Elon Musk azikosoa vikali ndege vita za F-35 na mradi mzima wa utengenezaji wa ndege hizo

Tangu lini Elon Musk amekuwa authority kwenye fighter planes? Kutengeneza rocket na kuwa tajiri No 1 duniani hakukufanyi wewe ujue kila kitu.
Vipi na Pentagon nao hawana authority walipoitaka Lockheed na BAE wafanyie maboresho ya engine? Elon kazungumza ukweli ambao idara ya ulinzi ya Marekani inafahamu
 
Musk akisema uolewe utaolewa kisa ni public figure na ana ushawishi?

Aliyekuambia duniani majeshi yanaongozwa na public figures na wenye ushawishi nani?
 
F-22 Lightning imetengenezwa na Lockheed Martin ikaruka 1997, F-35 Lightning II imetengenezwa na Lockheed Martin pia ikaruka 2006.

Kwa akili yako unaona kampuni ileile, inatoa mwendelezo wa bidhaa kwa kurudi nyuma kiteknolojia? Yani ndege bora zaidi iwe imetoka LM alafu ndege mbovu sana iwe imetoka LM tena, na iliifuatia ile bora?
 
Quote comment nzima usitafute kipande chako tu, ulipoquote kuna hizi hoja.

Na kwa upande wa software hakuna ndege ina software bora kuzidi F-35. KAMA IPO ITAJE NA UWEZO WAKE

Ndugu Mchina, kopo la Kichina halina hata injini. Hustahili kuwa kwenye mjadala huu.
 
kwamba wewe unajua ubora wa f-15 kumzidi Elon, a US defence contractor ?
utakua na matatizo makubwa sana kichwani kama unadhani unauelewa wa masuala ya defence ya US kumzidi Elon......

endelea ku-google mkuu
 
Hata Samsung kama sijakosea kwenye s4 walilalamikiwa sana masimu yana hit kama majiko watu wakawa wana prefer s2 ilotoka miaka miwili ama mitatu nyuma kuliko s4 ambazo kwa wakati ule zilikua ndio toleo jipya hapa nimekuonesha tu ujue kama kuna muda makampuni yanajitahidi kutoa kitu bora ila bahati mbaya yanajikuta kwa bahati mbaya yanapoteana hata MB ama gari gani pale German zilionekana zinashida ukilinganisha na matoleo ya nyuma pia hata boeing alikutana na hii shida zile 377 kama sijakosea zilionekana za mchongo mpaka zikazuiwa na nyingi zikarejeshwa viwandani kufanyiwa ukarabati f22 ndio ndege bora kuwahi kuzinduliwa na marekani na ndio maana hata kwenye mission mingi wanapeleka hizi ndege za 70s yrs sio kwasababu ya nini sababu ya ubora wake F35 majamaa wamejitahidi kuipamba kuitengeneza iwe best hatimae ndio wameharibu mwisho usikariri kama kitu kadri kinavyokuja na toleo jipya ndio kinakua na ubora utafeli kama unavyofeli kwa hizo F35 hivi ziliwahi piga mission wapi hizi kopo kopo ukiacha kupiga vikundi vya wanamgambo pale iraq na Syria
 
Vipi na Pentagon nao hawana authority walipoitaka Lockheed na BAE wafanyie maboresho ya engine? Elon kazungumza ukweli ambao idara ya ulinzi ya Marekani inafahamu
J-20 inafanyiwa maboresho mpaka leo. Mbona hujawahi sema ni mbovu? Hapa ilipo iko inatafutiwa injini ya 3πŸ˜‚

Su-57 inatumia injini ya Su-35 na hujawahi sema ni mbovu. Mpaka leo haina injini yake.
 
Niliwahi kukuuliza hapa ukakimbia. Ungejibu leo basi
 
Niliwahi kukuuliza hapa ukakimbia. Ungejibu leo basi
Eidha swali sikuliona ama nililijibu ila naomba nilijibu kwenye hayo mataifa ukiacha hizi ndege ambazo unasema wamezinunua marekani nitajie silaha gani nyengine kubwa wamezinunua tokea labda Russia ama uchina ukitoa turkey na s4 hao jamaa wanauziana silaha wao kwa wao kwa mfano kama nato memba ukinunua silaha nje ya hapa wanaanza kumplain mfano turkey baada ya kununua s4 kutokea Russia marekani wakakata mipango ya kumuuzia F35 kwa madai kwamba s4 itachunguza na kujua madhaifu ya F35 nk nk
 
Na kwa upande wa software hakuna ndege ina software bora kuzidi F-35. KAMA IPO ITAJE NA UWEZO WAKE
Hilo hapo kopo F-35 likianguka kwa sababu ya software issues. Halafu nikusikie ukibwabwaja tena eti hakuna ndege ina software bora zaidi ya F-35

Your browser is not able to display this video.


Hapa Lockheed waliingiza chaka Pentagon

Endless comedy of errors 🀣

 
Nitajie Urusi au China au North Korea imenunua silaha gani ya Western. Kwanini unataka Ulaya inunue silaha Urusi, na Urusi hainunui silaha Ulaya.

Ulaya wasiponunua F-35 kwa Urusi, watanunua stealth fighter gani. Su-57 haina injini, Ulaya watanunua ndege haina injini???

J-35 ni ndege ya maonyesho mpaka sasa hata Wachina hawana hata moja jeshini.

J-20 haiuzwi, sasa Ulaya watanunuaje ndege haiko sokoni.

Zilizobaki ni 4th generation ambazo sio za China au Urusi tu, hata Saab JAS 39 Gripen ya Sweden huwa inashindwa tenda ikikutana na F-35.

Rafale ya Ufaransa ina bei kuzidi F-35 ila sio stealth, Eurofighter Typhoon ina bei kuzidi F-35 ila sio stealth na inazidiwa sana tech.

Kwa upande wa Uturuki, AD systems na fighters inabidi zitambuane kwa IFF ili zisishambuliane. Hivyo kulikuwa na ulazima S-400 na F-35 zifungiwe mifumo ya kusomana jambo ambalo halitakiwi. Uturuki ilikuwa na crew ya Warusi ndio watafunga mifumo na ndio watakuwa wanasoma data. Iambie Urusi mifumo ya S-400 isomwe na NATO uone kama itakubali. Common sense tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…