VICTOR Y MAGANGA
JF-Expert Member
- May 15, 2015
- 249
- 123
Tutuba kwenye sekta ya fedha na uchumi kahudumu muda tu..fuatilia, si mgenikateuliwa leo na leoleo ameshakuwa bora. fanaleki.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tutuba kwenye sekta ya fedha na uchumi kahudumu muda tu..fuatilia, si mgenikateuliwa leo na leoleo ameshakuwa bora. fanaleki.
Hizi teuzi zinaweza kukupa chuki dhidi ya watawala..Keki ya taifa ni kwa ajili ya wachache mno.
Mimi nadhani katibu mkuu. Unakumbuka mtoto wa dada alivyokuwa powerful na hela zetu? Hadi alimvalisha yule jamaa jezi ya Chelsea na kumning'iniza nakusingizia kajinyonga.Hivi Gavana wa BoT na Katibu Mkuu Wizara ya Fedha Nani mkubwa wa cheo?
@Pascal MayallaKivip
Ni nani alitakiwa apate ili kwako uone keki ya taifa imegawiwa kwa usawa?
Will be very big mistake kumtoa Bashe pale Kilimo... Yet I agree with you kuwa na waziri mpya pale fedha, hasa Kimei.. If wishes were horse [emoji206] lakini...Kuna kila dalili Waziri wa Fedha akateuliwa kuwa Waziri wa Kilimo
Yap, ndio DED wetu a.k.a boss wetu.Dada ake Ni mkurugenzi wilaya ya same..Kama sikosei
Kama unajua uwezo wa mtu kwenye kazi X ni rahisi kujua atakavyo perform kwenye kazi Y... Unadhani Messi kupangwa kikosi cha world cup ilitokana na nini kama siyo his past performance?kateuliwa leo na leoleo ameshakuwa bora. fanaleki.
Hv s Ni Hawa Hawa ndio wanao aribu uchumi wetu kumshauri rais juu ya tozo na mikopo isiyo eleweka hati zakeHongera sana tutuba hua hana mambo mengi sana atafanya vizuri huko benki kuu
Mesi wapi na wali kwenye ishu za BOTKama unajua uwezo wa mtu kwenye kazi X ni rahisi kujua atakavyo perform kwenye kazi Y... Unadhani Messi kupangwa kikosi cha world cup ilitokana na nini kama siyo his past performance?
Bashe is doing great job, yaani wakimtoa hapo itakuwa kosa kubwa ingawa hatuwezi kumpangia kwa kuwa wao wanaweza kuwa na other motives...Harafu Bashe awe Nani? Si Bora amtoe Simbachawene amuweke Mwigulu Kama kimtumbua hawawezi?
Very good observation...Inaelekea ukiwa Mhadhiri wa Chuo Kikuu cha Dsm ni tiketi ya kupata teuzi za kiserikali.
Kuna kitu tawala zetu kinajenga au kinabomoa?
Mayala unadhani ni mwenzako yule?@Pascal Mayalla
Alikuwaa mwalimu katk shule ya kijij Cha mpwayungu kisha akawafundishe wapuuuz fln HV Kisha akaenda kusoma diploma ya uchumi mzumbe Kisha akaabadilieha Kaz kwenda hazin ndogo na baadae kuteuliwa kuwa kwf na Sasa botTunaomba cv yake
Daaah aiseeee huyu naye ampumzishe..Una matatizo ya akili wewe,kwani huyo Kasim atakuwa PM wa kwanza Kupigwa chini?
Pabaya kiaje? Kisa Kupigwa chini kwa Royalists wa Mwendazake? Endeleeni kuugulia.
Bado Kadogosa wa TRC
Unaongea umbea gani bwana fallacyMimi nadhani katibu mkuu. Unakumbuka mtoto wa dada alivyokuwa powerful na hela zetu? Hadi alimvalisha yule jamaa jezi ya Chelsea na kumning'iniza nakusingizia kajinyonga.
Kweli, wengi magavana waliopita walikuwa ma Dr. na ma Profesa. Historian inakwenda kujirudia. Mnamo mwaka 1989 wakati Gavana Charles Nyirabu anastaafu, Mhe. Mwinyi alimteua Bwana Gilman Rutihinda, aliyekuwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha,kuwa Gavana wa Benki Kuu.Kwa mara ya kwanza katika kipindi kirefu, gavana atakuwa hana phd
Njia gani tena? 😲😄Mungu amjaalie Bw Tutuba - njia iliyoanzishwa na JPM imekuwa barabara
Mawazo ya kipimbi sana haya.. Benk kuu lazima iendeshwe in a more professional way na siyo kisiasa. Issues nyingi za ufisadi kama tulivyoona huko nyuma chanzo chake ni wanasiasa kuingilia hicho chombo ili wapige pesa. Huyo JPM wako ndiyo kabisaa ndiyo maana alimfukuza Prof Assad...Ujinga gani huu. Unafikiri BOT wakiachwa bila kudhibitiwa na serikali ndio watasaidia uchumi wa nchi kama yetu?
Sisi sio uingereza bhana. Hata hapo south afrika bank kuu iko huru na hisa ni makaburu ila inasaidia nini kukwamua uchumi kutoka mikononi kwa makaburu?
Awamu ya kwanza hadi ya tatu BOAT walikua kama kisiwa serikali haingilii. Bila shaka kama hamjui ni wizi mtupu ulikua unafanyika. Yule mbunge wa butiama kofia tarabushi mwenye firm ya sheria kapiga kupindukia pale benki kuu. Jpm alivyokuja kumbana akasusa ubunge akakimbilia kuishi miami marekani na wanae kula matunda ya ufisadi.
Mnakumbuka daudi balali awamu ya tatu mkapa alimleta toka marekana ndio tukaona madudu ya kutisha. Kina ande chande yule mhindi ndio wakawa wanapanga mambo benki kuu.
Mlaumuni jk kwa mengine lakini alikataa eti uhuru wa benki kuu kwa nchi kama yetu na kuanza kudhibiti mambo pale.
No way, hatuwezi kurundika mawaziri wakuu wastaafu kila dakika, huyu yupo hadi 2040Daaah aiseeee huyu naye ampumzishe..