Dodoma: Naibu Waziri wa TAMISEMI Festo Dugange apata ajali akiendesha gari
Duh! Ila kwenye hili ishu ni nini haswa! Mtu kufa kwenye ajali!!? Fumanizi!!? Kumjua aliekufa kwenye ajali!!? Kupotea/kifo cha mwanafunzi wa chuo!!? Au ni nini

Na tukisha yajua hayo yanatusaidia nini kimsingi tukiwa kama wananchiView attachment 2612299
Baada ya kukusoma kwa maneno haya uliyoandika hapo juu, sikutaka kuondoka. Ilinichukua muda nikijizuia nisiku'quote'; lakini nikashindwa kujizuia.
Likaja swala niandike nini kuhusu ujinga/uchafu huu uliouacha hapa.

Nikaona nijibu vyovyote itakavyonipendeza mwenyewe, ili mradi ujue kwamba umeweka uchafu hapa.

Wewe hupenda sana kuambiwa uongo au siyo; kama ilivyo tabia yako ya kusema mambo hovyo hovyo tu kama ulivyoonyesha hapa?

Wananchi wa Tanzania usiwadharau sana kwa kudhani kwamba ni sawa tu kwa serikali yao kuwaficha ukweli wa jambo lolote
Unajiita 'TimeOut', itabidi nikukumbuke kila mara nitakapokutana na takataka zako humu JF, kama mawazo yako ndiyo haya uliyowasilisha hapa.
 
Hata taarifa ya chuo cha UDOM iliyopo mtandaoni kuhusu kifo cha mwanafunzi wao ni ya kitoto mno isiyo na weledi wa hadhi ya chuo kikuu. Eti mwanafunzi amekufa Moshi akipigana na mpenzi wake!!! Pumbavu. Ndivyo tunavyotoa taarifa za vifo vyuoni? Uandishi gani huu wa kijinga tena wenye maelezo mengi yasihitajika!!! Hiki kweli ni chuo kikuu? Au kuna kitu gani kinafichwa?
 
Serikali msijaribu kulificha suala la ajali ya Waziri Dugange, maana kama ilivyo KARMA itaondoka na vichwa vya watu.
Mwanzo kabisa zilitokea tetesi:
1. Naibu waziri apata ajali akiwa na gari la serikali akikimbizwa kufumaniwa na mke. Mpenziwe afariki kutokana na ajali hiyo.

2. Tetesi hizo zilikanushwa na Polisi, na kukanusha kuwa hakuna aliyefariki ajali hiyo

3.Makamu wa Rais alimtembelea Naibu Waziri hospitali.

4.Mpenzi wa Naibu Waziri bado hakujulikana, bodoboda waliofika eneo la ajali waliona maiti ya mwanamke.

5.Tunapata habari mwanafunzi Nusra Hassan ati kafia Moshi kilimanjaro kwa kipigo cha mpenzi wake.
Jina la mpenzi wake halijulikani.

6. Hospitali huko Himo Moshi, inakanusha kumpokea Nusra hospitalini hapo.

7. Taarifa mkanganyiko za kifo cha Nusrat Hassan toka chuoni kwake UDOM, zinakubali kutokea kifo lakini hazielezi mazingira wala sababu za kifo, wala kama wameripoti polisi.

8. Polisi kama kawaida inafuatilia tu taarifa za mitandao, haikiri kama kuna RB imefunguliwa na mtu yeyote.

9. Ndugu wa Marehemu Nusra isivyo kawaida hawajajitokeza hadharani kudai taarifa sahihi za kifo cha ndugu yao.

KUTOKANA na mlolongo huo ni dhahiri sasa mtu mwenye akili atagundua kuwa mwanamke aliyekuwa na Dugange si ajabu ni huyo Nusra, hatuna uhakika huo, lakini mazingira ya tukio yana shabihiana.

Hivyo basi, POLISI na Dugange , mumwogope Mungu.
Kubalini na muwe wakweli kwa yaliyotokea ili ukweli ukidhihirika wananchi watakuwa wepesi kusamehe.

Lakini mkipandikiza uongo juu ya uongo mbingu na nchi hazitawasamehe.

Mbaya zaidi mnamharibia Mama Samia, hatutaki kurudi kule tulikotoka, kuficha ukweli.
expand...
Hivi kwa tukio lile Chenge alijiuzulu?
Je, huyu ikibainika atajiuzulu?
Tunawalaumu wazungu lakini tungeiga walahu baadhi ya mambo hasa haya ya accountability of office bearers tungefika mbali sana!
Lakini sisi sasa, tunaogopa mengine huku maadili ya viongozi yakiporomoka. Na ubadhirifu unatamalaki!
Bahati mbaya viongozi nao washagundua akili zetu. Wanatuimbisha huku wao wakifanya tofauti kwa Siri!


NB: Nimeisoma taarifa ya UDOM! Kwa ile taarifa ilivyo; kuna mengi mazito yamefichwa juu ya kifo cha Nusura!
 
Hata taarifa ya chuo cha UDOM iliyopo mtandaoni kuhusu kifo cha mwanafunzi wao ni ya kitoto mno isiyo na weledi wa hadhi ya chuo kikuu. Eti mwanafunzi amekufa Moshi akipigana na mpenzi wake!!! Pumbavu. Ndivyo tunavyotoa taarifa za vifo vyuoni? Uandishi gani huu wa kijinga tena wenye maelezo mengi yasihitajika!!! Hiki kweli ni chuo kikuu? Au kuna kitu gani kinafichwa?

Ndio reflection ya hao wanaokisemea chuo, ambao tunatarajia kesho watutolee wasomi wa Kujenga nchi.
 
Toka yule askari wa kike mkaguzi wa ajali ya Mwendokasi pale Kisutu aseme "mwananchi aliyeonekana kwenye CCTV camera akifuatwa na bus lililokosa uelekeo hakujeruhiwa ila pressure tu ilimpanda" kisha baada ya muda nikaziona video halisi za tukio lile jamaa akiwa amelala chini hajitambui na damu zinamvuja sinaga imani nao.

Kuna wakati kabisa huwa najiuliza mara mbili mbili kama ni sahihi kwa mwananchi wa kawaida akipata shida kwenda kuwaambia hawa watu maana huhisi ni kama wanaweza wakamuongezea matatizo.
Polisi hawana weledi wa kazi kabisa huko chuoni sijui huwa wanafundishwa nini yaani wako shalow sana kuanzia kwa Wakubwa zao mpaka Hawa wa chini.
 
Serikali msijaribu kulificha suala la ajali ya Waziri Dugange, maana kama ilivyo KARMA itaondoka na vichwa vya watu.
Mwanzo kabisa zilitokea tetesi:
1. Naibu waziri apata ajali akiwa na gari la serikali akikimbizwa kufumaniwa na mke. Mpenziwe afariki kutokana na ajali hiyo.

2. Tetesi hizo zilikanushwa na Polisi, na kukanusha kuwa hakuna aliyefariki ajali hiyo

3.Makamu wa Rais alimtembelea Naibu Waziri hospitali.

4.Mpenzi wa Naibu Waziri bado hakujulikana, bodoboda waliofika eneo la ajali waliona maiti ya mwanamke.

5.Tunapata habari mwanafunzi Nusra Hassan ati kafia Moshi kilimanjaro kwa kipigo cha mpenzi wake.
Jina la mpenzi wake halijulikani.

6. Hospitali huko Himo Moshi, inakanusha kumpokea Nusra hospitalini hapo.

7. Taarifa mkanganyiko za kifo cha Nusrat Hassan toka chuoni kwake UDOM, zinakubali kutokea kifo lakini hazielezi mazingira wala sababu za kifo, wala kama wameripoti polisi.

8. Polisi kama kawaida inafuatilia tu taarifa za mitandao, haikiri kama kuna RB imefunguliwa na mtu yeyote.

9. Ndugu wa Marehemu Nusra isivyo kawaida hawajajitokeza hadharani kudai taarifa sahihi za kifo cha ndugu yao.

KUTOKANA na mlolongo huo ni dhahiri sasa mtu mwenye akili atagundua kuwa mwanamke aliyekuwa na Dugange si ajabu ni huyo Nusra, hatuna uhakika huo, lakini mazingira ya tukio yana shabihiana.

Hivyo basi, POLISI na Dugange , mumwogope Mungu.
Kubalini na muwe wakweli kwa yaliyotokea ili ukweli ukidhihirika wananchi watakuwa wepesi kusamehe.

Lakini mkipandikiza uongo juu ya uongo mbingu na nchi hazitawasamehe.

Mbaya zaidi mnamharibia Mama Samia, hatutaki kurudi kule tulikotoka, kuficha ukweli.
Mkuu Jidu nipe tano. Sasa kamanda misime na wenzako mmeshapata nadharia tete za kukuongozeni kwenye uchunguzi wenu . Kila kinachochunguzwa kijibu maswali hayo. Kumbukeni mama anawaona.
Mheshimiwa Sagini Na Masauni Ittaqillah hauthu makunta.
Hata taarifa ya chuo cha UDOM iliyopo mtandaoni kuhusu kifo cha mwanafunzi wao ni ya kitoto mno isiyo na weledi wa hadhi ya chuo kikuu. Eti mwanafunzi amekufa Moshi akipigana na mpenzi wake!!! Pumbavu. Ndivyo tunavyotoa taarifa za vifo vyuoni? Uandishi gani huu wa kijinga tena wenye maelezo mengi yasihitajika!!! Hiki kweli ni chuo kikuu? Au kuna kitu gani kinafichwa?
Hivi ni vile vyuo vikuu vya kata vilivyoanzishwa kwa wingi pamoja na shule za kata bila kuwa na misingi na weledi wa ki university university. UDSM na MZUMBE hawawezi fanya hayo!
 
Serikali msijaribu kulificha suala la ajali ya Waziri Dugange, maana kama ilivyo KARMA itaondoka na vichwa vya watu.
Mwanzo kabisa zilitokea tetesi:
1. Naibu waziri apata ajali akiwa na gari la serikali akikimbizwa kufumaniwa na mke. Mpenziwe afariki kutokana na ajali hiyo.

2. Tetesi hizo zilikanushwa na Polisi, na kukanusha kuwa hakuna aliyefariki ajali hiyo

3.Makamu wa Rais alimtembelea Naibu Waziri hospitali.

4.Mpenzi wa Naibu Waziri bado hakujulikana, bodoboda waliofika eneo la ajali waliona maiti ya mwanamke.

5.Tunapata habari mwanafunzi Nusra Hassan ati kafia Moshi kilimanjaro kwa kipigo cha mpenzi wake.
Jina la mpenzi wake halijulikani.

6. Hospitali huko Himo Moshi, inakanusha kumpokea Nusra hospitalini hapo.

7. Taarifa mkanganyiko za kifo cha Nusrat Hassan toka chuoni kwake UDOM, zinakubali kutokea kifo lakini hazielezi mazingira wala sababu za kifo, wala kama wameripoti polisi.

8. Polisi kama kawaida inafuatilia tu taarifa za mitandao, haikiri kama kuna RB imefunguliwa na mtu yeyote.

9. Ndugu wa Marehemu Nusra isivyo kawaida hawajajitokeza hadharani kudai taarifa sahihi za kifo cha ndugu yao.

KUTOKANA na mlolongo huo ni dhahiri sasa mtu mwenye akili atagundua kuwa mwanamke aliyekuwa na Dugange si ajabu ni huyo Nusra, hatuna uhakika huo, lakini mazingira ya tukio yana shabihiana.

Hivyo basi, POLISI na Dugange , mumwogope Mungu.
Kubalini na muwe wakweli kwa yaliyotokea ili ukweli ukidhihirika wananchi watakuwa wepesi kusamehe.

Lakini mkipandikiza uongo juu ya uongo mbingu na nchi hazitawasamehe.

Mbaya zaidi mnamharibia Mama Samia, hatutaki kurudi kule tulikotoka, kuficha ukweli.
Bado tunaishi in the Jungle era.
Era ambazo viongozi ni untouchable, chochote kitafanyika ikibidi kuvunja sheria, kuvunja maadili, kuvunja uaminifu, oindua nchi juu chini, geuza wananchi kuwa waoumbavu ili mradi tu viongozi walindwe na kubaki salama, huku rais wa nchi na wasaidizi wake wengine wakiangalia tu.
 
Kwenye hili hatuwezi kumuweka pembeni Rais Samia. Kama amirijeshi mkuu tunaamini anajua ukweli wa kila kitu kuhusu jambo hili maana ndio raia #1 mwenye vyombo vyote vya kupata ripoti kamili, tena inayo husu waziri wake!
Hachukui hatua dhidi ya uongo huu basi anakuwa anashiriki kuwa mmoja wao.
Anakubalije kuingizwa kundi hilo chafu?
Muwajibishe muhusika tuu, unakuwa umejitoa humo
 
Ajali ile inajulikana mtaani imesababisha kifo cha mwanafunzi wa UDOM. Kwa hiyo kuna cover up ambayo imawashirikisha Polisi? Habari hizi nakosa muda wa kuzifuatila,kwa hiyo I don't what is what.
Lakini ajali inatokea,watu wengi wanaisogelea. You can't tell lies.
 
Ajali ile inajulikana mtaani imesababisha kifo cha mwanafunzi wa UDOM. Kwa hiyo kuna cover up ambayo imawashirikisha Polisi? Habari hizi nakosa muda wa kuzifuatila,kwa hiyo I don't what is what.
Lakini ajali inatokea,watu wengi wanaisogelea. You can't tell lies.
Duh

Ova
 
Hata taarifa ya chuo cha UDOM iliyopo mtandaoni kuhusu kifo cha mwanafunzi wao ni ya kitoto mno isiyo na weledi wa hadhi ya chuo kikuu. Eti mwanafunzi amekufa Moshi akipigana na mpenzi wake!!! Pumbavu. Ndivyo tunavyotoa taarifa za vifo vyuoni? Uandishi gani huu wa kijinga tena wenye maelezo mengi yasihitajika!!! Hiki kweli ni chuo kikuu? Au kuna kitu gani kinafichwa?
UDOM wamejishushia credibility yao
 
Back
Top Bottom