EWURA yatangaza bei mpya ya mafuta kuanza kutumika 04/05/2022. Petroli na Dizeli bei juu zaidi

EWURA yatangaza bei mpya ya mafuta kuanza kutumika 04/05/2022. Petroli na Dizeli bei juu zaidi

Kazi ipo.

Yaani ndani ya mwezi mmoja bei imeongezeka kwa zaidi ya shilingi 800.

Huyu mama hana mbinu yoyote ya kukabiliana na mfumo wa bei, bando bei ghali, mafuta bei ghali, mshahara haiongezeki miaka 7.

Hii nchi sijui nani alituroga.
Hiyo sh 800 mbona haifiki hata robo ya tip tunayoacha bar? Mwulize hata Evelyn Salt anajua. Tena tuaachaga bila hata shuruti wala kulipiwa kodi yoyote. Si bora vituo vya mafuta watoaga risiti?
 
Mafuta yamepanda tena Bei, Dar Lita ya petrol kuanzia kesho ni 3148, dizeli 3258

View attachment 2210381

Bei za mafuta kuanzia April 4, 2022

Bei ya petrol kwa Dar itakuwa ni Tsh 3,148 kwa lita. Kwa watu wa Tanga watanunua kwa Tsh 3,161 na kwa watu wa Mtwara kwa 3,177 kwa lita.

Dizeli itauzwa Tsh. 3,258 kwa lita kwa Dar, na kwa Tanga watanunua kwa Tsh. 3,264. Mtwara watauziwa kwa Tsh. 3,309 kwa lita.

Mafuta ya taa hayako nyuma ambapo bei ya lita kwa Dar itakuwa Tsh 3,112. Mikoa mingine itakuwa na bei kutokana na hesabu zitakvyofanyika.

EWURA wamesema mabadiliko ya bei katika soko la dunia yamesababisha 93% ya mabadiliko ya bei

Bei za Jumla
Port Petrol
(TZS/Litre)
Diesel
(TZS/Litre)
Kerosene
(TZS/Litre)
DAR ES SALAAM 3,015.88 3,125.18 2,980.56
TANGA 3,028.72 3,131.39 --
MTWARA 3,044.88 3,176.87 --

View attachment 2210436

View attachment 2210437

View attachment 2210438

View attachment 2210439

View attachment 2210440
Mwachen aupige wakutosha. Hahaha
 
Badala ya kutumia pesa kuagiza mafuta waweke reserve wajenge hata emergency reserve kwa dharula usiku na mchana wao hela wanatumia kufanya utalii angani..

Tutakukumbuka magufuli hakika ungekuwepo atleast bei ingekuwa himilivu.
 
Tukimlaumu Rais samia tunamuonea tu nina uhakika huyu mama mambo mengi ya Tanzania hayajui

Rais samia anamsikiliza mstaafu katika kuongoza nchi na teuzi nyingi anapangiwa na mzee na mama analipa fadhila kwani ndiye aliyempa umakamu wa Rais uliopelekea akaupata uRais

Ndugai yale maneno hakuropoka anajua nchi imeharibika

Hili kundi linaiba pesa litakalowafanya uchumi ubaki kwa watu 15 tu na ndio watakuwa na maamuzi ya siasa za Tanzania

Wameshamiliki chama
Wameshamiliki uchumi
Wameshamiliki media kubwa
Watamiliki nishati
Wanamiliki biashara

Magufuli umekufa na ndoto zako baba za kuifanya tanzania kuwa nchi ya usawa
 
Cap-prices-wef-4-May-2022-English-2.jpg

Cap-prices-wef-4-May-2022-English-3.jpg

Cap-prices-wef-4-May-2022-English-4.jpg

Cap-prices-wef-4-May-2022-English-5.jpg

Cap-prices-wef-4-May-2022-English-6.jpg

Cap-prices-wef-4-May-2022-English-7.jpg
 

Attachments

Back
Top Bottom