Dunia hii vilaza ndo wanafanikiwa, wenye akili wanaishia kufa kwa stress

Sahihi.
Kama huna nidhamu hakuna atakayekuamini.
 
Ni magu peke ndio rais alisoma sayansi na kuwa rais wengine walikuwa Hadi waandishi wa hbr na kuwa rais Ni magu pekee na pcb yake ndio alipenya
 
Kuna jamaa tulisoma naye olevel alikua na akili sana ,tulipofika form three akachagua kusoma biashara asee tulimshangaa sana jamaa advance alichaguliwa nadhani kibaha ECA chuo kapiga mzumbe BaF navyokwambia sasa ni one of BOT officers sisi tuliokomaa na sayansi ya kumeza wengi wanauza madawa kwenye famasi za wahindi
 
Kama wee Ni Dr utakuja kuishia pabaya sna yaani uwalipize wake zetu kisa wee huna hela hauop ktk siasa
 
Bora rfk ako kapata four Nzuri jmaa angu yey alipata hyo ya four ya 33 kbsa d Moja tu Sasa Yuko jeshi mtwara Huko Ana kula maisha na Kuna wakt kaenda sudan
 
Wataje na kumbuka hapa tunazungumzia Tanzania,Ma Rais wako wote 6 wamesoma Sanaa.
 
Sasa tofauti ya ulikosema marekani na hapa ni kuwa wa kule hao waliosoma sayansi wanagundua na wanauza hizo gunduzi zao ila sasa nyie wanasayansi wabongo hamtaki kugundua na kuuza mnataka huruma ya kupewa mihela tu hicho hakuna tengenezeni kagundueni shirikianeni na hao maprof wenu huko shuleni au sijui wapi mavyuoni muwe mnatengeneza platform za kuuza gunduzi zenu muwe rich muinvent rich na sio mnataka mpate V8 la kuteuliwa na wanasiasa mtasubiri sana wananchi wanashida kibao gundueni suluhisho la matatizo yao halafu yauzeeni kama iwe teknolojia au chochote mtakuwa rich.
 
Kuna wapumbavu hapa wanasema usidharau mtu kwa kusoma sijui nini ila wao wanaonesha dharau zao dhahiri hapa kisa wametusua.

Mimi nawaambia maisha hayana fomula ila ni bahati tu na kucheza na fursa.
Kuna wakati tukubaliane na hali zetu huku tukiweka ujanja wetu pembeni tukiwa tumejiandaa kwa lolote.... Kuna wakati nilikunywa hadi sumu ili nife lakini sikufa kitu ambacho leo hii nayacheka yale maamuzi yangu πŸ˜‚πŸ˜Ž

Maisha ni kukubaliana na hali yako alafu kujipanga kwaajili ya kesho iliyo bora. Hakuna cha msomi wala mjinga ila tu uwe na za kwako kichwani
 
Kitila alisoma nini?Haahhahah.Acha uongo .Kitila na Ngwini na Chuo alisoma sosholoji.
 
Hii ni kwa afrika tu
 
Number Moja mwenyewee kasoma record management astashahada kapata vyeo Kama vyote Hadi kuwa makamu rais wa bunge la Katiba na Kisha baada makamu wa rais na. SAS Ni raisi wa JM T na pia amiri jeshi mkuu command in chief
Number moja ni secretary wa office.wale wachapa Barua na wapiga mkwara ukiwa ukataka kwenda kumuona boss.
 
Aisee kama kweli wewe mi ni daktari, Basi utakuwa ndio Daktari mpumbavu tena lofa kuwahi kutokea. Shame upon you.
 
Poor and nonsense. Dam you
 
Mwenye akili hajui kuitumia so anahitaji kilaza amwongoze maana kilaza anajua mji so kilaza anamtumia mwenye akili na mwenye akili anabaki maskini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…