Muyobhyo
JF-Expert Member
- Oct 9, 2014
- 8,149
- 6,547
weka screenshot mkuu, tuone manake kijani hamkawii kuhack account za watu na kujifanya nyie ni akina lisuUngekwoti ulichokisoma jwa Lisu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
weka screenshot mkuu, tuone manake kijani hamkawii kuhack account za watu na kujifanya nyie ni akina lisuUngekwoti ulichokisoma jwa Lisu
Huu uzi unafatiliwa kwa karibu sana na viongozi wa CCM.
Chungeni sana kauli zenu.
Jamaa usanii mwingi haaminiki tena
Utoto kwenye chombo cha moto?Chadema huu utoto mkawadanganye wajinga ...tunajua mnafanya huu utoto kusaka huruma na kuonesha kuwa serikali ina husika! Hili halina tofauti na yale mabomu ya Arusha!
Chadema acheni utoto
kumbuka mkia wako ulituachia chademaHii ni kiki au mpambano wa kugombea Urais 2020 ndani ya chadema...
Amepigwa sehemu gani?Breaking ITV, Mbowe amezungumza na kuthibitisha, ameongeza kuwa hali yake ni mbaya anaendelea kutibiwa