balibabambonahi
JF-Expert Member
- Apr 5, 2015
- 15,771
- 14,294
Tunataka katiba mpya,Akihutubia wakati wa kupokea gawio la mashirika ya umma amesema hofu ni mbaya sana akasema kwa mfano alipotaka kuruhusu wapinzani wafanye siasa kwa uhuru makada wa ccm walimpinga sana ila hakuhofu ila hata alipowaruhusu wamejikuta hawana cha kusema zaidi ya kumlipa matusi.
hana uwezo wa kuruhusu mikutano ya hadhara au kuzuia na zuio aliloweka magu lilikuwa batili anafata katiba inasema nini na si yeye maneno yake.aliyezuia alisigina katiba ukweli mchungu utabaki palepale mama Samia aliruhusu.
Uelewa wako ni mdogo, jifunze kwanza kwa wengine uongeze maarifaCjui watu wanashindwa kuelewa au bac ili mradi kupinga kila kitu,wakati Mama Samia anachukua nchi kulikuwa na zuio hilo la vyama vya upinzani kufanya siasa,yeye alilitoa hilo zuio(aliruhusu),sasa iwe aliyezuia alisigina katiba ukweli mchungu utabaki palepale mama Samia aliruhusu.
Na ni mjinga kweli kweli!!.Rais haruhusu wapinzani wafanye siasa. Ruhusa ipo kikatiba.
Kauli hii inaonesha Samia ni mjinga anaamini yeye ndiye anaruhusu watu wafanye siasa.
Wanemtukana sana1. Sheria inaruhusu, ufalme wa katiba yetu unamfanya samia aone kama siasa kwa wapinzani ni hisani
2. Matusi gani wamekutukana, kusema ukweli "mchungu" ndiyo kutukana?
3. Ndio huo Ufalme wa katiba yetu.
TusiNa ni mjinga kweli kweli!!.
Kwani shida iko wapi?Mbona mliufyata kwa jpm. Au katiba haikuwepo kipindi cha jpm
asiseme karuhusu!sheria ndo imeruhusu sio yyAkihutubia wakati wa kupokea gawio la mashirika ya umma amesema hofu ni mbaya sana akasema kwa mfano alipotaka kuruhusu wapinzani wafanye siasa kwa uhuru makada wa ccm walimpinga sana ila hakuhofu ila hata alipowaruhusu wamejikuta hawana cha kusema zaidi ya kumlipa matusi.
Mikutano ya siasa hauruhusiwi na rais bali ni katiba ya nchi inayoruhusuAkihutubia wakati wa kupokea gawio la mashirika ya umma amesema hofu ni mbaya sana akasema kwa mfano alipotaka kuruhusu wapinzani wafanye siasa kwa uhuru makada wa ccm walimpinga sana ila hakuhofu ila hata alipowaruhusu wamejikuta hawana cha kusema zaidi ya kumlipa matusi.
bora nchi inendeshwe na jeshi kuliko watu wanateuliwa wanaenda kulawiti watoto hawafanyi kazi, Pesa za wananchi wanaenda kuhonga vibinti wakalawiti watoto kama hawa 👇Wapinzani wamesababisha maendeleo yachelewe. Tuwakatae wapinzani.
CCM ni mataahira kabisachadema ni kama wehu flani ivi
hawawezi kumzidi huyu anateyewaingilia watoto wa wenzake kinyume wakati anao wake huku wananchi wakimlipa mishahara ofisi ameigeuza kuwa sehemu ya kufanya ushetani na ulawiti kwa mabinti👇CHADEMA ni kiwanda cha matusi.
Uelewa wako ni mdogo, jifunze kwanza kwa wengine uongeze maarifa
bora uwe tahira kuliko kwenda kufunua sehemu za kujisaidia za watoto ni zaidi ya utahira na yeye ni MWANA CCM. Hii inaonyesha ni namna gani chama hakina watu makini.chadema ni kama wehu flani ivi
Nani alimtukana??Akihutubia wakati wa kupokea gawio la mashirika ya umma amesema hofu ni mbaya sana akasema kwa mfano alipotaka kuruhusu wapinzani wafanye siasa kwa uhuru makada wa ccm walimpinga sana ila hakuhofu ila hata alipowaruhusu wamejikuta hawana cha kusema zaidi ya kumlipa matusi.