Dr Samia: Niliporuhusu wapinzani wafanye siasa hawana cha kusema zaidi ya kunitukana

Dr Samia: Niliporuhusu wapinzani wafanye siasa hawana cha kusema zaidi ya kunitukana

The Phylosopher

JF-Expert Member
Joined
Mar 11, 2015
Posts
1,968
Reaction score
2,957
Akihutubia wakati wa kupokea gawio la mashirika ya umma amesema hofu ni mbaya sana akasema kwa mfano alipotaka kuruhusu wapinzani wafanye siasa kwa uhuru makada wa CCM walimpinga sana ila hakuhofu ila hata alipowaruhusu wamejikuta hawana cha kusema zaidi ya kumlipa matusi.
 
Akihutubia wakati wa kupokea gawio la mashirika ya umma amesema hofu ni mbaya sana akasema kwa mfano alipotaka kuruhusu wapinzani wafanye siasa kwa uhuru makada wa ccm walimpinga sana ila hakuhofu ila hata alipowaruhusu wamejikuta hawana cha kusema zaidi ya kumlipa matusi.
1. Sheria inaruhusu, ufalme wa katiba yetu unamfanya Samia aone kama siasa kwa wapinzani ni hisani
2. Matusi gani wamekutukana, kusema ukweli "mchungu" ndiyo kutukana?
3. Ndio huo Ufalme wa katiba yetu.
 
1. Sheria inaruhusu, ufalme wa katiba yetu unamfanya samia aone kama siasa kwa wapinzani ni hisani
2. Matusi gani wamekutukana, kusema ukweli "mchungu" ndiyo kutukana?
3. Ndio huo Ufalme wa katiba yetu.
Wapinzani hawana nidhamu na mamlaka wanaona kama wako sawa na rais ngoja abadiri rangi watakiona
 
Akihutubia wakati wa kupokea gawio la mashirika ya umma amesema hofu ni mbaya sana akasema kwa mfano alipotaka kuruhusu wapinzani wafanye siasa kwa uhuru makada wa ccm walimpinga sana ila hakuhofu ila hata alipowaruhusu wamejikuta hawana cha kusema zaidi ya kumlipa matusi.
Na ndio maana huwezi Kuta Wana hoja ya msingi zaidi ya propaganda,kutukana na ujinga mwingine kama huo.

Unamsikia punguani mmja anasema Nchi imeuzwa Kwa Waarabu unamuulizia how? Anaanza kutukana na kuita Chawa 😁😁😁
 
Akihutubia wakati wa kupokea gawio la mashirika ya umma amesema hofu ni mbaya sana akasema kwa mfano alipotaka kuruhusu wapinzani wafanye siasa kwa uhuru makada wa ccm walimpinga sana ila hakuhofu ila hata alipowaruhusu wamejikuta hawana cha kusema zaidi ya kumlipa matusi.
Mwambieni aache hizi porojo za kijinga. Yeye anataka kuwapangia "wapinzani waongee nini"!? Kama anaona anatukanwa azuie hiyo mikutano, si anaruhusiwa kukanyaga Katiba vile apendavyo, au amesahau Hilo!?
 
Namba moja ni Lissu, akishapiga saspender yake ya kudakia suruari, na kofia yake ya kaboka mchizi, au ile ya mzee sokomoko wa gazeti la Sani, akaweka mkono kiunoni. Ana matusi balaa, wazaramo wanasubiri
 
Kumbe siasa za nchi hii Rais ndio anaamua nani afanye na kwa muda gani.
Afrika kweli ni bara la mavi na giza zito. Imagine Rais bila aibu anasema kuwa yeye ndiye anayeruhusu siasa.
Kauli hizi huwezi kuzisikia kwa wenzetu waliojaaliwa akili.
Mahakam zipo akashitaki, afuate Sheria aache kutafuta huruma
 
Akihutubia wakati wa kupokea gawio la mashirika ya umma amesema hofu ni mbaya sana akasema kwa mfano alipotaka kuruhusu wapinzani wafanye siasa kwa uhuru makada wa ccm walimpinga sana ila hakuhofu ila hata alipowaruhusu wamejikuta hawana cha kusema zaidi ya kumlipa matusi.
Rais haruhusu wapinzani wafanye siasa. Ruhusa ipo kikatiba.

Kauli hii inaonesha Samia ni mjinga anaamini yeye ndiye anaruhusu watu wafanye siasa.
 
1. Sheria inaruhusu, ufalme wa katiba yetu unamfanya samia aone kama siasa kwa wapinzani ni hisani
2. Matusi gani wamekutukana, kusema ukweli "mchungu" ndiyo kutukana?
3. Ndio huo Ufalme wa katiba yetu.
🤔🤔🤔🤔🤔🤔
 
Piga kazi mama,binadamu hawana wema hata kama unaoga maji wenzio watasema unawatimulia vumbi,tunakupa mikumi tena,mitano haitoshi,tunaona juhudi zako mama,uko vizuri
 
Rais haruhusu wapinzani wafanye siasa. Ruhusa ipo kikatiba.

Kauli hii inaonesha Samia ni mjinga anaamini yeye ndiye anaruhusu watu wafanye siasa.
Hivi mkuu raisi samia hana watu wa kumwambia ni jinsi gani ya kuongea? Hakuna maprofesa na wazee wa hekima wakamfunza namna ya kufikisha ujumbe kwa raia? Aibu gani hii!!!!
 
Hili ndilo tatizo la uwepo wa Katiba mbovu katika nchi! Wapinzani kufanya siasa ni ni jambo la kawaida katika nchi inayofuata misingi ya kifemokrasia. Na haitokani na utashi wa wanasiasa wa chama tawala.

Halafu kama anafurahia kusifiwq na CHAWA wake, anatakiwa afurahie pia kukosolewa na wapinzani wake. Na asisingizie kutukanwa pale anapoambiwa ukweli. Akumbuke tu yeye siyo malaika.
 
Back
Top Bottom