Elon Musk atangaza kampuni yake ya Neuralink kuleta kifaa tiba cha kuwawezesha vipofu kuona!

Shida ipo hapa, haiwezekani mpaka leo shule za kata zimetoa graduates lakini sifa za kuwa mbunge ni kusoma na kuandika.
 
Tunaendekeza ujinga na upumbavu .
Nchi ambayo masaa ishirini na nne ni kujadili Simba na Yanga na habari za ngono na uchawa na umbea , hamna nchi hapo bali mkusanyiko zombies
 
Akili yakisabato hii achana namaimani hayo wenzetu walishayaacha
 
Kwanza nipende kumshukuru mama samia suluhu hassan
 
Sasa wewe wizara kubwa kama teknolojia unampa nape aiseee
 
Tech nzuri sana.
Itatusaidia hata sisi tunao tumia vioo kuona mbali na kalibu.
Kwaheri miwani
Karibu Tillionea Musk.
 
Tumalize kwanza kuhakikisha wanafunzi wetu wa shule wana matundu ya kutosha ya vyoo na wanakula chakula bora mashuleni sio makande na ugali maharage tu.
Maharage ni mazuri ni full protein zaidi ya nyama
 
PayPal walishairuhusu Tanzania?
 
Ndizo kazi wanazoziweza.Kuinuka na kwenda kukamata mtu tu kirahisi.Kutumia akili na kufanya uchunguzi kitaalamu ni ziro.
 
Akili yakisabato hii achana namaimani hayo wenzetu walishayaacha
Kisabato kutoka link , hiyo tiba ya macho ndio umepata smartphone mwaka huu nn? Ipo mda sana mshamba mmoja wewe .

Ngoja uwekewe chip uone , hata uende wapi wanakuona ....Huwezi kuwa na akili timamu ukakubali kuwekewa chip labda uwe chizi kama wewe .
 
Kisabato kutoka link , hiyo tiba ya macho ndio umepata smartphone mwaka huu nn? Ipo mda sana mshamba mmoja wewe .

Ngoja uwekewe chip uone , hata uende wapi wanakuona ....Huwezi kuwa na akili timamu ukakubali kuwekewa chip labda uwe chizi kama wewe .
Achana namambo yakusadikika akil yabinadam inazid kukua wew unazan kuna huo mwisho wadunia hio sahau sasa jiulize mwaka elfu 3 wanadam watakua wamefikia wap kwenye teknolojia yan itakua nibalaa nahakuna maandiko wala nin yatazuia technology
 
Huyu msouthafrica hatari sana
 
Wenzetu wanapiga hatua huku Afrika tukijikita kwenye wizi na ufisadi na ukatili!
Na raia nao wengi walivyokosa akili jitu lenye roho mbaya zaidi ndilo wanalisifia na kuliona ndiyo kiongozi bora!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…