Emmanuel Tutuba ateuliwa na Rais Samia kuwa Gavana wa Benki Kuu (BoT)

Emmanuel Tutuba ateuliwa na Rais Samia kuwa Gavana wa Benki Kuu (BoT)

Harafu Bashe awe Nani? Si Bora amtoe Simbachawene amuweke Mwigulu Kama kimtumbua hawawezi?
Bashe is doing great job, yaani wakimtoa hapo itakuwa kosa kubwa ingawa hatuwezi kumpangia kwa kuwa wao wanaweza kuwa na other motives...
 
Tunaomba cv yake
Alikuwaa mwalimu katk shule ya kijij Cha mpwayungu kisha akawafundishe wapuuuz fln HV Kisha akaenda kusoma diploma ya uchumi mzumbe Kisha akaabadilieha Kaz kwenda hazin ndogo na baadae kuteuliwa kuwa kwf na Sasa bot

Acha upuuzi Soma kijana na wee ulambe asali
 
Kwa mara ya kwanza katika kipindi kirefu, gavana atakuwa hana phd
Kweli, wengi magavana waliopita walikuwa ma Dr. na ma Profesa. Historian inakwenda kujirudia. Mnamo mwaka 1989 wakati Gavana Charles Nyirabu anastaafu, Mhe. Mwinyi alimteua Bwana Gilman Rutihinda, aliyekuwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha,kuwa Gavana wa Benki Kuu.

Nadhani mama anazingatia weledi na uzoefu kwenye sekta husika. Kikubwa ni matokeo. PhD sio issue.
 
Ujinga gani huu. Unafikiri BOT wakiachwa bila kudhibitiwa na serikali ndio watasaidia uchumi wa nchi kama yetu?
Sisi sio uingereza bhana. Hata hapo south afrika bank kuu iko huru na hisa ni makaburu ila inasaidia nini kukwamua uchumi kutoka mikononi kwa makaburu?
Awamu ya kwanza hadi ya tatu BOAT walikua kama kisiwa serikali haingilii. Bila shaka kama hamjui ni wizi mtupu ulikua unafanyika. Yule mbunge wa butiama kofia tarabushi mwenye firm ya sheria kapiga kupindukia pale benki kuu. Jpm alivyokuja kumbana akasusa ubunge akakimbilia kuishi miami marekani na wanae kula matunda ya ufisadi.
Mnakumbuka daudi balali awamu ya tatu mkapa alimleta toka marekana ndio tukaona madudu ya kutisha. Kina ande chande yule mhindi ndio wakawa wanapanga mambo benki kuu.
Mlaumuni jk kwa mengine lakini alikataa eti uhuru wa benki kuu kwa nchi kama yetu na kuanza kudhibiti mambo pale.
Mawazo ya kipimbi sana haya.. Benk kuu lazima iendeshwe in a more professional way na siyo kisiasa. Issues nyingi za ufisadi kama tulivyoona huko nyuma chanzo chake ni wanasiasa kuingilia hicho chombo ili wapige pesa. Huyo JPM wako ndiyo kabisaa ndiyo maana alimfukuza Prof Assad...
 
Back
Top Bottom