Dunia ijiandae kushuhudia kile kitakachompata Israel -Tehran

Dunia ijiandae kushuhudia kile kitakachompata Israel -Tehran

Mimi naona ni kinyume chake! Dunia itashangazwa na kile ambacho Israel itaifanya Iran.
Nadhani Ile plan ya Israel kuharibu vinu vya nuclear vya Iran itakuwa imekamilika.
Lazima ujue hiyo ndiyo plan ya muda mrefu ya Israel,na hapo Iran ilikuwa inatafutwa iingizwe kwenye 18 za Israel.
Mnasimulia vita kama mpira wa Simba vs Yanga wa tarehe 8...
 
Israel kinachompa jeuri ni USA na ulaya. Otherwise wangetoshana nguvu.
Si mnasemaga iran anamuweza USA 🇺🇸 sa tatzo nn si ndo watandikwe wote sasa au vp....
Vp kuhusu iran kupewa support na Russia 🇷🇺 ww hilo hulioni ila unaliona la 🇮🇱 kupewa support na 🇺🇸 tu.
Iran awapige wote kama ambavyo huwa mnasema humu kwani pia wale houth wa 🇾🇪 wako wapi nao si mlisema wanawamudu USA 🇺🇸 na nato si ndo nafasi sasa waitumie vzr kuwamaliza hao mnaosemaga ni mashoga au vp wale taliban wako wp pia si mlisema wanammudu USA 🇺🇸 fursa yao sasa au siyo.
 
Myahudi akipiga huwa hata hakohoi, tunashtukia habari tu tayari, ila hao wafunga vilemba sasa....

Mnafadhili magaidi bila aibu halafu ulimwengu uwatazame tu, wajinga sana hao.
Gaidi ni huyo Israel wako na USA.
Mshavamia nchi za Watu MBWA nyie mkaharibu amani za Watu.
Tulieni mpate stahiki yenu.
Iraq imeharibiwa na USA.
Afghanistan imeharibiwa na USA.
Syria imeharibiwa na USA.
Yemeni imeharibiwa na USA.
Unadhani sisi hatujui!?
Hata LIBYA IMEHARIBIWA NA USA.
Ni fala tu na punguani atakayebisha kubwa USA ndio muharibifu wa amani.

Hajatosheka kaenda kumponza na UKRAINE huko Eastern Europe.
 
Angekua na mpango wa kufanya kweli asingetangaza. Ulisikia mtu akitangaza kwamba Haniyeh atatolewa kafara au rais wa Iran atauawa? Ogopa MTU mkimya. Mpuuze mtu anayeongea maneno mengi Kama mwanamke.
Hata nyumbani, ukiwa na mwanamke anayeongea ongea Sana, jipongeze. Ukiwa na mke mkimya, my friend be very careful, very very careful. Mwanamke unarudi saa nane za usiku hakuulizi, be very careful.
Usifananishe situation ya Iran na mwanamke.
Huwenda huijui Iran vizuri,Iran kutangaza ni kawaida yake.
-2018 kisasi cha Qassem Soleiman Iran ALITANGAZA kuwa atapiga kambi ya USA Iraq na AKAIPIGA.
-Kisasi cha kulipua maficho ya Mossad Kurdistan IRAN ALITANGAZA na akalipua eneo.
-Kisasi cha kulipuliwa balozi yake Syria Iran ALITANGAZA atapiga Israel mwezi May na alipiga.

Sasa jidanganye kuwa eti Iran kama demu maneno mengi.
 
inaelezwa kuwa iran IMESEMA Itatoa kipigo kizito Kwa Israel na safari hii huenda ikatimia siraha zake za maangamizi za NYUKLIA KUISHAMBULIA ISRAEL,
Hali ya hatari imetanda Huko Israel huku wananchi wakikimbizana na kujificha kwenye maandaki,
Waziri mkuu wa Israel benjamin netanyahu ametangaza Hali ya hatari,
Tayari hofu imetanda Huko Israel
Iran wamepanga kutumia mabomu ya NYUKLIA KUISHAMBULIA ISRAEL .
Marekani wanasema kama iranw itapiga NYUKLIA basi huenda vita vya tatu vitatokea.
Iran imetangaza kuanza kufanya mashambulizi ndani ya masaa YAJAYO.
Iranian retaliation to be from the same playbook as their Apr. 13 attack on Israel — but potentially larger in scope — and it could also involve the Lebanese Hezbollah.

Iranian Supreme Leader Ayatollah Ali Khamenei and other senior Iranian political and military officials said Iran is going to retaliate for Haniyeh's assassination.
Hezbollah leader Hassan Nasrallah has also vowed to respond to the Israeli airstrike in Beirut on Tuesday that killed his top military adviser.
 
Mnadanganyana huyo Iran ana silaha zipi za maangamizi ambazo Israel hana? Iran akiingia kichwa kichwa anakuwa kichwa, hana uwezo wa kuzuia air force ya Israel atatandikwa hadi achoke, na utawala wake utaanguka. Sikio la kufa halisikii dawa, mark my word. Wasifikiri Israel amekaa kihasara eti anasubiri apigwe na makombora ya Iran, kutangaza hali ya hatari ni kawaida, nchi ikishakutishia lazima uchukue tahadhari kali, hapo mossadi watakuwa kazini kitambo.
Hali ya hatari iliyotangazwa na Israel ni ya HOFU ILIYOPITILIZA.
Jana nimetizama BBC news kuna raia wa Israel wengi wamekata tiketi kuhama Israel kwa muda.
Si hivyo tu ndege nyingi za kimataifa zimekuwa suspended.
Na viongozi wengi wamekimbizwa kwenye BUNKER.

-Israel ili atumie airforce anatakiwa asogee ghuba ya karibu na uajemi,laa sivyo hana ndege za kutoka Israel zifike Iran zishambulie halafu zirudi bila kuwa refueled njiani.
Na usisahau Iran ana BAVAAR-373 Air defense system ambayo ufanisi wake ni sawa na wa s-300.
Maana huo mfumo Iran aliu develop kwa ku copy S-300 ya Russia.

Kwahiyo sahau ndege za Israel kupita kirahisi pale Tehran.
 
Iran imetangaza kupitia stesheni ya chaneli 3 iliyopo mjini Tehran ya kuwa masaa machache yajayo ulimwengu ujiandae kushuhudia jambo kubwa la kihistoria.
Watu wanaona akinya kuku tu (Israel) ila akinya bata (Iran) basi kaharisha.

-Kelele anazopiga Iran ni zile zile alizopiga Netanyahu mpaka kwenda UN security council alipovamiwa na vikundi vya axis of resistance.

Kila kukicha si tulikua tunaona Netanyahu akifanya show off ya jeshi lake na kutishia kuwa kila aliyehusika kuigusa Israel ataadhibiwa!?Au hilo mmelisahau?

-Iran alichofanya ni kutangaza kuwa Israel amefanya ukiukaji wa usalama wa taifa lake,na alituma salamu hadi UN ili wasije wakamuita mvunja amani na kumuongezea vikwazo.Maana shambulio la May bado kidogo wamuongezee vikwazo na kumuwekea vikwazo upya kuhusu nuclear na uundaji silaha.

Hivyo tulieni dawa iwapenye Israel.
 
Iran imetangaza kupitia stesheni ya chaneli 3 iliyopo mjini Tehran ya kuwa masaa machache yajayo ulimwengu ujiandae kushuhudia jambo kubwa la kihistoria.
maneno meengi, myahudi amekaa standby kujibu mashambulizi, waache maneno, tunataka vitendo.
 
Iran imetangaza kupitia stesheni ya chaneli 3 iliyopo mjini Tehran ya kuwa masaa machache yajayo ulimwengu ujiandae kushuhudia jambo kubwa la kihistoria.
Israel inaingia mpaka Sebuleni hapo Iran na amna kitu🤣🤣 Iran kama kidume alianzishe tu hii Mikwara aisaidii kitu! Israel anamlia timing ajaribu tena kutuma makombola amalizane na vinu vyote vya nyuklia hapo Iran!! Yemen Mida hii anatafuta Mwekezaji kwa Utaratibu wa EPC+F kujenga Kiwanda cha kusafisha mafuta na Matangi ya kuhifadhi Mafuta🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom