Dr Samia: Niliporuhusu wapinzani wafanye siasa hawana cha kusema zaidi ya kunitukana

Dr Samia: Niliporuhusu wapinzani wafanye siasa hawana cha kusema zaidi ya kunitukana

Laiti kama akipatikana dalali wa maana hii Nchi iuzwe tu Kila mtu ale Chake apite Hivi. Kwa maana hiyo sa100 Nchi ni yake sio ya watanzania Tena?
 
Kama umetukanwa sheria zipo chukua hatua. Lakini kilichoruhusu mikutano ni Katiba sio wewe. Mpaka hapo inaonyesha "wanaokutukana" wana sababu ya msingi.
Halafu "walioruhusu" mikutano ni wazungu na mikopo sio wewe
Hii comment mtu anaweza dhani upinzani upo serious kweli kumbe kihasibu hamna userious wowote.
 
Na ndio maana huwezi Kuta Wana hoja ya msingi zaidi ya propaganda,kutukana na ujinga mwingine kama huo.

Unamsikia punguani mmja anasema Nchi imeuzwa Kwa Waarabu unamuulizia how? Anaanza kutukana na kuita Chawa
😁😁 kwani mnaitwa chawa au mlijiita wenyewe chawa?
 
daaah kweli form 4 failure mbaya ila anaweza akawa anajua ila anafanya kusudi
Akijua na kufanya kusudi hana tofauti na asiyejua.

In fact anakuwa amekosea kuliko asiyejua. Kwa sababu amefanya makosa si kwa ujinga, bali kwa kukusudia.
 
Mnamsifu mtu na kumnyenyekea mpaka anaona nchi kama sebuleni kwake.... Nimeruhusu hichi,nimeruhusu kile kwani katiba ni mtu? Utoke nchinikwako Uje kuturuhusu vitu n chini kwetu kweli??? Hii Tanganyika tunatangatanga nyikani yaani ni sehemu dhalili sana kukaa
 
Ulitekeleza suala la kikatiba lililoporwa kimabavu. Sheria zichukue mkondo wake kama wanakutusi kweli maana si sahihi kumtukana raia yeyote wa nchi hii. Read & vote here


 
Maoni ya wananchi yaliyo kwenye katiba ndio yanaruhusu . Samia akumbushwe msingi mkuu wa katiba yetu ni upi .
 
CHADEMA wakiongozwa na makamu wao wameishiwa sera kwa taarifa Yao mama mwakani mitano tena.
 
Kama umetukanwa sheria zipo chukua hatua. Lakini kilichoruhusu mikutano ni Katiba sio wewe. Mpaka hapo inaonyesha "wanaokutukana" wana sababu ya msingi.
Halafu "walioruhusu" mikutano ni wazungu na mikopo sio wewe
Nyie jifanyeni hamnazo: Kwani Magu alipofunga mikutano katiba haikuwepo??Tulifanya nini??Usiangalie nguvu ya kwenye makaratasi (katiba) angalia nguvu ya uhalisia
 
Back
Top Bottom