TAKUKURU? ile ile hadihi ya Nassari.. ni bora uwaandikie UN na Balozi zote kuwaambia uchafu huu kuliko kujichosha kuwatafuata Takukuru...ukifika kwao unawekwa ndani kwanza ueleze hizo docs za ushahidi umezipata wapi.Huenda TAKUKURU walijulishwa kabla nini kinaendela, hivyo hawawezi kuchukua hatua.
Fraud ya 28/10 ndio jinai kubwa na hampati tena mikopo wala misaadaJinai kubwa ni kutopeleka majina ya viti maalumu na kuwanyima wawakilishi wa wananchi fursa
WEWE KWELI NI JINGALAO!! Kama chama hakikubali matokeo utakilazimisha kikupe wawakilishi wapi?? CCM si mlijinasibu MNATAKA Bunge la kijani, Sasa mbona mnatumia pesa za Umma kuwarudisha mliowaona hawafai?? CCM n hovyoo Sana kumbafuuuuuu zenuJinai kubwa ni kutopeleka majina ya viti maalumu na kuwanyima wawakilishi wa wananchi fursa
Tanzania hakuna taasisi huru tena amebakia mtawala mmoja aliyejimilisha nchi wote watii hata aliamrisha wajiue hawatasitaKuna jinai kubwa imetendeka.
Kuna uvunjaji mkubwa wa Katiba na Sheria za nchi umetokea. Mhusika lazima abainishwe na achukuliwe hatua kali za kisheria. Mambo yako hivi: CHADEMA wamesema na wanaendelea kusema kuwa hawakuwasilisha Orodha ya Wabunge wa Viti Maalum NEC. Hiyo ni kauli ya Katibu Mkuu wa CHADEMA ambaye ndiye mhusika wa kupeleka majina na mjazaji wa Fomu za kisheria.
Katiba imevunjwa, sheria zimevunjwa. Orodha haikupelekwa. Orodha aliyopewa Spika, kuiamini na kuwaapisha jana ameitoa wapi? Anzeni na Spika. Kama ameipata Orodha kutokea NEC, NEC wamepewa na nani? Nendeni na NEC. Halafu, wote 19 walioapishwa jana wahojiwe na waeleze, pamoja na mambo mengine, waliambiwa na nani kuwa wameteuliwa kuwa wabunge. Waseme waliambiwa kwa njia gani.
Hapa kuna mambo ya pesa za umma. Kuna mambo ya katiba na sheria. Hapa kuna mambo ya jinai kubwa. DPP, TAKUKURU na Polisi, wasaidieni watanzania. Lindeni pesa zao, katiba yao na sheria zao. Mtaheshimiwa na kuthaminiwa. Wakati ni huu!
Mwaka 2020 kulikuwa na uchafuzi mkuu!
Mzee Tupatupa wa Lumumba, Dar es Salaam.
Yani siuji uliwahi sikia hili neno maelekezo toka ngazi za juu?? basi ndo kinachofanyika, na hakuna takukuru yenye nguvu kufatilia mambo kama haya au ni aache kazi, muulize majaliwa wakati wa korosho aliambiwa niniKuna jinai kubwa imetendeka.
Kuna uvunjaji mkubwa wa Katiba na Sheria za nchi umetokea. Mhusika lazima abainishwe na achukuliwe hatua kali za kisheria. Mambo yako hivi: CHADEMA wamesema na wanaendelea kusema kuwa hawakuwasilisha Orodha ya Wabunge wa Viti Maalum NEC. Hiyo ni kauli ya Katibu Mkuu wa CHADEMA ambaye ndiye mhusika wa kupeleka majina na mjazaji wa Fomu za kisheria.
Katiba imevunjwa, sheria zimevunjwa. Orodha haikupelekwa. Orodha aliyopewa Spika, kuiamini na kuwaapisha jana ameitoa wapi? Anzeni na Spika. Kama ameipata Orodha kutokea NEC, NEC wamepewa na nani? Nendeni na NEC. Halafu, wote 19 walioapishwa jana wahojiwe na waeleze, pamoja na mambo mengine, waliambiwa na nani kuwa wameteuliwa kuwa wabunge. Waseme waliambiwa kwa njia gani.
Hapa kuna mambo ya pesa za umma. Kuna mambo ya katiba na sheria. Hapa kuna mambo ya jinai kubwa. DPP, TAKUKURU na Polisi, wasaidieni watanzania. Lindeni pesa zao, katiba yao na sheria zao. Mtaheshimiwa na kuthaminiwa. Wakati ni huu!
Mwaka 2020 kulikuwa na uchafuzi mkuu!
Mzee Tupatupa wa Lumumba, Dar es Salaam.
Unaongea mambo magumu kama haya unadhani mzee Meko (Juha) anaweza kukuelewa??? Ufahamu wake umeishia kukariri definition ya catalyst na kuongelea wanawake weupe!Kuna jinai kubwa imetendeka.
Kuna uvunjaji mkubwa wa Katiba na Sheria za nchi umetokea. Mhusika lazima abainishwe na achukuliwe hatua kali za kisheria. Mambo yako hivi: CHADEMA wamesema na wanaendelea kusema kuwa hawakuwasilisha Orodha ya Wabunge wa Viti Maalum NEC. Hiyo ni kauli ya Katibu Mkuu wa CHADEMA ambaye ndiye mhusika wa kupeleka majina na mjazaji wa Fomu za kisheria.
Katiba imevunjwa, sheria ziminition ya evunjwa. Orodha haikupelekwa. Orodha aliyopewa Spika, kuiamini na kuwaapisha jana ameitoa wapi? Anzeni na Spika. Kama ameipata Orodha kutokea NEC, NEC wamepewa na nani? Nendeni na NEC. Halafu, wote 19 walioapishwa jana wahojiwe na waeleze, pamoja na mambo mengine, waliambiwa na nani kuwa wameteuliwa kuwa wabunge. Waseme waliambiwa kwa njia gani.
Hapa kuna mambo ya pesa za umma. Kuna mambo ya katiba na sheria. Hapa kuna mambo ya jinai kubwa. DPP, TAKUKURU na Polisi, wasaidieni watanzania. Lindeni pesa zao, katiba yao na sheria zao. Mtaheshimiwa na kuthaminiwa. Wakati ni huu!
Mwaka 2020 kulikuwa na uchafuzi mkuu!
Mzee Tupatupa wa Lumumba, Dar es Salaam.
Chadema porojo tu kama wako serious wawachukulie hatua wao kwanza ndipo waite DPP wasitumie DPP kama kichaka cha kujificha mleta Mada usirukie kwa DPP
Labda mimi ndo sielewi siasi, hao kina mdee walipewa taarifa na nani kwamba wameteuliwa na wanatakiwa kwenye kuapishwa bungeni? na kama ni NEC ndo ilipitisha tu majina yao na kuyapeleka kwa spika bila kushirikisha viongozi wa chadema je walipoitwa kwenda kuapishwa lilikuwa ni jambo la lazma kwamba wangekataa wangekufunguliwa mashitaka? Kama ilikuwa ni hiari ya kukubali au kukataa iweje lawama ziende kwingine?
Kiuhalisia wao ndo walipaswa kuwasiliana na chama chao ukizingatia wao kama chadema hawakubaliani na matokeo ya uchaguzi, na mgombea wao ambae ni Lisu ameshatamka hadharani for the whole world to hear kwamba hawalitambui bunge wala hawatashiriki, sasa leo wafuasi wake wanaenda kuapa kwenye hilo hilo bunge ambalo wamesema hawalitambui, tena wakijua wazi kwamba viongozi wao hawana taarifa ya kuteuliewa kwao na hata kama wangepewa taarifa lazima wangepinga, but that ddnt stop them, imekaaje hiii? mleta uzi unazunguka mbuyu kutafuta mchawi wakati hii ishu ilitakiwa wahojiwe hao walioenda kuapa kwenye bunge wasilolitambua wamekubalije?
Hawana ubavu wa kufanya hayo. Take my word. Nchi imeoza hii.Kuna jinai kubwa imetendeka.
Kuna uvunjaji mkubwa wa Katiba na Sheria za nchi umetokea. Mhusika lazima abainishwe na achukuliwe hatua kali za kisheria. Mambo yako hivi: CHADEMA wamesema na wanaendelea kusema kuwa hawakuwasilisha Orodha ya Wabunge wa Viti Maalum NEC. Hiyo ni kauli ya Katibu Mkuu wa CHADEMA ambaye ndiye mhusika wa kupeleka majina na mjazaji wa Fomu za kisheria.
Katiba imevunjwa, sheria zimevunjwa. Orodha haikupelekwa. Orodha aliyopewa Spika, kuiamini na kuwaapisha jana ameitoa wapi? Anzeni na Spika. Kama ameipata Orodha kutokea NEC, NEC wamepewa na nani? Nendeni na NEC. Halafu, wote 19 walioapishwa jana wahojiwe na waeleze, pamoja na mambo mengine, waliambiwa na nani kuwa wameteuliwa kuwa wabunge. Waseme waliambiwa kwa njia gani.
Hapa kuna mambo ya pesa za umma. Kuna mambo ya katiba na sheria. Hapa kuna mambo ya jinai kubwa. DPP, TAKUKURU na Polisi, wasaidieni watanzania. Lindeni pesa zao, katiba yao na sheria zao. Mtaheshimiwa na kuthaminiwa. Wakati ni huu!
Mwaka 2020 kulikuwa na uchafuzi mkuu!
Mzee Tupatupa wa Lumumba, Dar es Salaam.
Behaviorist you are now crossing the red-line for posting this figurative cartoon which represents bashing, trolling and provocative, you may eventually pay the price for entertaining these kind of unacceptable ridicule. Your ID is on eavedrop track to account the assault
Mnyika aache porojo hapo kasema ana fomu anazo original au photocopy? Hajasema
Wameapa hadharani waziwazi kama wamekiuka so chama kiwachukulie hatua
Hakuwa hata na haja ya kuitisha Press conference anatafuta pa kujisafishia mnafiki mkubwa
Ohhh fomu ninazo sasa kama unazo chukua hatua basi
Chadema wasanii wanachoogopa kuchukua hatua nini?
Wanataka kusukumia zigo sijui NEC sijui bunge utapeli mtupu
Kama wamekiuka toeni Tamko la kuwafukuza chama mbona midomo inakwepa kutamka
Mnyika msanii
Mkuu za kuambiwa changanya na zako. Imeisha hiyoooooooooooooooKuna jinai kubwa imetendeka.
Kuna uvunjaji mkubwa wa Katiba na Sheria za nchi umetokea. Mhusika lazima abainishwe na achukuliwe hatua kali za kisheria. Mambo yako hivi: CHADEMA wamesema na wanaendelea kusema kuwa hawakuwasilisha Orodha ya Wabunge wa Viti Maalum NEC. Hiyo ni kauli ya Katibu Mkuu wa CHADEMA ambaye ndiye mhusika wa kupeleka majina na mjazaji wa Fomu za kisheria.
Katiba imevunjwa, sheria zimevunjwa. Orodha haikupelekwa. Orodha aliyopewa Spika, kuiamini na kuwaapisha jana ameitoa wapi? Anzeni na Spika. Kama ameipata Orodha kutokea NEC, NEC wamepewa na nani? Nendeni na NEC. Halafu, wote 19 walioapishwa jana wahojiwe na waeleze, pamoja na mambo mengine, waliambiwa na nani kuwa wameteuliwa kuwa wabunge. Waseme waliambiwa kwa njia gani.
Hapa kuna mambo ya pesa za umma. Kuna mambo ya katiba na sheria. Hapa kuna mambo ya jinai kubwa. DPP, TAKUKURU na Polisi, wasaidieni watanzania. Lindeni pesa zao, katiba yao na sheria zao. Mtaheshimiwa na kuthaminiwa. Wakati ni huu!
Mwaka 2020 kulikuwa na uchafuzi mkuu!
Mzee Tupatupa wa Lumumba, Dar es Salaam.
Walikaa katika baraza lao kuu?!!!Majina yamepelekwa na Halima Mdee ambae ndio mwenyekiti wa wanawake wa CHADEMA
Na waliwahi kukaa na wa walikubaliana kuhusu kupeleka majina NEC nadhani Kuna sehemu walipishana kwenye Nani awepo na Nani asiwepo hapo ndio shida imekuja
Na kuuwa watu,Kuna jinai zaidi ya kuiba kura a kutengeneza kura feki?