Duru za Uchaguzi Afrika Kusini. Umokhonto We Sizwe

Kabisa mkuu wangewapa nafasi mara moja wajaribu waone kwa sababu hao ANC wameshindwa.
 
ANC kwa mara ya kwanza katika Historia Wananchi wameanza kuitosa bado Mambumbumbu ya CCM nayo yaonyeshwe Mlango.
Kizazi kipya cha vijana wapigakura ndio maana anc wanapoteza ushawishi. Hao vijana ndio wanapitia magumu na ukosefu wa ajira. Lazima kizazi kipya kichague chama kingine.

Hata uchaguzi wa 2025 utakuwa na kizazi kipya cha vijana wapigakura waliozaliwa mwaka 2007-2002 ambao hawakupiga kura mwaka 2020.
Hichi kizazi kipya kikipigia kura upinzani, na kura zikihesabiwa kwa haki bila wizi, CCM watashindwa.
CCM wanashinda kwa wizi wa kura.
 
Kwanini ANC wanaogopa kuiba na CCM inaiba au kwasababu sisi Watanzania ni Mambumbumbu?!
CCM wanaiba kura kwa urahisi kutokana na vyombo vya ulinzi na usalama kuwa tawi la ccm pia tume ya uchaguzi ni tawi la ccm na mahakama ni tawi la ccm. Hao wanageuza kura kiulaini mno kwa kuwa ccm mikono yao inageuzageuza kura kiulaini.


Anc walivyopewa nchi na makaburu kuna maeneo na vitengo kadhaa hawakufanikiwa (hawakuruhusiwa) kutia mikono yao. Kama masuala ya ardhi(mpaka leo makaburu wanamiliki ardhi), mfumo wa mahakama(ndio maana marais wanapelekwa mahakamani),ishu za uchaguzi (ndio maana anc wanapoteza uchaguzi)
 
Kabisa suala la ukosefu wa ajira kwa vijana ni jambo kubwa sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…