Kennedy
JF-Expert Member
- Dec 28, 2011
- 54,894
- 64,043
Huwezi Kujua Kapewa Nini Huko Nje Mpaka Kapagawa Namna HiyoWacha weeh.
Si ana mke? Kiu hiyo kiu gani?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huwezi Kujua Kapewa Nini Huko Nje Mpaka Kapagawa Namna HiyoWacha weeh.
Si ana mke? Kiu hiyo kiu gani?
Wapo wajenga nchi na wala nchiKuna kodi zetu hapo ndio maana kimewaka hivyo, hivi wewe unaona kodi za hawamu hii ni ndogo eeh!
Tatizo hatapata ushahidiAmfungukie kesi kama Ile ya Membe Vs Musiba .
Amuombee huyo Naibu waziri mzinzi ili apone Kisha amfungukie kesi ya madai.
Amfilisi kabisa .
Pumbavu sana mzinzi yule.
Umeona ata wewe ni ujinga watu tunatakiwa kushare mautamuHuko mbelezi, ila kwanini watu tu wabinafsi kwanini utakwe kulala peke yako hutaki wengine nao wapewe raha za Dunia, you know always Huwa nashindwaga kuelewa huu ubinafsi wa kujimilikisha vifungo k na bo. Liwe lako tu
Pole ya nini? He should have died. Matumizi mabaya ya Mali ya umma.Kama ni kweli Nampa pole sana.
Hizo ni nyege sio mapenzi."Mapenzi yanarun dunia"
Ashitakiwe kwa kuua mke wa mtu. Mateso kwa familia.Kaitia hasara serikali... dude lote ana liangusha na halina bima
Mkiliona tena mkamateni dereva mmpeleke kituo cha polisi!Mbona bongo kawaidaa sanaaa.. Huku mtaai STK mpaka saa 4 usiku tena vieteeee linajizungushaaa tu na kupark sehemu za starehe.
I agree with you Yani ulalwe wewe tu wengine wakilalwa unaanza fujo atiUmeona ata wewe ni ujinga watu tunatakiwa kushare mautamu
🤣🤣🤣🤣 Wanawake wangekuwa na mwntality hii maisha hapa duniani yangekuwa stress freeI agree with you Yani ulalwe wewe tu wengine wakilalwa unaanza fujo ati
[emoji2][emoji2]Tena Kwa jinsia zote[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Wanawake wangekuwa na mwntality hii maisha hapa duniani yangekuwa stress free
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Wanawake wangekuwa na mwntality hii maisha hapa duniani yangekuwa stress free
Kwa nini? Ebu wee imagine umetamani mke wa jirani yako unaongea nae unagegeda, umetamni mke ya boss unagegeda unaenjoy.Si kweli kabisa
Ni kweli kabisa ukiwa busy kiutendaji hata ngono za hovyo hufanyiHalafu hawana kazi za kufanya, kama una kazi hauwezi kufikiria ngono namna hiyo na ndio maana yananenepa hovyo.