Tangantika
JF-Expert Member
- Aug 12, 2018
- 5,586
- 7,087
Leta data acha kuwa mjinga. Nimekwambia uka google most high IQ graduate, kama utakuta kiswagili mi najiondoa JF. Una IQ ya 90 wewe tena nimekupendelea huenda ukawa 80 kabisa. Unasoma kiswahili bila aibu, kama sio ukilaza ni nini?Poor and nonsense. Dam you
Haya matusi haya, haya wewe kua donor/angel investor tandaza vibunda waambie wakuletee project zao uwekeze ukiambiwa ufanye hivyo utaweza au umekosa cha kuongea?Asilimia kubwa ya WASOMI wetu hapa Tanzania hasa hao wa michepuo ya SAYANSI wengi akili zao ni kisoda.
Hasa ktk nyanja ya IT ni visoda haswa.
Nashangaa MSOMI wa IT anaenda front kuomba kazi? Serious? Mtu ana DEGREE kabisa ya Telecommunications Engineering ila anaomba kazi.
Ukishakuwa na watu wa aina hii ujue kabisa unakundi la watu VISODA.
Mkuu ndio uwezo wako wa kufikilia umeishia hapo, yaani unapima uwezo wa akili kwa kiwango cha pesa
Nani alikutuma usisome PCB πππKama wee Ni Dr utakuja kuishia pabaya sna yaani uwalipize wake zetu kisa wee huna hela hauop ktk siasa
Kama vile ww ulivyolofa kuona pesa ndio kila kitu kushinda utu tulia dozi uwaingie πππAisee kama kweli wewe mi ni daktari, Basi utakuwa ndio Daktari mpumbavu tena lofa kuwahi kutokea. Shame upon you.
Na aliyesoma SAYANSI ni Magufuli na alikuwa ndiyo Rais wa hovyo kabisa. Hakutaka reasoning wala criticism. Sasa ndiyo IQ gani inaogopa mikutano ya CDM? Rais ananyang'anya fedha za watu benki na bureau de change? Eti IQ ya kumpiga Lissu risasi badala ya kujibu hoja ndiyo akili kweli hiyo?Wataje na kumbuka hapa tunazungumzia Tanzania,Ma Rais wako wote 6 wamesoma Sanaa.
Wanaburuxwa na kundi la machawa walio wengi. Hoja za wengi ndio zenye nguvu.Waliosoma sayansi wapo wa kutosha kwenye uongozi, ni maamuzi binafsi.
Festo pale TAMISEMI ni MD, Gwaji (KE) MD, Hussein Mwinyi MD, JK, JPM, Dr. Gharib Bilali, Dr. Sheni...
Kwanza hiyo akili ya kuwaza PROJECT wanayo?Haya matusi haya, haya wewe kua donor/angel investor tandaza vibunda waambie wakuletee project zao uwekeze ukiambiwa ufanye hivyo utaweza au umekosa cha kuongea?
Hicho kitu alikua anafanya Marehemu R Mengi fanya na wewe waambie wakuletee project zao uziendeleze au unafikiri ni rahisi?
Nipo vacation ππNational Anthem umekufa upo wapi babe wa mtu
Hata siku mojaNipo vacation ππ
Umenichinjia baharini
Na wanawatukana wananchi kama malofa wanawaambia muhamie BurundiNa hao zero ndio viongozi wetu sasa, tena tunawaita waheshimiwa!.
mbuzi yangu vipi kwanza πHata siku moja
Ipo nikiwa sawa nakutext ujembuzi yangu vipi kwanza π
Fala Sana huyo .Haya matusi haya, haya wewe kua donor/angel investor tandaza vibunda waambie wakuletee project zao uwekeze ukiambiwa ufanye hivyo utaweza au umekosa cha kuongea?
Hicho kitu alikua anafanya Marehemu R Mengi fanya na wewe waambie wakuletee project zao uziendeleze au unafikiri ni rahisi?
haya ndio maneno sasa π₯π₯π₯ nitakuletea na maua yakosawa