wapumbavu 😅😅
Wataendaje bila zana za kaziWamechukua vifaa?
Lakini kwa kosa alilofanya kama kweli kinachoelezwa humu hatakiwi kuendelea na hicho cheo. AmekichafuaMheshimiwa Anaumwa Ila Anapumua Hivyo Nafasi Haitakiwi Kupewa Mtu Mwingine
Kwenye kila utaratibu wavunja sheria wapo, hao Waislamu wa namna hiyo wapo wengi tu na Uislam haujawahi kusema Waislamu ni perfect kwa kila kitu, hata hayo mandiko yanayokataza hayajashuka kwa ajili ya wasiokuwa Waislamu ila ni kwa ajili ya Waislamu.Wapo Waislam wenye wake zaidi ya mmoja na wanazini kama kawaida,ni upuuzi kulihusisha tukio hili na dini ya mtu.
Na Ukristo unakataza zina lakin wapo wanaozini kama kawaida hivyo uzinzi ni hulka ya mtu binafsi kwani wapo wasioamini Mungu kabisa lakini siyo wazinzi.Kwenye kila utaratibu wavunja sheria wapo, hao Waislamu wa namna hiyo wapo wengi tu na Uislam haujawahi kusema Waislamu ni perfect kwa kila kitu, hata hayo mandiko yanayokataza hayajashuka kwa ajili ya wasiokuwa Waislamu ila ni kwa ajili ya Waislamu.
Kwa hiyo hicho ndicho walichomtuma kwenda bungeni kuwafanyia.Wamekodi Coaster itakayowafikisha Dodoma kujua nini kilitokea kisha wataelekea Dar
Ni takribani Wazee 18 wa maeneo ya Ikingula Ilembula na Mdandu wilayani Wanging'ombe
Hii ajali imestua Wilaya nzima ya Wanging'ombe
Mawasiliano yataendelea
Hao Wazee ni wapepelezi kwenda kujua chanzo cha hiyo ajali?Ndio nimesema wakitoka Dodoma wanaenda Dar
Hapo Dom ni kupata taarifa kamili za tukio
.Tanzania Wajinga Ni Wengi Sana
By Godwin Mollel
Hao Wazee Lazima Wamefika Bei Siyo Bure,
Hii Habari Serikali Imekaa Kimya Haitaki Kusema Lolote Hata Vyombo Vya Habari Vimefyata Mkia
Pole sana mjomba .....ndio maisha hayo....hutokeagaWamekodi Coaster itakayowafikisha Dodoma kujua nini kilitokea kisha wataelekea Dar
Ni takribani Wazee 18 wa maeneo ya Ikingula Ilembula na Mdandu wilayani Wanging'ombe
Hii ajali imestua Wilaya nzima ya Wanging'ombe
Mawasiliano yataendelea
Huyo Ndugage kapata ubunge na huo unaibu Waziri awamu hii au ndio chuki zimekujaa mpaka mkndoni. Kama vp chomoa ujamb km inakuumiza sanaMafisadi na wazinzi wamejaa kwenye awamu hii.
Iko hivi SHERIA ya kuoa mke mmoja imepokelewa juu juu na Waovu Kwa Nia ovu. Na ikatangazwa na Waovu Kwa Nia ovu.Wapo Waislam wenye wake zaidi ya mmoja na wanazini kama kawaida,ni upuuzi kulihusisha tukio hili na dini ya mtu.
Mara zote malipo ya uzinzi ni mabaya sana.Wamekodi Coaster itakayowafikisha Dodoma kujua nini kilitokea kisha wataelekea Dar
Ni takribani Wazee 18 wa maeneo ya Ikingula Ilembula na Mdandu wilayani Wanging'ombe
Hii ajali imestua Wilaya nzima ya Wanging'ombe
Mawasiliano yataendelea
Huyo Ndugage kapata ubunge na huo unaibu Waziri awamu hii au ndio chuki zimekujaa mpaka mkndoni. Kama vp chomoa ujamb km inakuumiza sana
Amfungukie kesi kama Ile ya Membe Vs Musiba .Duuuu!
Kama kweli mme wa mwanamke asikubali
Mke ana kosa la kumsababishia mume wake ajali. Jinai😂😂Muhimbili atakuja na mke wake? Au haujui? Au basi.....
Malima , Malaya wa morogoro hawataki utani, saa ivi n rc mwanza,Mbona Kuna naibu waziri aliwahi kuibiwa mamilioni na changudoa hotelini akadai majambazi walimvamia.
Sawa kaka jambazi.Huyo Ndugage kapata ubunge na huo unaibu Waziri awamu hii au ndio chuki zimekujaa mpaka mkndoni. Kama vp chomoa ujamb km inakuumiza sana
Afu buzzy kupinga ushoga na usagaji.Awamu ya wezi na mafuska.