Dr Samia: Niliporuhusu wapinzani wafanye siasa hawana cha kusema zaidi ya kunitukana

Dr Samia: Niliporuhusu wapinzani wafanye siasa hawana cha kusema zaidi ya kunitukana

Akihutubia wakati wa kupokea gawio la mashirika ya umma amesema hofu ni mbaya sana akasema kwa mfano alipotaka kuruhusu wapinzani wafanye siasa kwa uhuru makada wa ccm walimpinga sana ila hakuhofu ila hata alipowaruhusu wamejikuta hawana cha kusema zaidi ya kumlipa matusi.
Ni kweli Mh Rais ana tukanwa.
Yaani kuambiwa kawafukuza Wamaasai Loliondo na Ngorongoro ili awape Waarabu ni tusi kubwa sana
Kuambiwa kawahonga Waarabu uwanja wa ndege wa kimataifa wa KIA nalo ni tusi la nguoni
Kuambiwa Abdul ana zunguka na pesa za kuhonga wagu haifai kabisa
Kuambiwa hauza bandari kwa Dp WORLD ni uongo
Kuambiwa mama kauza kwa Wakorea eneo la bahari yetu ni matusi
Je? Ule msitu alio wapa Waarabu mbona sio kweli mna msinvizia tuu!!
jamani muoneeni huruma Rais wetu mwadilifu
 
Hivi mkuu raisi samia hana watu wa kumwambia ni jinsi gani ya kuongea? Hakuna maprofesa na wazee wa hekima wakamfunza namna ya kufikisha ujumbe kwa raia? Aibu gani hii!!!!
Tatizo halijaanzia kwenye kuongea, tatizo ni anavyofikiri.

Na jinsi anavyofikiri ni matokeo ya miaka na miaka ya malimbikizo ya utamaduni wa ujinga.

Si jambo la kufundishwa mara moja akaelewa, ingekuwa hivyo angefundishwa.

Tatizo hatuna chujio zuri la kupata viongozi. Tunapata watu wajinga wanakuwa viongozi.
 
Namba moja ni Lissu, akishapiga saspender yake ya kudakia suruari, na kofia yake ya kaboka mchizi, akaweka mkono kiunoni. Ana matusi balaa, wazaramo wanasubiri
wenye matusi wanaofira tayari wapo mahakamani wanasubiri kuvaa sare, kwanini msimfungulie mashitaka?
 

Attachments

  • 62D2BF3F-918F-4C2D-8A1C-2F1EBF1B5B64.jpeg
    62D2BF3F-918F-4C2D-8A1C-2F1EBF1B5B64.jpeg
    127.9 KB · Views: 1
  • CDDAA1BF-5A64-4E42-A6AE-80C20DC98FFC.jpeg
    CDDAA1BF-5A64-4E42-A6AE-80C20DC98FFC.jpeg
    180.2 KB · Views: 1
Kwa hiyo alitaka wapinzani na wenyewe waungane na machawa wake kumuimbia mapambio ya anaupiga mwingi 🤔 kama walimtukana sheria si zipo polisi na mahakama zote ziko kiganjani kwake kwa nini haku wachukulia hatua 🤔alafu waliotoa ruhusa ya kuendelea na mikutano ya siasa ni wazungu sio yeye na ilikua ni sharti la kupewa mikopo na misaada asijipe sifa
 
Ni kweli Mh Rais ana tukanwa.
Yaani kuambiwa kawafukuza Wamaasai Loliondo na Ngorongoro ili awape Waarabu ni tusi kubwa sana
Kuambiwa kawahonga Waarabu uwanja wa ndege wa kimataifa wa KIA nalo ni tusi la nguoni
Kuambiwa Abdul ana zunguka na pesa za kuhonga wagu haifai kabisa
Kuambiwa hauza bandari kwa Dp WORLD ni uongo
Kuambiwa mama kauza kwa Wakorea eneo la bahari yetu ni matusi
Je? Ule msitu alio wapa Waarabu mbona sio kweli mna msinvizia tuu!!
jamani muoneeni huruma Rais wetu mwadilifu
Katika haya matusi mazito hajajibu hata moja
 
Tatizo halijaanzia kwenye kuongea, tatizo ni anavyofikiri.

Na jinsi anavyofikiri ni matokeo ya miaka na miaka ya malimbikizo ya utamaduni wa ujinga.

Si jambo la kufundishwa mara moja akaelewa, ingekuwa hivyo angefundishwa.

Tatizo hatuna chujio zuri la kupata viongozi. Tunapata watu wajinga wanakuwa viongozi.
daaah kweli form 4 failure mbaya ila anaweza akawa anajua ila anafanya kusudi
 
Cjui watu wanashindwa kuelewa au bac ili mradi kupinga kila kitu,wakati Mama Samia anachukua nchi kulikuwa na zuio hilo la vyama vya upinzani kufanya siasa,yeye alilitoa hilo zuio(aliruhusu),sasa iwe aliyezuia alisigina katiba ukweli mchungu utabaki palepale mama Samia aliruhusu.
 
Cjui watu wanashindwa kuelewa au bac ili mradi kupinga kila kitu,wakati Mama Samia anachukua nchi kulikuwa na zuio hilo la vyama vya upinzani kufanya siasa,yeye alilitoa hilo zuio(aliruhusu),sasa iwe aliyezuia alisigina katiba ukweli mchungu utabaki palepale mama Samia aliruhusu.
Hilo zuio lilikuwa batili. Unconstitutional.
 
Back
Top Bottom