Dunia ijiandae kushuhudia kile kitakachompata Israel -Tehran

Mnasimulia vita kama mpira wa Simba vs Yanga wa tarehe 8...
 
Israel kinachompa jeuri ni USA na ulaya. Otherwise wangetoshana nguvu.
Si mnasemaga iran anamuweza USA 🇺🇸 sa tatzo nn si ndo watandikwe wote sasa au vp....
Vp kuhusu iran kupewa support na Russia 🇷🇺 ww hilo hulioni ila unaliona la 🇮🇱 kupewa support na 🇺🇸 tu.
Iran awapige wote kama ambavyo huwa mnasema humu kwani pia wale houth wa 🇾🇪 wako wapi nao si mlisema wanawamudu USA 🇺🇸 na nato si ndo nafasi sasa waitumie vzr kuwamaliza hao mnaosemaga ni mashoga au vp wale taliban wako wp pia si mlisema wanammudu USA 🇺🇸 fursa yao sasa au siyo.
 
Myahudi akipiga huwa hata hakohoi, tunashtukia habari tu tayari, ila hao wafunga vilemba sasa....

Mnafadhili magaidi bila aibu halafu ulimwengu uwatazame tu, wajinga sana hao.
Gaidi ni huyo Israel wako na USA.
Mshavamia nchi za Watu MBWA nyie mkaharibu amani za Watu.
Tulieni mpate stahiki yenu.
Iraq imeharibiwa na USA.
Afghanistan imeharibiwa na USA.
Syria imeharibiwa na USA.
Yemeni imeharibiwa na USA.
Unadhani sisi hatujui!?
Hata LIBYA IMEHARIBIWA NA USA.
Ni fala tu na punguani atakayebisha kubwa USA ndio muharibifu wa amani.

Hajatosheka kaenda kumponza na UKRAINE huko Eastern Europe.
 
Usifananishe situation ya Iran na mwanamke.
Huwenda huijui Iran vizuri,Iran kutangaza ni kawaida yake.
-2018 kisasi cha Qassem Soleiman Iran ALITANGAZA kuwa atapiga kambi ya USA Iraq na AKAIPIGA.
-Kisasi cha kulipua maficho ya Mossad Kurdistan IRAN ALITANGAZA na akalipua eneo.
-Kisasi cha kulipuliwa balozi yake Syria Iran ALITANGAZA atapiga Israel mwezi May na alipiga.

Sasa jidanganye kuwa eti Iran kama demu maneno mengi.
 
Iranian retaliation to be from the same playbook as their Apr. 13 attack on Israel — but potentially larger in scope — and it could also involve the Lebanese Hezbollah.

Iranian Supreme Leader Ayatollah Ali Khamenei and other senior Iranian political and military officials said Iran is going to retaliate for Haniyeh's assassination.
Hezbollah leader Hassan Nasrallah has also vowed to respond to the Israeli airstrike in Beirut on Tuesday that killed his top military adviser.
 
Hali ya hatari iliyotangazwa na Israel ni ya HOFU ILIYOPITILIZA.
Jana nimetizama BBC news kuna raia wa Israel wengi wamekata tiketi kuhama Israel kwa muda.
Si hivyo tu ndege nyingi za kimataifa zimekuwa suspended.
Na viongozi wengi wamekimbizwa kwenye BUNKER.

-Israel ili atumie airforce anatakiwa asogee ghuba ya karibu na uajemi,laa sivyo hana ndege za kutoka Israel zifike Iran zishambulie halafu zirudi bila kuwa refueled njiani.
Na usisahau Iran ana BAVAAR-373 Air defense system ambayo ufanisi wake ni sawa na wa s-300.
Maana huo mfumo Iran aliu develop kwa ku copy S-300 ya Russia.

Kwahiyo sahau ndege za Israel kupita kirahisi pale Tehran.
 
Iran imetangaza kupitia stesheni ya chaneli 3 iliyopo mjini Tehran ya kuwa masaa machache yajayo ulimwengu ujiandae kushuhudia jambo kubwa la kihistoria.
Watu wanaona akinya kuku tu (Israel) ila akinya bata (Iran) basi kaharisha.

-Kelele anazopiga Iran ni zile zile alizopiga Netanyahu mpaka kwenda UN security council alipovamiwa na vikundi vya axis of resistance.

Kila kukicha si tulikua tunaona Netanyahu akifanya show off ya jeshi lake na kutishia kuwa kila aliyehusika kuigusa Israel ataadhibiwa!?Au hilo mmelisahau?

-Iran alichofanya ni kutangaza kuwa Israel amefanya ukiukaji wa usalama wa taifa lake,na alituma salamu hadi UN ili wasije wakamuita mvunja amani na kumuongezea vikwazo.Maana shambulio la May bado kidogo wamuongezee vikwazo na kumuwekea vikwazo upya kuhusu nuclear na uundaji silaha.

Hivyo tulieni dawa iwapenye Israel.
 
Iran imetangaza kupitia stesheni ya chaneli 3 iliyopo mjini Tehran ya kuwa masaa machache yajayo ulimwengu ujiandae kushuhudia jambo kubwa la kihistoria.
maneno meengi, myahudi amekaa standby kujibu mashambulizi, waache maneno, tunataka vitendo.
 
Iran imetangaza kupitia stesheni ya chaneli 3 iliyopo mjini Tehran ya kuwa masaa machache yajayo ulimwengu ujiandae kushuhudia jambo kubwa la kihistoria.
Israel inaingia mpaka Sebuleni hapo Iran na amna kitu🤣🤣 Iran kama kidume alianzishe tu hii Mikwara aisaidii kitu! Israel anamlia timing ajaribu tena kutuma makombola amalizane na vinu vyote vya nyuklia hapo Iran!! Yemen Mida hii anatafuta Mwekezaji kwa Utaratibu wa EPC+F kujenga Kiwanda cha kusafisha mafuta na Matangi ya kuhifadhi Mafuta🤣🤣🤣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…