Tanayzer
JF-Expert Member
- Apr 13, 2017
- 3,010
- 7,360
Kuwaweka wanafunzi makambi na kurudi hiyo saa 12 ni kupoteza muda.....
Tufanye wanafunzi wakeshe kwa ajira gani?
Sisi tulikesha sana, mwisho wa siku tupo wapi?......
Kunamaisha nje ya elimu, mtoto arudi hiyo saa 9, ajifunze vitu vya ziada kama kupaka rangi, kutengeneza bustani, kujifunza ufundi wa baiskeli na magari, kujifunza ufundi uwashi.....
utamtoa saa 12 baada ya miaka 8 (form 1 - chuo) anakuwa anasjinda chumbani na laptop kusubiria ajira, hajui hata kutengeneza tuta.....
Tutengeneze mazingira mazuri ya mtoto kuwa serious na elimu kwa muda stahili na pia kupata muda wa kujifunza stadi za maisha...
Kuna mafundi wazuri wa tv, kuna graphic designers, kuna wakulima wazuri walijifunza mda wa ziada.....
Tufanye wanafunzi wakeshe kwa ajira gani?
Sisi tulikesha sana, mwisho wa siku tupo wapi?......
Kunamaisha nje ya elimu, mtoto arudi hiyo saa 9, ajifunze vitu vya ziada kama kupaka rangi, kutengeneza bustani, kujifunza ufundi wa baiskeli na magari, kujifunza ufundi uwashi.....
utamtoa saa 12 baada ya miaka 8 (form 1 - chuo) anakuwa anasjinda chumbani na laptop kusubiria ajira, hajui hata kutengeneza tuta.....
Tutengeneze mazingira mazuri ya mtoto kuwa serious na elimu kwa muda stahili na pia kupata muda wa kujifunza stadi za maisha...
Kuna mafundi wazuri wa tv, kuna graphic designers, kuna wakulima wazuri walijifunza mda wa ziada.....