USA is a blunt knife.Huyo ambaye mifumo ya fedha ya kibenki yote imekufa na wahuni wameondoka na kila kitu raia wako wanalia hawana A wala B, ndo awe kikwazo kwa USA?.
Cuba ni nchi yenye maisha yanayofanana kwa kiwango kikubwa kwa sasa na nchi za ulimwengu wa 3, sasa nchi ya ulimwengu wa 3 inawezaje kuishinda USA?.
Asiwasahau Taliban alikopata kichapo cha mbwa koko yeye na Nato yake , akakimbia kama mwiziUSA is a blunt knife.
Kuna mataifa kibao USA anayaogopa na hawezi kuyagusa ng'ooo,na akisikia yamejihusisha sehemu hasogezi jeshi lake.
RUSSIA,CHINA,NORTH KOREA,IRAN.
Hathubutu na hatothubutu kuyasogelea.
Hawa watu ni watu wa hovyo sana.Kwa nini nchi za Kiislamu?
Afrika ya Kusini imeanzisha mpaka kesi dhidi ya Israel kwenye mahakama za kimataifa, na si nchi ya Kiislamu. Haoni kuwa kaitenga?
Suti zina mfumo mwingi sana.
Anasifia taifa ambalo lenyewe linakiri kuwa the most successful millitary operation ni Operation Cabanatuan.Asiwasahau Taliban alikopata kichapo cha mbwa koko yeye na Nato yake , akakimbia kama mwizi
Wataishia kuvimba tu kwenye vyombo vya habari lakini kukaa msitari wa mbele kupambana na Israel hilo sahau kuona wakiungana.
Kuna waarabu wenzao wengi tu wasiopenda uharamia wa Hamas na Houth kama Saudi Arabia na wengineo ambao wako chini ya USA na washirika wake.
Israel mbele kwa mbele.
Yaani mtu amekuzidi kila kitu kilicho chema, halafu unatoka hadharani unasema amelaaniwa, hapo aliyelaaniwa ni wewe au yeye?Endelea tu na israel yako, ipo siku utasaga meno wewe na mayahudi wenzio waliolaaniwa.
Cuba ipo locked in 1950's , wanaishi kwenye ulimwengu wao, hata magari yao ni ya kizamani sana.Cuba hawana rasilimali zozote za maana kama gas, mafuta au madini kwa kiwango kikubwa, uchumi wao unategemea zaidi kilimo.
USA anavamia nchi pekee ambazo zina rasilimali za asili za kutosha, kama hauna cha maana ataishia kukuwekea vikwazo tu ila hatakuja kupigana na wewe.
USA hajawahi chezea kichapo toka kwa Cuba zaidi ya maneno tu ya kwenye khanga na tambo za hapa na pale zisizo na matendo ndani yake.
Haijalishi. Kipigo dhidi ya magaidi kiko pale paleMbona ni muda Brazil alishaondoa mabalozi wake Israel!?
Hii habari ya muda sana.
Basi afunge domo lake aache Israel asafishe maficho ya magaidi hapo GazaUmeshasahau kama Turkiye ni NATO member!?
Na ushasahau NATO wanasimama upande wa nani katika huu mgogoro!?
Hao ni waarabu si inajulikana.Erdogan anataka waislam waungane dhidi ya Israel mara ngapi au anataka tu aonekane ameongea.
Kama huyu kamanda ambae ni senate wa marekani ni mtu mpenda haki sana ambae pia ameisupport iccHuo ni ubaguzi wa kidini, anaifanya hii vita kuwa ya kidini wakati ni kubwa zaidi ya dini.
Wapalestina wanahitaji msaada wa kika mtu, si msaada wa Waislamu tu.
Kuleta habari za Waislamu hapo ni kuugawa umati mkubwa unaowaunga mkono Wapalestina, ambao una watu wasio Waislamu wengi sana.
Mbona hakutoa tamko ile tarehe 7/10/2023 wakati watoto, wanawake, watanzania na mataifa mengine zaidi ya watu 1200 walipouliwa na Hamas hapo Israel?.Hao ni waarabu si inajulikana.
Anataka kupressure Israel iache kuumiza na kuua watu.
Kama ni vita Israel haina uwezo kupambana na Turkey.
Tuache story za six days war miaka ya 60.
Yaani Taifa lililoruhusu na kuongoza kwa ushoga ulimwenguni linakuwa limebarikiwa?Yaani mtu amekuzidi kila kitu kilicho chema, halafu unatoka hadharani unasema amelaaniwa, hapo aliyelaaniwa ni wewe au yeye?
Unataka aje huku kwa binaadamu kama yule mungu wenu aliyetandikwa msalabani hadi na yeye akaomba msaada kwa mungu?which Allah?
The invisible who is waiting for the living people to fight for him?
Kipi kizuri unacho/mnachoizidi Israel ili tubaini nani amebarikiwa na nani amelaaniwa?Yaani Taifa lililoruhusu na kuongoza kwa ushoga ulimwenguni linakuwa limebarikiwa?