Hahaha mkuu, that will be too much aisee. We binafsi utaweza wakati una wanawake watano wanaotambulika kihalali kama wake zako?halafu utakuta wanaume wa huko baada ya kuoa hao watano bado wana michepuko tena!
Awo waswazi mbona nao njia hawajaiona!! Naona wanatudhalilisha tu WaafrikaSiasa na dini za Magharibi zimetupoteza sana.
Wanaune uwa haturidhiki hata tupewe buku bado atapita dem ana mwanya eti umetamani mwanya, atapita demu ana kidoti, eti utamani kidotiHahaha mkuu, that will be too much aisee. We binafsi utaweza wakati una wanawake watano wanaotambulika kihalali kama wake zako?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hivi nauli ya kwenda huko ni sh ngap...
Utakuwa free kufungamana na sheria zao mkuu. Kama unatataka kwenda ni shauri lako tu, ila kumbuka kuwa wao kule kuwa na wanawake zaidi ya watatu ni kawaida na wala mke mkubwa na wapili hawakumaind kabisa.. You're free to live your life as long you provide them the necessities as given.Je, mgeni ukienda huko utabanwa na sheria hiyo?
Na utaratibu wa kuhamia huko ukoje?
Sio magharibi hata pale mashariki ya kati..wote hao walikuja kutupotezea direction waafrika...heko kwa muswat kuendelea kulinda mila na taratibu za kiafrika.Siasa na dini za Magharibi zimetupoteza sana.
Na Mama angeamuwa ivyo tungejifaije?Mfalme Mswati III wa nchi ya Swaziland ametangaza kwa wanaume nchini humo kuoa wake kuanzia watano au kwenda jela maisha lengo likiwa ni kila mwanamke apate mume.
Taarifa ilitoka kwa mfalme huyo imesema kua wanaume wote wanatakiwa kuoa wake watano na serikali nchini humo itagharamia harusi yote na kuwanunulia nyumba.
Source: Marry 5 wives or be jailed - Swaziland King orders country men - Adomonline.comView attachment 2118667
Sent from my CPH2059 using JamiiForums mobile app
Mama aruhusu na kwetu TanzaniaMfalme Mswati III wa nchi ya Swaziland ametangaza kwa wanaume nchini humo kuoa wake kuanzia watano au kwenda jela maisha lengo likiwa ni kila mwanamke apate mume.
Taarifa ilitoka kwa mfalme huyo imesema kua wanaume wote wanatakiwa kuoa wake watano na serikali nchini humo itagharamia harusi yote na kuwanunulia nyumba.
Source: Marry 5 wives or be jailed - Swaziland King orders country men - Adomonline.comView attachment 2118667
Sent from my CPH2059 using JamiiForums mobile app
Wanasema tunaanzia nyumbani..ni mwendo wa local content.mybe kwa nchi yake lakin globally kutokana na ratio ya jinsia ilivyo bado atakuwa hajafanikiwa kumpa kila mwanamke mume .
Sent using Jamii Forums mobile app
kwani umenyimwa mzee . wewe tu na dini yako [emoji3]Na Mama angeamuwa ivyo tungejifaije?
Mama aruhusu na kwetu Tanzania
HahahahahaNa
Naulizia kama kuna ubalozi wa mswati hapa bongo? Naomba location , lengo kubwa ni kwamba nahitaji viza
Na Mama angeamuwa ivyo tungejifaije?
Mama aruhusu na kwetu Tanzania