The unpaid Seller
JF-Expert Member
- Oct 27, 2019
- 2,113
- 6,251
- Thread starter
-
- #81
Pole kaka, ila tumaini lipo ukijikita kwa Mungu atakufanyia wepesiWe jamaa you made my day!, Yaani umeongea ukweli mtupu aise yaaani Kama umeona ndoa yangu ndio ukaandika mulemule najuta kuoa msomi aise najuta mimiiiii
Haa ha mimi Mkurya nadhani tumekaribiana na maTaleban kiitikadiMtoa Uzi atakuwa Ni mtaleban kabisa
Na wanawake kamili wanakubali jinsia na nafasi zao za kulea familia manungaiyembe ndio mnang'ng'ana na kujilinganisha na wanaume ila nyie bado ni vime.mbe tuWanaume wa kweli hawatumii nguvu ili jambo liende ni akili tu kijana ndomana nakwambia tafuta ela
Roho mbaya ndiyo inawasumbuaπ΅
That would be endusive though I wouldn't support that. Kwani kusoma ndo lazima aajiriwe ?!! Watu wanasoma kupata maarifa au kuajiriwa ?.!Kwa hiyo jamii iache kusomesha watoto wao wakike kabisa au siyo ?
For the matter of emphasis au siyo?!
ROHO MBAYA WANAZO WANAWAKE NDIO MAANA HAMPENDANIRoho mbaya ndiyo inawasumbuaπ΅
That would be endusive though I wouldn't support that. Kwani kusoma ndo lazima aajiriwe ?!! Watu wanasoma kupata maarifa au kuajiriwa ?.!
Akisoma asiajiriwe akawa mama wa nyumbani mwenye elimu SHIDA IKO WAPI ?
Wafikapo umri 45 miaka hutamani elimu na pesa ziwe zinawagonga usiku mzima Sasa hujikuta wanafuga mbwa nakumpa jina zuri
ππππ mawazo yanakua ni hivi....Mwanaume anatafuta sana hela ili akizipata atulie na mwanamke
wakati mwanamke anaamini akipata pesa ndio fursa ya kujiweka mbali na wanaume
Unaowa mwenye ajira msaidiane maisha mwisho anajibebisha kwa mkuu wa kitengo anapigwa mbupu anakatika uno vizuri anakula kitengo mshahara unapanda yeye anapokea 1.7mill mixer posho za safari za mara kwa mara wewe na take home yako 600K unaonekana kenge tu,na hiyo hiyo lak6 itabidi uibane isomeshe watoto,ujengee na umpe hela ya nguo na salon.
Picha linaanza usiku ukipapasa ule mzigo anakupiga vibao ukijidai kumrudishia kesho yake mnaamkia dawati la jinsia una kesi ya unyanyasaji wa kijinsia siku akichelewa kurudi akarudi saa sita usiku ukamuuliza kesho yake ndo harudi kabisa unaanza stress kijana upo 35 bichwa limejaa mvi sura imekunjamana kwa mawazo ukiulizwa vipi ndugu unadai ooh ujenzi unanipasua kichwa kumbe hata kiwanja huna ni ndoa inakupasua akili.
Vijana nendeni kwa akili hakuna kitu kinaitwa kusaidiana maisha na mkeo.
Hapo kwenye akili ndio balaa zaidi heri akuzidi Elimu ila sio akiliJapo tumetukanwa humo....ila ndio hivo, mwanamke akikuzidi akili na kipato umekwisha!!!
Hii pwendi imekaa sawa kabisa.Nafikiria sababu siyo elimu wala fedha ya mwanamke inayoweza kumpa jeuri badala yake huwa ni hulka tu ya mtu binafsi.
Kwani hakuna wanawake maskini jeuri?
Mwanamke msomi iwapo alipata makuzi na malezi Bora ya nidhamu na adabu ya kike, akapata kuwa na misingi ya imani kwa kiasi na hulka hata asome awe mbobezi na mzamivu hawezi mfanyia mumewe ujeuri na kiburi [emoji108]
Ikumbukwe hapo ni pale ambapo mume anajua kuwajibika ipasavyo kama mume na baba wa familia na swala zima la uaminifu na utulivu katika ndoa.
Lakini iwapo itathibitika pasipo shaka kuwa mume anamtenda mambo ya hiyana mkewe hapo mke aki-react zidi ya vitendo viovu vya mumewe basi mke asichukuliwe kuwa ni kiburi na jeuri sababu hapo elimu yake na fedha yake au kutokuwa na elimu au fedha havihusiani kabisa.
Kuna wanawake hawajasoma na hawana fedha lakini hawako tayari kuvumilia kuishi na Mwanaume hajatulia.
Akijiridhisha kuwa mume wako hajatulia yu radhi waachane akaishi maisha yake ya Uhuru akiamini ridhiki mtoaji ni Mungu.
Kwani kabla ya kuwa na huyo Mwanaume alikuwa anaishije kiasi cha kuendelea kuishi maisha ya sononi na Mwanaume ambae haridhiki?!
Ishu siyo kuwa na elimu au kutokuwa nayo.
Ishu siyo kuwa na fedha au kutokuwa nayo bali ni zaidi ya hayo.
Uko sahhi sijaoa ila Nina mto wa kike ingawa siwapendi wanawake wenye elimu kubwa kubwaIli mahusiano yawe imara mwanaume lazima awe juu ya mwanamke katika kila nyanja, kiumri, kiuchumi, kielimu nk. Hawa wanawake walikusudiwa na Mungu wawe chini tena chini kabisa ndio wanakua na heshima kwa mume na atomatic mume atampenda mkewe na wataishi kwa furaha na amani TELE.
Hakuna watu wanafiki kama wanaume waliooa wanawake wenye vijielimu na viajira. Wataigiza igiza watakudanganya kua ndoa ziko imara ila ukweli ndoa za kuoa mwanamke mwenye kiajira na kaelimu HAZINA AMANI HAPA PUNJE. Ni mashindano, kutunishiana misuli, migogoro isiyoisha nk.
Mwanamke hakuumbwa kua mmiliki wa mali akipata kamali kokote lazima ajimwambafy mpaka akhera kumsikie. Hata hawa vifeminist vya humu jf vikina cariha , Miss Natafuta nk hivi vyote utakuta ni vinesi na vimwalimu vya shule ya msingi. Mwanamke hata awe na kamshahara ka laki sita atajimwambafy kejeli na dharau utadhani CEO wa Microsoft haa ha ha
Kijana oa mwanamke mrembo, mwenye elimu ya kawaida na asiye na ajira utakuja kunishukuru hawa wenye masters wacha waolewe na masters zao. Kuna jamaa yetu alikua anajifanya mr. malove love akaoa kamwanamke kamwanasheria kana masters waliachana ndani ya miaka 2 tu.
Usioe mwanamke mwenye ajira eti kusaidiana maisha, kwanza kwa vijihela vyake vya kununulia chupi atakudharau, atakusimanga, na wala hata kusaidia kwa lolote wanamake ni wabinafsi wa kutupwa. Oa mwanamke utakae mhudumia na kumtunza ATAKUHESHIMU na automatically UTAMPENDA na hivyo ndio ilipasa kua.
Wanawake wasomi na wenye hela wasioolewa na umri umekwenda sema kama 38 kuendelea hua wapweke sana, na kwa hasira na uchungu wao huwajaza sumu wasichana wadogo ili nao waharibikiwe kawa wao.
=====
Kupata maoni zaidi soma:Suala la Mwanamke kuwa na Elimu/Pesa/Mafanikio kumzidi mwanaume wake!
ππUnaowa mwenye ajira msaidiane maisha mwisho anajibebisha kwa mkuu wa kitengo anapigwa mbupu anakatika uno vizuri anakula kitengo mshahara unapanda yeye anapokea 1.7mill mixer posho za safari za mara kwa mara wewe na take home yako 600K unaonekana kenge tu,na hiyo hiyo lak6 itabidi uibane isomeshe watoto,ujengee na umpe hela ya nguo na salon.
Picha linaanza usiku ukipapasa ule mzigo anakupiga vibao ukijidai kumrudishia kesho yake mnaamkia dawati la jinsia una kesi ya unyanyasaji wa kijinsia siku akichelewa kurudi akarudi saa sita usiku ukamuuliza kesho yake ndo harudi kabisa unaanza stress kijana upo 35 bichwa limejaa mvi sura imekunjamana kwa mawazo ukiulizwa vipi ndugu unadai ooh ujenzi unanipasua kichwa kumbe hata kiwanja huna ni ndoa inakupasua akili.
Vijana nendeni kwa akili hakuna kitu kinaitwa kusaidiana maisha na mkeo.