Lord denning
JF-Expert Member
- Jun 3, 2015
- 15,819
- 33,255
- Thread starter
- #81
Umekula mchana?Nipo kijiji cha Rubambangwe, huku Chato. Wasalimie Dubai ila usisahau kuwaulizia kuhusu hiyo methali! Ahahahahahahah! Ihihihihihihi!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umekula mchana?Nipo kijiji cha Rubambangwe, huku Chato. Wasalimie Dubai ila usisahau kuwaulizia kuhusu hiyo methali! Ahahahahahahah! Ihihihihihihi!
Ushauri wangu kwako. Tafuta exposure! Ukiwa na uelewa na ufahamu mzuri wa mambo utaishi vizuri sanaHuku tunaenda ziwani kuloa samaki, tunachemsha na kula na viazi vitamu vya kumenya wakati wa kula!
Wewe ulikuwa wapi wakati rais wa china anakuja magogoni?tafuta taarifa ni mikataba mingapi ilisainiwa,sio kila kitu unatafuniwa kama kinda la ndege.Embu tupe ushahidi wa Mwarabu kuwekeza Ngorongoro.
Tupe pia ushahidi wa Kikwete kusaini mikataba 300 na china
wajanja washanusa kuna shamba la bibi mahali fulani!Jamani amkeni amkeni
Huko dubai mambo ni moto balaa! Leo hii Rais wa JMT Mhe Samia Suluhu Hassan ameshuhudia utiaji saini wa mikataba zaidi ya 30 ya uwekezaji Tanzania yenye thamani ya fedha za Tanzania zaidi ya Trilioni 14 na itakayotoa ajira kwa Watanzania za moja kwa moja zaidi ya laki 2.
Mikataba iyo inahusu maeneo ya Kilimo, Madini, Biashara, Utalii na Uzalishaji wa Viwanda
Hongera sana Mhe. Rais kwa jitihada hizi. Mungu akubariki kwa kweli. Haya ndo maendeleo tunayotaka Watanzania
Kutoka Nyasa, ziwani
Lord denning
Jamani amkeni amkeni
Huko dubai mambo ni moto balaa! Leo hii Rais wa JMT Mhe Samia Suluhu Hassan ameshuhudia utiaji saini wa mikataba zaidi ya 30 ya uwekezaji Tanzania yenye thamani ya fedha za Tanzania zaidi ya Trilioni 14 na itakayotoa ajira kwa Watanzania za moja kwa moja zaidi ya laki 2.
Mikataba iyo inahusu maeneo ya Kilimo, Madini, Biashara, Utalii na Uzalishaji wa Viwanda
Hongera sana Mhe. Rais kwa jitihada hizi. Mungu akubariki kwa kweli. Haya ndo maendeleo tunayotaka Watanzania
Kutoka Nyasa, ziwani
Lord denning
🙏🙏 Asante Sana mh.Rais umewaaibisha wapumbavu.Jamani amkeni amkeni
Huko dubai mambo ni moto balaa! Leo hii Rais wa JMT Mhe Samia Suluhu Hassan ameshuhudia utiaji saini wa mikataba zaidi ya 30 ya uwekezaji Tanzania yenye thamani ya fedha za Tanzania zaidi ya Trilioni 14 na itakayotoa ajira kwa Watanzania za moja kwa moja zaidi ya laki 2.
Mikataba iyo inahusu maeneo ya Kilimo, Madini, Biashara, Utalii na Uzalishaji wa Viwanda
Hongera sana Mhe. Rais kwa jitihada hizi. Mungu akubariki kwa kweli. Haya ndo maendeleo tunayotaka Watanzania
Kutoka Nyasa, ziwani
Lord denning
Wewe nae si usome hapo juu? Sekta zimeainishwa ila maeneo sijui.Uwekezaji kwenye sekta zipi, na mikoa gani?
Source pls
Wivu huu sasaKwaheri ngorongoro
Asante sana kutujulisha sisi wananchi.Tunazidi kuwa na uhakika wa ajira.Wananchi wanafuraha.Jamani amkeni amkeni
Huko dubai mambo ni moto balaa! Leo hii Rais wa JMT Mhe Samia Suluhu Hassan ameshuhudia utiaji saini wa mikataba zaidi ya 30 ya uwekezaji Tanzania yenye thamani ya fedha za Tanzania zaidi ya Trilioni 14 na itakayotoa ajira kwa Watanzania za moja kwa moja zaidi ya laki 2.
Mikataba iyo inahusu maeneo ya Kilimo, Madini, Biashara, Utalii na Uzalishaji wa Viwanda
Hongera sana Mhe. Rais kwa jitihada hizi. Mungu akubariki kwa kweli. Haya ndo maendeleo tunayotaka Watanzania
Kutoka Nyasa, ziwani
Lord denning
Achana nao hao,wako wanawake ukiwaoa,hata uwafanyie mema gani,hawaishi kulalamika,na wako wanaume,hata wafanyiwe mema gani na wake zao hawaishi kulalamika.Muhimu,ukisikia kelele ,huyoo huyoo huyoo,wewe endelea na safari yako(Mwalimu Nyerere).Ameuza Ngorongoro wa nani? Shilingi ngapi? Tupe huo ushahidi wako
Wataumia sana.Waswahili wanasema,usiyemuweza ungana naye.Hawa wasivyompenda Samia, itakuwa inawaumaaa
Kwa kutumia tu mfano wa Zimbabwe kuhalalisha wawekezaji inaonyesha ulivyo na upeo mdogo kuhusu maendeleo ya nchi. BTW unaona unavyokinganya mwenyewe kuwa waliondoka na Zimbambwe ikafa? Huoni hii ni sababu ya msingi kabisa ya kuona kuwa nchi inatakiwa ijijenge yenyewe ili isitegemee wageni wanaoweza kuondoka muda wowote?Wawekezaji muhimu tena mno
Zimbabwe uchumi ulikufa sababu ya kufukuza wawekezaji
Wazungu waliwekeza sana kwenye kilimo na ufugaji Zimbabwe mazao yao na mifugo wakawa wanauza sana Ulaya. Mugabe akawanyanganya mashamba akawapa nduguze na wanasiasa wenzie wakawa wanalima mazao yaleyale waliyokuwa wanalima wazungu kila kitu wakizingatia kuanzia ubora lakini wakashangaa soko Ulaya halipo wazungu hawataki kununua hawaamini mswahili aweza zalisha budhaa ya kiwango cha Ulaya wakakataa kununua
Wawekezaji wakija wanauzia kwao wanakotoka kwa watu wao ,wewe mswahili huwezi penya soko lao kirahisi hata uzingatie vigezo vyote nobody is interested
Mama Samia yuko sahihi sana kwa hili
Foreign Investment zijakataa. Mimi nakataa pale ambapo rais anaabudu na kudhani kuwa kuzunguka huko na huko kuokokoteza ''wawekezaji'' ndiyo njia pekee ya kuendeleza nchi. Uwekezaji ufanyike lakini kwa hatua tena kwa tahadhari.Endelea kujidanganya. Nchi gani duniani imeendelea bila foreign investment?
Yaani anajitahidi,ila asije tapeliwa kama ile mikataba alishuhudia ya meli kule Mwanza.Fungua nchi Mama Samia. Nchi inahitaji mitaji toka nje ili izalishe ajira. Cha msingi ni kukwepa mikataba ya kitapeli na kifisadi.