The Phylosopher
JF-Expert Member
- Mar 11, 2015
- 1,968
- 2,957
1. Sheria inaruhusu, ufalme wa katiba yetu unamfanya Samia aone kama siasa kwa wapinzani ni hisaniAkihutubia wakati wa kupokea gawio la mashirika ya umma amesema hofu ni mbaya sana akasema kwa mfano alipotaka kuruhusu wapinzani wafanye siasa kwa uhuru makada wa ccm walimpinga sana ila hakuhofu ila hata alipowaruhusu wamejikuta hawana cha kusema zaidi ya kumlipa matusi.
Wapinzani hawana nidhamu na mamlaka wanaona kama wako sawa na rais ngoja abadiri rangi watakiona1. Sheria inaruhusu, ufalme wa katiba yetu unamfanya samia aone kama siasa kwa wapinzani ni hisani
2. Matusi gani wamekutukana, kusema ukweli "mchungu" ndiyo kutukana?
3. Ndio huo Ufalme wa katiba yetu.
Mbona mliufyata kwa jpm. Au katiba haikuwepo kipindi cha jpmKama umetukanwa sheria zipo chukua hatua. Lakini kilichoruhusu mikutano ni Katiba sio wewe. Mpaka hapo inaonyesha "wanaokutukana" wana sababu ya msingi.
Halafu "walioruhusu" mikutano ni wazungu na mikopo sio wewe
Na ndio maana huwezi Kuta Wana hoja ya msingi zaidi ya propaganda,kutukana na ujinga mwingine kama huo.Akihutubia wakati wa kupokea gawio la mashirika ya umma amesema hofu ni mbaya sana akasema kwa mfano alipotaka kuruhusu wapinzani wafanye siasa kwa uhuru makada wa ccm walimpinga sana ila hakuhofu ila hata alipowaruhusu wamejikuta hawana cha kusema zaidi ya kumlipa matusi.
Mwambieni aache hizi porojo za kijinga. Yeye anataka kuwapangia "wapinzani waongee nini"!? Kama anaona anatukanwa azuie hiyo mikutano, si anaruhusiwa kukanyaga Katiba vile apendavyo, au amesahau Hilo!?Akihutubia wakati wa kupokea gawio la mashirika ya umma amesema hofu ni mbaya sana akasema kwa mfano alipotaka kuruhusu wapinzani wafanye siasa kwa uhuru makada wa ccm walimpinga sana ila hakuhofu ila hata alipowaruhusu wamejikuta hawana cha kusema zaidi ya kumlipa matusi.
Rais haruhusu wapinzani wafanye siasa. Ruhusa ipo kikatiba.Akihutubia wakati wa kupokea gawio la mashirika ya umma amesema hofu ni mbaya sana akasema kwa mfano alipotaka kuruhusu wapinzani wafanye siasa kwa uhuru makada wa ccm walimpinga sana ila hakuhofu ila hata alipowaruhusu wamejikuta hawana cha kusema zaidi ya kumlipa matusi.
π€π€π€π€π€π€1. Sheria inaruhusu, ufalme wa katiba yetu unamfanya samia aone kama siasa kwa wapinzani ni hisani
2. Matusi gani wamekutukana, kusema ukweli "mchungu" ndiyo kutukana?
3. Ndio huo Ufalme wa katiba yetu.
Waliufyata mpaka wakina kikwete,makamba,kinana na makada kibao,Mbona mliufyata kwa jpm. Au katiba haikuwepo kipindi cha jpm
Hivi mkuu raisi samia hana watu wa kumwambia ni jinsi gani ya kuongea? Hakuna maprofesa na wazee wa hekima wakamfunza namna ya kufikisha ujumbe kwa raia? Aibu gani hii!!!!Rais haruhusu wapinzani wafanye siasa. Ruhusa ipo kikatiba.
Kauli hii inaonesha Samia ni mjinga anaamini yeye ndiye anaruhusu watu wafanye siasa.
Hauna akili mkuu changia hoja vizuri acha kutukana hovyoShoga ww Raisi ana dhalilishwa wewe huoni
Huu ndio ujinga uliojaa vichwani mwa Hawa wajinga wa ccm. Kwamba wao ndio Katiba.Rais haruhusu wapinzani wafanye siasa. Ruhusa ipo kikatiba.
Kauli hii inaonesha Samia ni mjinga anaamini yeye ndiye anaruhusu watu wafanye siasa.