Relief Mirzska
JF-Expert Member
- Jun 13, 2017
- 13,992
- 22,396
Naamini anayo sababu ya msingi sana mpaka kufikia maamuzi ya kumlipua waziri hadharani.Amejiharibia sana huyu, hajaweza kudhibiti ulimi wake, yawezekana nia yake ni njema lakini hajatumia diplomasia kumnanga kiongozi mwenzake jukwaanni
kwanini isiwe mkuu wa mkoa aka RC?Mhhhhhh kuna uwezekano wa Waziri wa elimu kutumbuliwa hivi karibuni.
Huyu jamaa nilianza kumuelewa Simiyu, sasa rasmi nimemkubali.mkuu wa mkoa anamaanisha anachosema na amerudiarudia kutia msisitizo
Mkuu wa Mkoa alichafukwa na nini, mbona katoa povu kubwa mbele ya Umma.Mataka awaasa wananchi wampuuze Waziri wa Elimu kuhusu mambo ya elimu Kwenye mkoa wa Dodoma.
Mataka amesema wampuuze Waziri ambaye watoto wake wanasoma international school.
Sikiliza audio hapo.
Mama Ndali umezoea kuwaonea wakuu wa taasisi za elimu halafu system inakuangalia tu.
View attachment 1851200
Ndalichako ni Waziri wa kawaida sana. Tokea aingie Wizarani ni kufitinisha tu wenzake.
Wakuu wa taasisi wanamkoma huyu Mama. Wakuu wa idara Wizarani wanaipata habari yake.
Ndalichako badilika Mama Samia yupo tofauti na mwendazake.
Hakuna thamani uliyoongeza hapo Wizarani zaidi ya kufitinisha wakurugenzi na mamlaka za uteuzi.
Tabia ya kuwafitinisha wenzako waondolewe kwenye uteuzi acha mara 1.
Ndalichako alishindwa Baraza la Mitihani kwa ubishi wake ilikuwaje apewe Wizara.
Mama Samia tuondolee huyu Ndali
Ni kweli Ndalichako ni wa hovyo sana, lakini Tony naye angetumia lugha ya kidiplomasia kidogo kwakuwa watz wa siku hizi wanaelewa kwa haraka.Naamini anayo sababu ya msingi sana mpaka kufikia maamuzi ya kumlipua waziri hadharani.
Hawa mawaziri sometimes wanajikuta tu washakuwa wao ndio wanajua kila kitu
Huyu mtu yuko wazi sana and he is very strong, yaani hafichi hafichi ujumbe. Awe mwangalifu tu kwamba ujumbe wake usije ukamgeuka vibaya. Maana sasa kupingana waziwazi ndani ya Serikali nadhani siyo kitu ambacho hata mamlaka za uteuzi zinaweza kukivumiliaMataka awaasa wananchi wampuuze Waziri wa Elimu kuhusu mambo ya elimu Kwenye mkoa wa Dodoma.
Mataka amesema wampuuze Waziri ambaye watoto wake wanasoma international school.
Sikiliza audio hapo.
Mama Ndali umezoea kuwaonea wakuu wa taasisi za elimu halafu system inakuangalia tu.
View attachment 1851200
Ndalichako ni Waziri wa kawaida sana. Tokea aingie Wizarani ni kufitinisha tu wenzake.
Wakuu wa taasisi wanamkoma huyu Mama. Wakuu wa idara Wizarani wanaipata habari yake.
Ndalichako badilika Mama Samia yupo tofauti na mwendazake.
Hakuna thamani uliyoongeza hapo Wizarani zaidi ya kufitinisha wakurugenzi na mamlaka za uteuzi.
Tabia ya kuwafitinisha wenzako waondolewe kwenye uteuzi acha mara 1.
Ndalichako alishindwa Baraza la Mitihani kwa ubishi wake ilikuwaje apewe Wizara.
Mama Samia tuondolee huyu Ndali
wajuzi watujuze kwanza watoto wa RC mtaka wao wanasoma wapi shule gani anuai....? au kiongozi yeyote cabinet minister , RC au mtunga sera yeyote mwenye kutembelea kiyoyozi au bendera yeye watoto wake wao wanasomea wapi shule gani za kata au serikali msingi na sekondar?Anaweza akawa RC Bora but huwezi kumshambulia personally waziri ambaye ni cabinet member wa serikali ambayo unaiwakilisha hapo mkoani...analeta umbeya eti mtoto wa waziri anasoma international school,anatembelea mbuga za wanyama..vitu vya kuchonganisha tuu...SASA sijui anajua watoto wa PM au Katibu mkuu wanasoma wapi... nilikua namheshimu but Kwa attacks hizi kakosea Sana... waziri yeye anasimamia Sera ambazo nyingi zina Baraka za Baraza la mawaziri ambayo chairman ni Rais na Katibu mkuu ni secretary..Rais wa Zanzibar ni member pia ambaye yeye pamoja na watoto wake hawajawai kukanyaga hizo shule za kata...RC kawasengenya wengi Sana Kwa kujifanya anamsema waziri mmoja AME attack almost the entire government....he has to go..you can't have collectiveness by senior officials attacking others on matter of personal issues in public.
Mkuu huyo akifeli chuo hafeli maisha maana connections zipo nyingi tu kama JESCAWengine wameajiriwa na serikali lakini sisi raia tunaambiwa tujiajiri mana serikali haina nafasi.
Nasikia Mhe. Joyce Ndalichako ana mtoto mmoja na alifeli chuo, wajuzi ni kweli hayo.?
Ndalichako alikua best student enz zake huko sekondari...yaan Tanzania one...shaur yako.Mtu mwenye Phd ukimsikiliza ata masters tu provided kweli kaisotea na transcript zake zimejaza B’s kwenda juu kuanzia sekondari anapoongea kuna reasonability ya intelligence unaiona.
Siku zote nimekuwa nasema Ndalichako doesn’t add up kama Phd; she is just too shallow ukimsikiliza mara nyingi.
Alikua TZ1 kwa kutoka shule sa 9?Ndalichako alikua best student enz zake huko sekondari...yaan Tanzania one...shaur yako.
Tuseme ule ukwelii kabisaa wote we've been to school...
Sa 9 hasa kwa shule za Sekondari utatoboa?.
Nchi moja mazingira ya shule yanatofautiana halafu unataka wote wafanye kama yellow buses. Mwisho wa mchezo watoto wetu wanaondoka na mayai viza. Nooooo. Big up RC
Mnachosha watoto kuwasomesha masaa mengi hivo
Huyo Mtaka anavyotaka watoto waendelee kusoma baada ya muda wa kazi ametetenga fungu la kuwalipa walimu extra time? Tatizo kubwa linaletwa pia na NECTA la rate ufahulu kimkoa hadi wilaya kana kwamba elimu ni madhindano au ligi na kufanya kila kiongozi mteuliwa kutaka ashike nafasi za juu kwa kuwakaririsha manotes wanafunzi au kuiba mitihani.
Hiyo mipango yake ndiyo iliyoipaisha simiyu. Siku wakifeli mtamlalamikia Mkuu wa Mkoa. He's right and he's my support. Go Anthony.Swala la Elimu yetu kufanywa kama mpira wa danadana na kila mmoja kuwa anachezea, ni makosa makubwa sana, mwongozo wa pamoja uko wapi?
Napingana na huyo mkuu wa mkoa wenu pendwa, Inakuweje awe na mpango wa kivyake vyake?
Mkuu wa mkoa wa Songea naye awe na matakwa yake, na wa mikoa mingine, tutakuwa taifa la aina gani?
Muda wa ziada ilikuwa advantage kwa wanafunzi hasa wasio na uwezo wa tuisheni,pia kuendelea kuwaweka pamoja wanafunzi badala ya michezo.
That's why you can't become Samia and may be you will never beMy problem with Mtaka is timing! Forum aliyotumia siyo sahihi, ningelimwajibisha if I were Samia
By the way bado mambo hayajajipa? Utauzi vipi?
Nchi hii inayumba sana kwa sababu ya kuoneana aibu. Anthony has made it. Development is integrated with difference in opinions. Na hakuna kuambiana huko ofisini. Tell it in broad day light. Joyce amemkera sana Anthony I hope. Hata mimi ningemjibu hivyo hivyo zaidi ya Anthony. Watoto wakifeli RC ndiye anasakamwa. Remember, waziri ni policy tu lakini utendaji uko TAMISEMI kwa akina Anthony. Niliwahi kusema kuwa wakuu wa mikoa watakaofanikiwa ni Anthony, Kafulila, and Queen.Mtaka yupo sahihi kuhusu Kambi zake. Lakini approach ya kumjibu waziri, yaani mteule wa rais hivi kuna mushkeli kidogo. Labda yupo undercover ili kumexpose waziri kurahisisha uamuzi wa mamlaka