Duka la "Plea Bargain" lafungwa, Waliochukuliwa fedha zao waitwa kuhojiwa, uchunguzi waanza

Duka la "Plea Bargain" lafungwa, Waliochukuliwa fedha zao waitwa kuhojiwa, uchunguzi waanza

Hivi magufuli kama asingekufa na akaendelea na madudu yake haya,halafu akaja kustaafu kama marais wengine,hizi tuhuma zingekuja ibuliwa?na kama zingeibuliwa muhusika angejisikiaje?
Jela ingemuhusu
 
Yaani mimi sioni excuse yoyote ya kumtetea mwizi au muovu.

Ilitakiwa wanyang'anywe kila kitu. Wewe kama una mali nyingi kwa nini uibe. Tunakukomoa ili na wengine waogope kuiba.
Sasa mtu akiiba laki moja anaambiwa alipe hio hio unadhani siku ingine ataogopa kuiba. Maana kupatikana umeiba ni kubet.
Atarudia tena na tena. Na kuna wakati hamtambua kama aliiba. So bora hao watumishi wajengewe nidhamu ya woga kwa Sheria kali.

Serikali ya Samia imejaa wapumbavu na wapiga dili. Hawaoni uchungu na ubadhirifu unafaonyika.
Wanapelekea mpaka watu wanakumbwa na magonjwa ya akili sababu ya upumbavu wao wa kushindwa kuweka sera bora za kwa maisha ya watu.

Shaiwn serikali ya hovyo
We ni tahila dada,
 
Eric Kabendera ni investigative Journalist mwenye kiwango cha juu katika kufuatilia na kuchambua.

Kama angekuwa na kosa la kuchafua nchi, basi tungeona Serikali ikimfungulia mashtaka yanayoendana na Sheria ya Huduma ya Habari au Sheria Cyber crime ya Mwaka 2015.

Kitendo cha kumfungulia mashtaka kwa Sheria ya Kuhujumu Uchumi na kutakatisha fedha ni dhahiri kuwa Eric Kabendera alikuwa ameandika habari za ukweli ambazo Serikali haina majibu. Eric Kabendera ambaye Dikteta alimuweka rumande kwa sababu alikuwa anamkosoa.

Mama wa Eric alikuwa anaishi kwa madawa ya Bei ghali. Yule Bibi alimuomba DIKTETA amuachie mwanaye kwa vile hawezi kuishi bila dawa.

Magufuli hakusikia, na hakumruhusu Eric hata kwenda chini ya ulinzi kumuaga mama yake ambaye alifariki kwa kukosa dawa. Ni nani kwa Watanzania tuliobaki anaweza kutenda kama alivyotenda Magufuli kwa Eric Kabendera na Mama yake? Hakuna, ni hilo dubwasha tu SHETANI la Chato
Halafu Kuna mijitu humu eti inakuambia alikuwa kiongozi mzuri!
 
Kwani zile barabara na madaraja ulizani wanajengea matko!?
Dar slum tulikua tunakaa kwenye foleni masaa,
Ile jam ilikua inakula mda wetu wote,
Sasa hivi hatuoni na tumesahau kabisa...

Mwendazake alikua shujaa wa Africa.
Natamani angeendelea kuwepo akwapue zaidi afanye maendeleo.

Haya yaliyopo saiz ni vituko.
Tuendelee kutoa tozo kwa moyo mmoja.
 
Magufuri alikuwa ni mpiga dili na aliwachukia matajiri pamoja na wasomi.....mali alizodhurumu magufuri sijui alizificha wapi!....kwa sababu hata ukifika chato bado kunanuka umasikini any way chato huwezi hata kuilinganisha hata na babati...
 
Miaka ya 80's kuna watu walifungwa na mali zao kuchukuliwa kwa kisingizio cha uhujumu uchumi....baadae miaka ya 90's wakati wa Mzee Mwinyi hii kitu ili backfire na serikali ikalazimia kuwalipa wahanga wa hili saga....huenda historia ikajirudia kwa hili..japo sina imani sana nikikumbuka hadi leo sijui nini kiliendelea kutokana na ripoti ya pesa zilizotumika kwa mazishi....
 
Kwa vile hayupo kujitetea? Walipomtaja Yusuph Manji na Kabendera nkajua walewale!!! Kikulacho?
Tufanye wewe unajuwa makosa ya Eric Kabendera, naomba uyaweke hapa tuyadadavue. Kinyume na hapo funga Domo lako kubwa kama bakuli.
 
Ni CCM tu ndiyo kizuizi cha kushitakiwa watu kama Magufuli (posthumously), Makonda, Biswalo Mganga na akina Bashiru Ally, Dotto James nk. Huko mbelekwenye katiba Mpya na CCM ikiwa nje ya madaraka, sioni namna hao niliowataja na wengine watakavyokwepa mkono wa Pilato
Hivi hakuna namna yoyote ya kumfungulia kesi huyu jamaa hata kama kafa ?
 
Kwa ninavyomjua Rais SAMIA,fedha zao hao watarudishiwa ,japo sio zote
Huyu huyu Makamu wa Magufuli aliyemteua ruga ruga wa Magufuli, Biswelu Mganga, kuwa Jaji wa Mahakama Kuu! Kwa kweli akili zetu Watanzania ziko likizo.

Kwa mbali nakumbuka Chadema walivyopinga kuapishwa kwa huyo Biswelo Mganga kuwa Jaji, je nani aliwasikiliza? Kwa kweli ndege wafananao huruka pamoja!

Halafu wale wanafiki waliopinga msimamo wa Chadema eti hao hao leo wanathubutu kutenganisha matendo ya Magufuli na mrithi wake, kwa kweli nachokaa!

Hebu pitieni hapa...

Tamko la CHADEMA kuhusu uteuzi wa Biswalo Mganga kuwa Jaji …

 
Back
Top Bottom