DRC: Wanajeshi walinda amani wa Tanzania wajeruhiwa katika mapigano na M23

Mkuu kama unaamini Russia hakujua kama atapambana na US na EU basi wewe ni mweupe sana.

Huwezi kuanzisha vita bila kufanya calculations za kutosha
Calculation zipi wakati hazikwenda sawa? Russia ilijua kama itakutana na upinzani mkali namna hiyo?
 
Sio rahisi, Rwanda wana intelligence madhubuti na iliyoenea sana East Africa. Kuingia kwenye vita ya moja kwa moja na Rwanda na kutarajia kuwapiga kirahisi ni kujidanganya. Usiongopewe na udogo wa eneo lao.

Kwani kipindi cha Kikwete hao m23 walifanywa nini?!

Huyo kagame intelijensia haikuwepo
 
Na wanapigwa hukoo, poleeeeh [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kama hujui kitu bora usiongee, yaani unaongea ujinga halafu wajinga wenzio wanakusapoti! Hujui vita ni nini ,hujawahi kushika silaha, hujawahi kwenda vitani! Halafu unaropoka mtandaoni watu wakuone unajua sana!
Mpuuzi wahedi!!
 
Porojo tu sioni facts ulizileta, kuishi uraiani ndio kujua uwezo wa kijeshi?? Ongelea missions za Manqueal De Zombo huko Angola ama Kisangani II n.k ndio utaelewa uwezo wa kijeshi wa Rwanda, sio silaha au ukubwa wa Jeshi ndio Una determine ushindi.
mawazo ya kipumbavu na sifa kijinga za wanyarwanda, tendeni haki kwanza nchi kwenu muache kuwabagua na kuuwa wahutu. Mission gani hizo za kisangani hakuna kipya wala cha jabu chochote. Mlikutana na wachovu tu nyie maskini mna nguvu gani kijeshi bana? unatusumbua hapa na misifa ya kijinga ya kitusi.Unapoteza muda wangu sijidili tena na wewe wala sitakujibu tena utumbo wako kijinga na kuoenda misifa wakati maskini tu nyie. mmekalia kuiba tu Congo
 
Kwenu ni Ngara sehemu gani Mkuu?
 
Nedna kwenu sasa TZ ynafanya nini? kaka na wazee wa mission nyingi za nnje wababe wa vita Africa hahahahahahahahah
 
Ningekusimulia nilichoambiwa na ndugu yangu ambaye walienda kutrain jeshi jipya la Congo baada ya Kabila Senior kushika madaraka, hao jamaa zako walijaribu kujipenyeza yaliwakuta ya kuwakuta wanaijua habari ya JW vizuri kabisa sio kwa kusimuliwa bali kwa vitendo.
 

Hebu inyooshe hii habari vizuri Mkuu. Nikiri wewe unafahamu vizuri hizi habari.
 
😄😄 Rwanda wao wanajua lengo la FARDC Ni kuwaharibia mkutano wao wa CHOGM,Sasa tusubiri CHOGM ipite(na hii Ni endapo tu Kama Rwanda itaweza kuvumilia bila kumwaga Moto kipindi hiki hiki) tuone Ni Nani ataanza kuomba cease fire,nitaku-tagg.
 
Kama hujui kitu bora usiongee, yaani unaongea ujinga halafu wajinga wenzio wanakusapoti! Hujui vita ni nini ,hujawahi kushika silaha, hujawahi kwenda vitani! Halafu unaropoka mtandaoni watu wakuone unajua sana!
Mpuuzi wahedi!!
Mbona umepanic?
 
Laurent kabila kosa jingine alilolifanya BAADA ya kuchukua nchi alianza kuchukua watu wa kabila lake na kuwaingiza kwenye jeshi la taifa, KITU hiki kiliwachukiza watu wengi kule Congo nilimsikia James kaberebe aliongea kwenye documentary ya INVASION OF CONGO YouTube ipo.
Kumbuka kulikuwa na kundi kubwa la uasi liliitwa RCD ilikuwa linakikosi Cha Askari 40,000 mwaka 1998 second congo war
Second Congo war makabila mengi yalikuwa yakimpinga kabila kutoka na kuwaweka watu wake kwenye jeshi Kama nilivyosema.
Na ndio maana alizialika nchi nyingi kwenda kumpa support.
 
Dah !.. una ufahamu mzuri Sana wa siasa za maziwa makuu...👊👊👊
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…