Mama kasema na itekelezeke, anatambua kusaini haimaanishi kwa wameyafanya. Na waowawekea vikwazo katikati kasema wampe taarifa.
Tuombee mikataba ya leo itimie, Mama anajua mwisho wa siku inaweza kati ya hiyo kama 36 ikatekelezeka hata mitano au chini ya hapo
Tabu Watanzania wanapenda rushwa sana sana na wengine wanataka chao kwa % wanayoitaja. na hii baadae wawekezaji wanakimbia.
Tuombee mikataba ya leo itimie, Mama anajua mwisho wa siku inaweza kati ya hiyo kama 36 ikatekelezeka hata mitano au chini ya hapo
Tabu Watanzania wanapenda rushwa sana sana na wengine wanataka chao kwa % wanayoitaja. na hii baadae wawekezaji wanakimbia.