Dubai: Rais Samia ashuhudia utiaji saini wa Mikataba ya Uwekezaji ya thamani ya Trilioni 17

Dubai: Rais Samia ashuhudia utiaji saini wa Mikataba ya Uwekezaji ya thamani ya Trilioni 17

Embu tupe ushahidi wa Mwarabu kuwekeza Ngorongoro.

Tupe pia ushahidi wa Kikwete kusaini mikataba 300 na china
Wewe ulikuwa wapi wakati rais wa china anakuja magogoni?tafuta taarifa ni mikataba mingapi ilisainiwa,sio kila kitu unatafuniwa kama kinda la ndege.
 
Jamani amkeni amkeni
Huko dubai mambo ni moto balaa! Leo hii Rais wa JMT Mhe Samia Suluhu Hassan ameshuhudia utiaji saini wa mikataba zaidi ya 30 ya uwekezaji Tanzania yenye thamani ya fedha za Tanzania zaidi ya Trilioni 14 na itakayotoa ajira kwa Watanzania za moja kwa moja zaidi ya laki 2.

Mikataba iyo inahusu maeneo ya Kilimo, Madini, Biashara, Utalii na Uzalishaji wa Viwanda

Hongera sana Mhe. Rais kwa jitihada hizi. Mungu akubariki kwa kweli. Haya ndo maendeleo tunayotaka Watanzania

Kutoka Nyasa, ziwani
Lord denning
wajanja washanusa kuna shamba la bibi mahali fulani!
 
Jamani amkeni amkeni
Huko dubai mambo ni moto balaa! Leo hii Rais wa JMT Mhe Samia Suluhu Hassan ameshuhudia utiaji saini wa mikataba zaidi ya 30 ya uwekezaji Tanzania yenye thamani ya fedha za Tanzania zaidi ya Trilioni 14 na itakayotoa ajira kwa Watanzania za moja kwa moja zaidi ya laki 2.

Mikataba iyo inahusu maeneo ya Kilimo, Madini, Biashara, Utalii na Uzalishaji wa Viwanda

Hongera sana Mhe. Rais kwa jitihada hizi. Mungu akubariki kwa kweli. Haya ndo maendeleo tunayotaka Watanzania

Kutoka Nyasa, ziwani
Lord denning

Ni jambo jema,hicho kipengele cha Utalii isijekuwa kuuza Ngorongoro
 
Jamani amkeni amkeni
Huko dubai mambo ni moto balaa! Leo hii Rais wa JMT Mhe Samia Suluhu Hassan ameshuhudia utiaji saini wa mikataba zaidi ya 30 ya uwekezaji Tanzania yenye thamani ya fedha za Tanzania zaidi ya Trilioni 14 na itakayotoa ajira kwa Watanzania za moja kwa moja zaidi ya laki 2.

Mikataba iyo inahusu maeneo ya Kilimo, Madini, Biashara, Utalii na Uzalishaji wa Viwanda

Hongera sana Mhe. Rais kwa jitihada hizi. Mungu akubariki kwa kweli. Haya ndo maendeleo tunayotaka Watanzania

Kutoka Nyasa, ziwani
Lord denning
🙏🙏 Asante Sana mh.Rais umewaaibisha wapumbavu.

Niliandika mara kadhaa kwamba Samia sio mshamba wala hafanyi safari za kwenda kujua Nchi,alishasafiri Sana kabla na yeye alisema.

Ukiona katoa mguu ujue kuna pesa,safi Sana mh.SSH..

Ukirudi Bongo uje uanze na ma DED wa walaya ambako watumishi hewa wamebainika na ikibidi fumia Idara ya ajira huko wizarani.
 
Screenshot_20220227-172300.jpg
 
Jamani amkeni amkeni
Huko dubai mambo ni moto balaa! Leo hii Rais wa JMT Mhe Samia Suluhu Hassan ameshuhudia utiaji saini wa mikataba zaidi ya 30 ya uwekezaji Tanzania yenye thamani ya fedha za Tanzania zaidi ya Trilioni 14 na itakayotoa ajira kwa Watanzania za moja kwa moja zaidi ya laki 2.

Mikataba iyo inahusu maeneo ya Kilimo, Madini, Biashara, Utalii na Uzalishaji wa Viwanda

Hongera sana Mhe. Rais kwa jitihada hizi. Mungu akubariki kwa kweli. Haya ndo maendeleo tunayotaka Watanzania

Kutoka Nyasa, ziwani
Lord denning
Asante sana kutujulisha sisi wananchi.Tunazidi kuwa na uhakika wa ajira.Wananchi wanafuraha.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Taifa ambalo Rais wake anawekeza katika ufisadi haliwezi kamwe kufua dafu katika maendeleo hata lisaini mkataba wa uwekezaji wa trilioni bilioni moja🐒🐒🐒
 
Ameuza Ngorongoro wa nani? Shilingi ngapi? Tupe huo ushahidi wako
Achana nao hao,wako wanawake ukiwaoa,hata uwafanyie mema gani,hawaishi kulalamika,na wako wanaume,hata wafanyiwe mema gani na wake zao hawaishi kulalamika.Muhimu,ukisikia kelele ,huyoo huyoo huyoo,wewe endelea na safari yako(Mwalimu Nyerere).

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wawekezaji muhimu tena mno
Zimbabwe uchumi ulikufa sababu ya kufukuza wawekezaji

Wazungu waliwekeza sana kwenye kilimo na ufugaji Zimbabwe mazao yao na mifugo wakawa wanauza sana Ulaya. Mugabe akawanyanganya mashamba akawapa nduguze na wanasiasa wenzie wakawa wanalima mazao yaleyale waliyokuwa wanalima wazungu kila kitu wakizingatia kuanzia ubora lakini wakashangaa soko Ulaya halipo wazungu hawataki kununua hawaamini mswahili aweza zalisha budhaa ya kiwango cha Ulaya wakakataa kununua

Wawekezaji wakija wanauzia kwao wanakotoka kwa watu wao ,wewe mswahili huwezi penya soko lao kirahisi hata uzingatie vigezo vyote nobody is interested

Mama Samia yuko sahihi sana kwa hili
Kwa kutumia tu mfano wa Zimbabwe kuhalalisha wawekezaji inaonyesha ulivyo na upeo mdogo kuhusu maendeleo ya nchi. BTW unaona unavyokinganya mwenyewe kuwa waliondoka na Zimbambwe ikafa? Huoni hii ni sababu ya msingi kabisa ya kuona kuwa nchi inatakiwa ijijenge yenyewe ili isitegemee wageni wanaoweza kuondoka muda wowote?
 
Endelea kujidanganya. Nchi gani duniani imeendelea bila foreign investment?
Foreign Investment zijakataa. Mimi nakataa pale ambapo rais anaabudu na kudhani kuwa kuzunguka huko na huko kuokokoteza ''wawekezaji'' ndiyo njia pekee ya kuendeleza nchi. Uwekezaji ufanyike lakini kwa hatua tena kwa tahadhari.
 
Uwekezaji unafanyika bongo saini zinaanguka umangani. Kasi iendelee maana muda hautoshi
 
Back
Top Bottom