Dudu baya, Mtoto wako Wile yupo na hali mbaya jaribu kumuokoa anateketea .

Dudu baya, Mtoto wako Wile yupo na hali mbaya jaribu kumuokoa anateketea .

Kwani huyu jamaa diamond alishindwa kumnyanyua awe chawa wake

Alishafanya hivyo mbona, Kuna kipindi dudu alikuwa anawasifia wasafi sana hadi kwenye wasafi festival alichukuliwa nakumbuka. Baadae alivoanza kuwatukana wasanii na mapresenter Diamond akaamua atemane nae ili asichafue brands zake.
 
Familia ya dudu baya (msanii) mtoto wenu anaitwa Wille Yupo analala nje coco beach amedata

Kwa kulinda privacy sitoweka Picha yake .

Huyu Kijana anatumia Bangi, Pombe , na uchafu mwingine

Amedata kiakili analala Nje , mchafu hana nguo , akili haifanyi kazi .

Unfortunately Baba yake anapitia kipindi kigumu cha kiuchumi .

Nadhani something is wrong.

dudu baya alimsomesha Huyo mtoto st marys za mama lwakatare. Enzi hizo st marys ndio shule ya kishua


Namuelewa sana LIKUD anavyosemaga kwamba kusomesha watoto shule za gharama sio sahihi kama mzazi hujawekeza miradi na rasilimali za kuwapa uhakika wa maisha ukubwani
 
Huyo dogo babake alimshindwa muda sana, nakumbuka kama miaka 2 au 3 kuna namna mzee wake aliongea akasema amemuacha afanye maisha yake, maana hakutaka shule wala kuwa chini ya usimamizi wa mtu.
Mwanangu hauna nidhamu


Imekuwaje tena nyimbo aliyoiimba imekuja kugusa maisha yake yeye mwenyewe na Mtoto wake
 
Familia ya dudu baya (msanii) mtoto wenu anaitwa Wille Yupo analala nje coco beach amedata

Kwa kulinda privacy sitoweka Picha yake .

Huyu Kijana anatumia Bangi, Pombe , na uchafu mwingine

Amedata kiakili analala Nje , mchafu hana nguo , akili haifanyi kazi .

Unfortunately Baba yake anapitia kipindi kigumu cha kiuchumi .

Nadhani something is wrong.
Huyu ndiye yule aliyekuwa akimtukana Godfrey Tumaini?( Dudu baya alidai ni shinikizo kutoka kwa mzazi mwenzie) .
 
Ila Dudu Baya alimpenda sana huyo mwanae Wille, katika ngoma zake nyingi kabla hajachuja lazima katika verse amtaje huyo dogo.

Naskia baada ya kuzinguana na mzazi mwenzake, dogo akawa analishwa sumu za kutosha na maza ake ndipo Dudu akaamua na yeye amkache tu. Ni story ndefu kiaina.
Aliwahi kulizungumzia hili kuwa huyo mzazi mwenzie anamtuma huyo dogo akamtukane ili jamaa achafuke kweli.
 
Kweli kabisa. Na bangi huwa wanaanzia shule ya msingi au akichelewa anaanzia O - level. Mdogo wangu akiwa darasa la 3 kuna mtu alinitonya kuwa dogo wako anakula ganja nikamwona kama snitch kwa sababu dogo mtulivu na ana adabu mno nyumbani. Tumekuja kujua kuwa ni kweli dogo yuko form 3. Ilikuwa too late.
Ni akili tu ya mtu,nina jamaa yangu anavuta bangi,akili yake iko vizuri tu na ni mtu na ofisi yake inayoendeshwa vizuri tu.
 
Ni akili tu ya mtu,nina jamaa yangu anavuta bangi,akili yake iko vizuri tu na ni mtu na ofisi yake inayoendeshwa vizuri tu.
Mkuu kamwe sitakubaliana nawe katika hili. Bangi ni mbaya na hakuna justification yoyote ya kufanya iwe nzuri.
 
Ukiachana na tamaa za kijinga za mwanamke aliyemzaa huyo dogo na Dudu baya kumuharibia huyo dogo mwelekeo hasa kumgombanisha na Dudu baya (baba yake) kulipelekea wafikie hapo licha ya madudu ya Dudu baya, tusiwabeze WALIMU HASA WA HIZI SHULE ZA WAZALENDO.

Kuwa karibu na Walimu wa mtoto wako (wana mapungufu yao pia) kwani hawa kwa kiasi kikubwa wana taarifa nyingi mno za mwanao na kuna wakati wanakosa namna ya kukufikia kwani Mtoto muda mwingi ndiye hutumika kukuletea taarifa wewe Mzazi hivyo kama ni taarifa za kumtuhumu huyo Mtoto wako sidhani kama atakufikishia wito.
 
Na mtu akiwa stage hiyo hata umnunulie simu atauza nguo atauza ukijikoroga umpe pesa ndio umemuua kabisa atalewa huyo. Kwahiyo inafika mahali inabidi muangalie tu. Kwahiyo tusione kama hawasaidiwi bali wengi wao hawasaidiki.
Sio kweli wengine basi tu maisha ndio vile ila kuna mtoto namfahamu alipitia changamoto km unazosema Baba yake kabla hajafariki maana alikua na Pesa angalau maana alikua na kampuni ya malori ya kusomba mchanga kwa hio alihakikisha kabla hajafa mwanae anapata muendelezo wakamuozesha akajengewa nyumba ina kila kitu ndani akapewa na usafiri wake na mashamba baada ya mwaka mzee wake akafa, sasa hivi dogo kabadirika hatumii tena mihadarati anaendesha maisha yake vizuri tu na ana mtoto mmoja wa kiume
 
Sio kweli wengine basi tu maisha ndio vile ila kuna mtoto namfahamu alipitia changamoto km unazosema Baba yake kabla hajafariki maana alikua na Pesa angalau maana alikua na kampuni ya malori ya kusomba mchanga kwa hio alihakikisha kabla hajafa mwanae anapata muendelezo wakamuozesha akajengewa nyumba ina kila kitu ndani akapewa na usafiri wake na mashamba baada ya mwaka mzee wake akafa, sasa hivi dogo kabadirika hatumii tena mihadarati anaendesha maisha yake vizuri tu na ana mtoto mmoja wa kiume
Una uhakika hatumii kabisa?
Kama amebadilika ni vizuri ni taarifa njema mkuu
 
dudu baya alimsomesha Huyo mtoto st marys za mama lwakatare. Enzi hizo st marys ndio shule ya kishua


Namuelewa sana LIKUD anavyosemaga kwamba kusomesha watoto shule za gharama sio sahihi kama mzazi hujawekeza miradi na rasilimali za kuwapa uhakika wa maisha ukubwani
Wataelewa waache waendelee kujitoa ufahamu hivyo hivyo
 
Back
Top Bottom