Dodoma: Naibu Waziri wa TAMISEMI Festo Dugange apata ajali akiendesha gari
4.Mpenzi wa Naibu Waziri bado hakujulikana, bodoboda waliofika eneo la ajali waliona maiti ya mwanamke.

What if huo mwili ni wa mtu aliyekuwa akitembea kando kando ya bara bara?

hapa yabidi mke wa Naibu waziri ahojiwe,
Marafiki wa mwanafunzi nao wana umbea kidogo

Huku kote twazunguka zunguka tuu .... master mind ndo mwenye jibu kamili
Mke anaweza save issue ila maclassmate wale close au maroomate.
 
Ndugu wa Marehemu Nusra isivyo kawaida hawajajitokeza hadharani kudai taarifa sahihi za kifo cha ndugu yao.
Hawa ndugu itakuwa wamepigwa mkwara wa kupewa kesi ya uhujumu uchumi (haina dhamana hii) endapo watajitokeza kupiga kelele
 
Duh! Ila kwenye hili ishu ni nini haswa! Mtu kufa kwenye ajali!!? Fumanizi!!? Kumjua aliekufa kwenye ajali!!? Kupotea/kifo cha mwanafunzi wa chuo!!? Au ni nini
ATTACH=full]2612299[/ATTACH]
hata mimi najiuliza, maana ajali ni kawaida, mwanafunzi wa chuo ni mkubwa (anafaa kuwa chakula), kabda kwenye kashfa ya fumanizi au kama kuna kingine zaidi ya hilo

ila kama tunakomaa sana kwa ajili ya fumanizi tu basi wabongo hatujitambui na tunapenda sana umbea
 
Mkuu hili la Mwiba sijalisikia kashifa yake, waweza weka nyama kidogo?
HeeeeHEeee!

Huko kutolisikia kwako hiyo pekee ni kashfa mkuu 'Sakasaka Mao'. Mambo haya yanapofanyika yanatakiwa yawe wazi wananchi wayajue.

Kama vipande vya nchi vinakatwa na kuuzwa bila ya wananchi kutojua chochote, wala hata Bunge kutoelezwa chochote, huoni kwamba hili ni jambo la ajabu sana kufanywa na serikali, iliyowekwa kuwatumikia wananchi na kulinda mali zao!

Leo hii mapande ya ardhi yanakatwa na kuuzwa kwa wageni, na wakati mwingine hata wanachi wakihamishwa kwenye maeneo hayo kuwapisha wageni; muda si muda, tutakapobanana tuanze kukatana mapanga sisi kwa sisi kwa kukosa ardhi?

Hiyo "Mwiba" ni eneo alilouziwa Billionea wa Kimarekani 2009. Imebaki siri isiyojulikana kwa muda wote huo. Sasa ndio tunaambiwa huyo mtu na yeye sasa anakata vipande eneo lake ili apate wawekezaji, avune alipowekeza yeye.

Na mbaya zaidi, aina hizi za uwekezaji zinazofanywa siri na viongozi wetu, hata matokeo ya uwekezaji huo hatuyajui. Ni nani hufaidika na uwekezaji wa namna hii? Kuna ripoti zozote za serikali zinazoonyesha unufaika wa wananchi kutokana na uwekezaji huu. Ni pesa kiasi gani huzalishwa kila mwaka, na matumizi ya pesa hizo huishia wapi?

Yote haya yanakuwa ni siri kwa wananchi?
 
4.Mpenzi wa Naibu Waziri bado hakujulikana, bodoboda waliofika eneo la ajali waliona maiti ya mwanamke.

What if huo mwili ni wa mtu aliyekuwa akitembea kando kando ya bara bara?

hapa yabidi mke wa Naibu waziri ahojiwe,
Marafiki wa mwanafunzi nao wana umbea kidogo

Huku kote twazunguka zunguka tuu .... master mind ndo mwenye jibu kamili
Uchambuzi uchwara
 
Investigative journalism inapaswa kufanywa kuutambua ukweli
Hii story hawataiweza, waambie waandike article ya Magufuli na Chato yake hapo ndo penyewe.

Na kuhusu Polisi wa Tanzania, hao ni Polisi wa CCM wasiokuwa na kadi za uanachama. Wanatumika isivyo kabisa, natamani Polisi wote wafutwe kazi tubaki na makampuni ya ulinzi pekee.
 
Serikali msijaribu kulificha suala la ajali ya Waziri Dugange, maana kama ilivyo KARMA itaondoka na vichwa vya watu.
Mwanzo kabisa zilitokea tetesi:
1. Naibu waziri apata ajali akiwa na gari la serikali akikimbizwa kufumaniwa na mke. Mpenziwe afariki kutokana na ajali hiyo.

2. Tetesi hizo zilikanushwa na Polisi, na kukanusha kuwa hakuna aliyefariki ajali hiyo

3.Makamu wa Rais alimtembelea Naibu Waziri hospitali.

4.Mpenzi wa Naibu Waziri bado hakujulikana, bodoboda waliofika eneo la ajali waliona maiti ya mwanamke.

5.Tunapata habari mwanafunzi Nusra Hassan ati kafia Moshi kilimanjaro kwa kipigo cha mpenzi wake.
Jina la mpenzi wake halijulikani.

6. Hospitali huko Himo Moshi, inakanusha kumpokea Nusra hospitalini hapo.

7. Taarifa mkanganyiko za kifo cha Nusrat Hassan toka chuoni kwake UDOM, zinakubali kutokea kifo lakini hazielezi mazingira wala sababu za kifo, wala kama wameripoti polisi.

8. Polisi kama kawaida inafuatilia tu taarifa za mitandao, haikiri kama kuna RB imefunguliwa na mtu yeyote.

9. Ndugu wa Marehemu Nusra isivyo kawaida hawajajitokeza hadharani kudai taarifa sahihi za kifo cha ndugu yao.

KUTOKANA na mlolongo huo ni dhahiri sasa mtu mwenye akili atagundua kuwa mwanamke aliyekuwa na Dugange si ajabu ni huyo Nusra, hatuna uhakika huo, lakini mazingira ya tukio yana shabihiana.

Hivyo basi, POLISI na Dugange , mumwogope Mungu.
Kubalini na muwe wakweli kwa yaliyotokea ili ukweli ukidhihirika wananchi watakuwa wepesi kusamehe.

Lakini mkipandikiza uongo juu ya uongo mbingu na nchi hazitawasamehe.

Mbaya zaidi mnamharibia Mama Samia, hatutaki kurudi kule tulikotoka, kuficha ukweli.

Watanzania Sisi umbeya na kujazia jazia vichwa vya habari ndo ubunifu tuliobaki nao. Mbaya zaidi kupenda wengine yawakute mabaya.

Wewe mkuu umeandika habari ndefu, Sijui Ukiwa chumbani au ofisini kuhusu mawazo bila ushahidi wowote. Mbaya zaidi hata Basi kusema Nina ndugu UDOM amenipa za kwenye kapeti kuwa binti mbona Ana best yake namjua kasema mkuu alikuwa anapumzika. Hivi hii Tz na magroup ya umbeya , issue kama Hii asitoke mwanafunzi na kusema neno. Hawa watanzania?

Nimepitia comments Karibia zote , Hakuna hata mmoja aliyeleta data za chuoni. Lakini haraka kumuhukumu huyo Mheshimiwa.

LAKINI PIA. Je Shida kufumaniwa au possibility ya kuua mtu.
 
Screenshot_20230508-005852.jpg
 
View attachment 2604901

JESHI la Polisi nchini limesema ajali iliyotokea Aprili 26, 2023 ikimuhusisha Naibu Waziri Ofisi ya Rais TAMISEMI Dk Festo Dugange ilisababishwa na Bodaboda aliyekuwa akivuka barabara ghafla bila kuchukua tahadhari.

Taarifa ya Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma, ACP Martin Otieno imesema gari hilo lenye usajili wa T 454DWV aina ya Toyota Land Cruiser likiendeshwa na Naibu Waziri Dugange lilipoteza mwelekeo na kugonga kigo ya barabara ya Iyumbu maeneo ya St Peter Clever na kupinduka.

“Kulikuwa na mtu moja tu (dereva) kwenye gari hilo ambaye ni Naibu Waziri. Alivunjika kidole gumba cha mkono wa kulia na kupata majeraha katika mkono huo,” amesema Kamanda Martin.

Makamu wa Rais Dk Philip Mpango amemjulia hali Dk Ndugage ambaye amelazwa katika Hospitali ya Benjamin Mkapa jijini Doodma.

Pia, soma: Dodoma: Naibu Waziri wa TAMISEMI Festo Dugange apata ajali akiendesha gari
Kulikuwa na camera eneo hilo au polisi nao wamekuwa wanajimu?
 
Ulieleta Mada kwani kama alikua na mwanamke kuna ubaya gani???? Na sioni pahala polisi wanasema alikua na mwanamke
 
Back
Top Bottom