Ni bahati Mbabane marekebisho haya hayapewi publicity ya kutosha ndani ya Nchi ila majariba mengi ya nje yameelezea hili hasa reformations za kisheria zinazofanywa na Serikali ya Awamu ya 6Naomba sana hili jambo litokee haraka sana tuwe na sheria rafiki kuliko nchi yoyote maana nchi njia peke yakakutoka hapa ni private sector kukua. Kama hili linafanyika basi salute la lishukue muda mrefu. Kuna mtu alitaka kuwekeza hapa lakini kumtajia 45% tax alishtuka sana how comes na kibali chake sijui dola alfu naona nguvu zilimuishia kidogo anapenda kuja lakini kawa na mashaka kama njia sahihi.
KweliHata JK alisaini na rais wa China mikataba mingi lakini mpaka leo hakuna utekelezaji
Kanyaboya/ boshen tupu
Waarabu walioajiri wazungu na wahindi wawafanyie kazi ndio hao tunaowafuata.Sasa waarabu nao wakuchukulia serious kweli! Mambo muhimu ya nchi unawahusisha waarabu! Nadhani tumekosa tu cha kufanya kama nchi.
yani safari moja inaongeza deni la 14 trilion? Mgogo aliona mbali sana kwakweliJamani amkeni amkeni
Huko dubai mambo ni moto balaa! Leo hii Rais wa JMT Mhe Samia Suluhu Hassan ameshuhudia utiaji saini wa mikataba zaidi ya 30 ya uwekezaji Tanzania yenye thamani ya fedha za Tanzania zaidi ya Trilioni 14 na itakayotoa ajira kwa Watanzania za moja kwa moja zaidi ya laki 2.
Mikataba iyo inahusu maeneo ya Kilimo, Madini, Biashara, Utalii na Uzalishaji wa Viwanda
Hongera sana Mhe. Rais kwa jitihada hizi. Mungu akubariki kwa kweli. Haya ndo maendeleo tunayotaka Watanzania
Kutoka Nyasa, ziwani
Lord denning
Viwanda na mass migration ya materials ghafi kwa ajili ya viwandaUharibifu upi wa mazingira? Fafanua
Tanzania itajengwa na watanzania na siyo wawekezaji. Kuna hatari ya watanzania kuja kushika silaha siku zijazo ili kuikomboa tena Tanzania kutoka kwenye mikono ya wageni! Ni hatari sana kuwa na rais anayezunguka kuokoteza wageni eti anaijenga nchi yake!Soma uzi acha uvivu
Sekta zilizoguswa ni Kilimo, Madini, Utalii, Viwanda na Biashara
Maeneo wametaja mengi ikiwemo industrial parks za Kibaha na maeneo ya uwekezaji( Economic Zones)
Huyu Mama sio mchezo kwa kweli! Huu ushawishi wake sio wa kawaida
Unaambiwa uwekezaji we unauliza mikopo. Umeishia darasa la ngapi?Ni mkopo?
Hizo zilipendwa.
Endelea kujidanganya. Nchi gani duniani imeendelea bila foreign investment?Tanzania itajengwa na watanzania na siyo wawekezaji. Kuna hatari ya watanzania kuja kushika silaha siku zijazo ili kuikomboa tena Tanzania kutoka kwenye mikono ya wageni! Ni hatari sana kuwa na rais anayezunguka kuokoteza wageni eti anaijenga nchi yake!
Yule baba si katurudisha nyuma Mtwara ilikuwa inakuja juuMikataba ya gesi ilikuwa hivyo hivyo kwani tumesahau tulipoambiwa kwamba kutumia miss na kuni itakuwa historia Tu na Mtwara kuwa kama Dubai?
Mimi nitafurahi pale nitakapoona uwekezaji umeenda sambamba na kubadilisha uchumi wa nchi siyo uchumi wa Kati wa makaratasi.
Semeni Wamasai wa Loliondo wajiandae kuamishwa,Mwarabu hawezi kuja kuwekeza huku,hakuna nchi hata moja Africa Mwarabu ambayo aliisha wahi fanya uwekezaji wa hivo.Mnaanza kuturetea ya Kikwete,siku moja alisaini mikataba karibu 300 na China,watu wakaanza kushangiria kuwa tunauaga umasikini,mpaka Sasa tulichoambulia ni Kikwete kupewa Uprofessor 🤣🤣🤣 watanganyika ni wepesi kudanganyikaJamani amkeni amkeni
Huko dubai mambo ni moto balaa! Leo hii Rais wa JMT Mhe Samia Suluhu Hassan ameshuhudia utiaji saini wa mikataba zaidi ya 30 ya uwekezaji Tanzania yenye thamani ya fedha za Tanzania zaidi ya Trilioni 14 na itakayotoa ajira kwa Watanzania za moja kwa moja zaidi ya laki 2.
Mikataba iyo inahusu maeneo ya Kilimo, Madini, Biashara, Utalii na Uzalishaji wa Viwanda
Hongera sana Mhe. Rais kwa jitihada hizi. Mungu akubariki kwa kweli. Haya ndo maendeleo tunayotaka Watanzania
Kutoka Nyasa, ziwani
Lord denning
Wawekezaji muhimu tena mnoTanzania itajengwa na watanzania na siyo wawekezaji. Kuna hatari ya watanzania kuja kushika silaha siku zijazo ili kuikomboa tena Tanzania kutoka kwenye mikono ya wageni! Ni hatari sana kuwa na rais anayezunguka kuokoteza wageni eti anaijenga nchi yake!
Embu tupe ushahidi wa Mwarabu kuwekeza Ngorongoro.Semeni Wamasai wa Loliondo wajiandae kuamishwa,Mwarabu hawezi kuja kuwekeza huku,hakuna nchi hata moja Africa Mwarabu ambayo aliisha wahi fanya uwekezaji wa hivo.Mnaanza kuturetea ya Kikwete,siku moja alisaini mikataba karibu 300 na China,watu wakaanza kushangiria kuwa tunauaga umasikini,mpaka Sasa tulichoambulia ni Kikwete kupewa Uprofessor 🤣🤣🤣 watanganyika ni wepesi kudanganyika
Endelea kuishi ma mithali zako huko kijijiniKuna mtu humu aliandika methali ya "Kizuri chajiuza, ................"! Sijui alimaanisha nini huyu jamaa.