Robert Heriel Mtibeli
JF-Expert Member
- Mar 24, 2018
- 28,297
- 68,017
Well said mkuu ndio maana watoto wangu niliwarudisha Kayumba. Wa kwanza ndio alinipuna Ems kuanzia chekechea hadi la sabaWazazi, mnashirikiana na shule kuwatesa watoto.
Vitoto vyenyewe bado vidogo, miaka 11-13, vinaamshwa saa 10 au 11 alfajiri kuwahi shule. Wanawahi nini exactly?
Na bado watakaa shule mpaka saa 12 kisa remedials, kurudi nyumbani saa 1 jioni.. mtoto anafika hoi, hajiwezi, hajacheza, hajafanya hobby zake. Kateseka tu.
Yote kwa faida gani?
- Mitihani ya darasa la saba haina umuhimu tena kama ilivyokuwa.
Wenye shule wanawatumia watoto wetu ku-market shule zao ili waonekane wana average ya A, ilhali hata kwa C mtoto anaenda zake secondary school. Au mnataka wakasome St. Francis na Marian? Shule zipo tu. Waliosoma huko si tumewaona chuo na mitaani tunao.
- Masomo ya ziada si kwa kila mwanafunzi kama ambavyo hizi shule zimewaaminisha. Mwanao kipanga, remedials za nini?
Acha wanaostruggle ndo wapambane.
Obviously, wanaunda tu room ya kupiga hela ya michango ya hapa na pale.
Mwisho, tuache watoto wakue kwa amani. Hizo efforts tuzitie form 4 na kuendelea, watakuwa wamekuwa wakubwa na matokeo ya form 4 yana impact mpaka kwenye admission ya chuo, so ni muhimu. Siyo darasa la saba.
mbona tumesoma kwenye shule za kayumba na tukatoboa mpk University na kupata hadi Phd.?Utofautii ni mkubwaa mnooo, commitment kwenye public schools ni zeroo kabisaa ni huu umaskini wetu tu lkn hapafai, imagine darasa linawanafunzi 300 nini kinafanyika hapoo. Tusidanganyaneee public wanaambiwa waandike notes tu.
lakini ni ukweli usiopingika kujua kiingereza kunampa fursa zaidi kuliko yule ambaye anajua kiswahili pekee.
Wewe wacha kulialia humu na umasikini wakoNasomesha Englisha Medoum ila ukweli ni kwamba sijawaji zikubali hizi shule, Shule zimejaa janja janja nyingi sana kuliko kutoa elimu ni full hadaa na wanajua fika kucheza na akili za wazazi wajinga
Sijawaji amini kwamba kuna elimu bora kwenye shule za English medoum, kuna elimu ya kawaida sana na tofauti yake na shiule za Serikali mimi sioni kabisa ukitoa sisi kuwa Barainwashed.
Niliwahi sema humu Baadhi ya hizi shule huwa hazina mtoto wa mwisho yaani kama Darasa lina wanafunzi 40 huwezi ona mtoto wa 40, wanaishia namba 10 na na wanadaia wamefungana. Namba 1 unaweza kuta watoto 10 huu mchezo wazazi hawajaushitukia.
Ukiondoa kupanda Mabasi asubuhi hakuna kingine ambacho nakiona kwa hizi shule. Wengi wanapondea shule za Serikali kwenda na Mifahia na vidumu vya maji ila ni sehemu ya kufundisha watoto na sio adhabu. Ni wazazi wajinga ndio wanao na mtoto kubeba fahioa kwrnda nao shule ni adhabu au ushamba.
Watoro wanakuwa legelege sana, mtoto wa shule ya Serikali anaweza panda Daladala na akenda shule mwenyewe umbali wa km 15 hapa ni mtoto mdogo darasa la 3, hii mtoto wa English medium hawezi, ni sawa na kuku wa Broiler tu. Matoto yanakuwa legelege tu.Basi la shule likiharibika hakuna kwenda shule.
English medium zimejaa janja janja sana, kuanzia kutoa elimu na hadi michango yao ya kihuni. Hakuna Englisha ya maana inafundishwa pale,watoto wanatoka pale wako kawaida sana hakuna maajabu pale.
Kucheza na akili za Wazazi na ziara zao za kwenda vijwana vya ndege kupigisha watoto picha kule ni full ujinga.Wanakuambia ziara za mafunzo, mtoto yuko Baby class anatakiwa atoe sh 50,000 ya ziara ya mafunzo.
Unatoa 50,000/ wanawanunulia watoto chips kavu, biskut na juice za azam, hapo 50,000/ imakata na ni ziara ya ndani ya mkoa. Mtoto anarudi nyumbani full njaaa ukiuliza mtoto anakuambia walitupatia juice, chips na biscut tu.
Mkuu ungana nami kwenye kampeni ya Back to Kayumba Schoolsπ€π€
English Medium waalimu wenyewe ukikagua vyeti vyao vya kidato cha nne wengi wao hawana hata C ya kingereza
Vingereza vyao vyenyewe vya ajabu ajabu the the nyingi hamna kituπ€π€
English Medium waalimu wenyewe ukikagua vyeti vyao vya kidato cha nne wengi wao hawana hata C ya kingereza
Huyu jamaa wazazi wake walikula hasara sana kumsomeshaTunasomesha kule watoto ili wajue kingereza, lugha ya kimataifa
Mkuu ungana nami kwenye kampeni ya Back to Kayumba Schools
Andika Uzi tuwafungue watu wengi hawajitambui
Umeongea vizuri sana mkuu issue sio hela issue ni " Value for money"Hizi english medium zimejaa sanaa, shida sio kwamba sina pesa za kulipia ila naona kabisa fika hakuna value for money zaidi ya sanaa
EMS hazifundisha kingereza bora ni ujinga unaendelea kule.Katika vitu ambavyo siwezi fanya kosa nikumpeleka mwanangu shule ambayo hahawezi kumfundisha english language akaelewa vizuri pindi akiwa mdogo kwa hiyo hizi st kayumba ni big no.
Kwa ulimwengu wa sasa especially hapa tz mtoto anatakiwa aelewe lugha ya kimataifa kwa ufasaha, hisabati, na computer.
Fursa nyingi hapa nchini zinawataka wanaujua lugha yaani lugha ndio kila kitu hata uwe kilaza namna gani ukijua tu kutema yai fursa za pesa zitakutafuta na st kayumba swala la mtoto kujua lugha halipo hata walimu wenyewe hawajui.
Acheni dharau nyie mbwaVingereza vyao vyenyewe vya ajabu ajabu the the nyingi hamna kitu
Vingereza vyao vyenyewe vya ajabu ajabu the the nyingi hamna kitu
Ukweli huuma.Acheni dharau nyie mbwa
Mishahara ya wengi inasikitishaZipo shule chache Sana wanajitahidi.
Moja ya dalili kuwa mAxi anapoteza pesa kusomesha English Medium ni kuangalia Mishahara ya hao waalimu WA English.
Hivi mtu Anayelipwa Laki mbili u tatu anajua nini kuhusu kingereza?
Wengine wanalipwa mpaka elfu 80 hata wafanyakazi WA ndani ambao ni darasa la Saba hawalipwi hiyo.
Kama Mwalimu anayemtundisha mtoto wako mshahara wake unaanzia Walau Laki tano tunaweza kusema huyo Mwalimu anauwezekano wa kumfundisha mtoto wako kingereza.